Wengi hawajui Kiswahili wala Kiingereza ambazo ni lugha rasmi za taifa.
Hili ni tatizo na siyo sawa kwa wananchi kutoweza kuongea na kuandika lugha rasmi za taifa lao kwa ufasaha.
Ni muhimu kwa viongozi, waandishi, watangazaji na jamii kwa ujumla kujifunza kwa bidii badala ya kutoa utetezi wa kijinga.
Hili ni tatizo na siyo sawa kwa wananchi kutoweza kuongea na kuandika lugha rasmi za taifa lao kwa ufasaha.
Ni muhimu kwa viongozi, waandishi, watangazaji na jamii kwa ujumla kujifunza kwa bidii badala ya kutoa utetezi wa kijinga.