Wewe shida yako sio lugha, ni ama u-mvivu wa kusoma au mgumu wa kuelewa! Kha, humu JF kuna watu wa ajabu!!Tundu Lissu asitufanye wajinga kiasi hicho. China wanajua kiingereza?????? Ujinga mtupu wala hatupotezi muda na mjiinga huyo, ajenda yetu kwa sasa ni kukiweka kiswahili lugha ya Kwanza Afrika halafu yeye anatuletea upupu.We want to make Tanzania great nation,kiswahili ni ajenda kuu
Hivi mmeelewa alicho maanisha Lissu au?Kwahiyo hayo maendeleo ambayo anasema atawaletea watu kumbe ilikuwa anamaanisha kuongea kingereza vizuri??
Daah Chadema mmetuletea mtu wa aina gani??
Kiswahili kasomeshe wanao.Hapo yupo sawa kabisa. Tuchague moja kingereza ama swahili
Nadhani we ndo huna akiliTundu Lissu asitufanye wajinga kiasi hicho. China wanajua kiingereza?????? Ujinga mtupu wala hatupotezi muda na mjiinga huyo, ajenda yetu kwa sasa ni kukiweka kiswahili lugha ya Kwanza Afrika halafu yeye anatuletea upupu.We want to make Tanzania great nation,kiswahili ni ajenda kuu
Kwa uelewa huu bado tuna kazi ndefu kama taifa.Lugha yetu ya taifa ni kiswahili sasa anataka Kiingereza kiwe kama lugha yetu? Kwani muingereza anaongea kiswahili kama mtanzania.?
Slavery Mentality!! Ilishasemwa karne ya 17 na mzungu Lord Macaulay huyu hapa!! Wakati mwingine nafikiri Lissu ameshaathirika kwenye ubongo wake kuna uwezekano hao Wabelgiji watakuwa wamemharibu kiakili!!Tundu Lissu amesema haya kuhusu lugha ya kufundishia
Ukiniuliza mimi, honest opinion Nchi yetu haiwezi kuzungumza Kiingereza, hivyo tunahitaji kuwa na mjadala juu ya sera ya lugha, tusipokuwa na mjadala huu, hatufiki popote kwani language of instruction is everything.
Mimi ni Wakili, Majaji wengi hawajui kiingereza, ukienda Nchi za wenzetu huko Mtanzania akiongea unatamani kuingia uvunguni mwa meza, Kiingereza chetu ni kibaya, sio kwasababu hatuna akili ila ni kwasababu tumekosa Sera ya Lugha.
Tangu tumepata Uhuru tumekua na ndimi mbili kuhusiana na lugha na ndimi mbili ni hatari, ulimi mmoja tumesema Kiswahili ni lugha ya Taifa na tumeiendeleza kwelikweli, ulimi wa pili tumesema Kiswahili si lugha ya kufundishia.
Fikiria tu muda Mtu anaotumia kujifunza Kiingereza ajifunze na aelewe miaka 4 tu ya Sekondari anakuwa hajaelewa Kiingereza sawa sawa na anakwenda tena form 5 na 6 bado anakuwa vilevile, kwa kifupi Watu wetu hawajui Kiingereza.
Mkuu hicho ndio kitu hasa ninachouliza hapa tukiwa Kama jukwaa huru tuanze kwanza sisi kujibu haya maswali ...TL amesema kutakuwa na mjadala wa kitaifa kuhusu lugha inayofaa kufundishia.
..Yeye hajatupa karata yake kwamba twende na Kiswahili, au twende na Kiingereza.
..ukipata muda sikiliza hawa wataalamu wa lugha na waalimu wa muda mrefu hapa chini.
Uzao wa mbio za mwenge.Hawawezi kukuelewa, jamii ya lumumba wengi wazazi wao ni wale wa uwanja wa fisi
Unajua kuwa sheria zetu na hata hukumu zetu ni English tupu ?! Barua zetu za ki serikali na mawasiliano na dunia ni only in English !!Lugha yetu ya taifa ni kiswahili sasa anataka Kiingereza kiwe kama lugha yetu? Kwani muingereza anaongea kiswahili kama mtanzania.?
Mkuu hicho ndio kitu hasa ninachouliza hapa tukiwa Kama jukwaa huru tuanze kwanza sisi kujibu haya maswali .
Ndiyo nyinyi tu ambao Lord Macaulay alisema karne ya 17 jinsi ya kuwafanya msijitambue!Nadhani we ndo huna akili
Ujue kizungu.Ukimaanisha nini hapo mkuu?
Kujua namna ya kujieleza ndio ni maendeleo. leo hii Magufuli hawezi kujieleza badala yake anakimbilia kupiga push up, Mkiambiwa tatzo ni mfumo mnajitoa ufaham.mmekua Watu wa kusema ndio/hapanaKwahiyo hayo maendeleo ambayo anasema atawaletea watu kumbe ilikuwa anamaanisha kuongea kingereza vizuri??
Daah Chadema mmetuletea mtu wa aina gani??
Kwani kama hujaisoma "thread" ni lazima uchangie. Sasa "thread" imewekwa Kiswahili nayo huwezi kusoma humu unatafuta nini!Lugha yetu ya taifa ni kiswahili sasa anataka Kiingereza kiwe kama lugha yetu? Kwani muingereza anaongea kiswahili kama mtanzania.?