Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Kwahiyo unaona sawa? Kwasababu rais ana mtoto asiye wa nchi yake....Kawaida sana
George Weah ni Rais wa Liberia lakini mtoto wake ni raia wa Marekani na Juzi kaifungia goli nchi yake ya USA kwenye kombe la Dunia
George Weah ni Rais wa Liberia mtoto wake juzi kafunga bao na timu ya taifa ya marekani
So na George ni C.I.A?
Wakina Mandela waliishi Morogoro na Butiama wakati wa ubaguzi wa rangi south africa so hoja yako Haina mashiko.
Rais wa Congo wa Sasa aliishi Sana ubelgiji so na yeye ni mbelgiji?
Huyo trump mwenyewe na obama ukiwatazama hawana hata asili ya marekani lakini wametawala
Obama katumwa na kenya marekani na mke wake alitumwa na israel?
Hoja zako za kipumbavu Sana watu wataishi vipi kwenye nchi ambayo usalama wao hauna uhakika? Hakikisheni kwanza usalama wa watu ndio muanze kuwahukumu.
Wakina Akwilina, Azory, Mawazo wako wapi?
Usiwe mbwiga dunia ni kijijiKwahiyo unaona sawa? Kwasababu rais ana mtoto asiye wa nchi yake....
Waafrika hatuna akili na hatuna uzalendo.
Mnyalu Balali anadunda tu kama Elizabeth!
Marisasi yote yale lengo lilikuwa kuuliwa ulitegemea aendelee kubaki nchini ili wammalizie ngoja yakukute na wewe.Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
Hata ningekuwa mimi nimepata nafasi ningewabadilisha ukoo wangu wote uraia wa marekani
Uliona wapi nchi ina vyanzo kibao vya maji ila inaingia kwenye mgao wa maji na umeme
I wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.
Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Nimeona nisihangaike sana kupoteza muda, kumbe jibu tayari lipo ukumbini.Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
I wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.
Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Kwa hivi sasa ni bora ya hiyo "ngozi nyeupe", kuliko kuwa "kibaraka wa kutumiwa"na CCM.Una sura na Mila za kibaraka wakutumiwa na wenye ngozi nyeupe
Angekuwa marehemu leo kwà zile risasi ndio ungemsifu sio?Bongo hakuna mpinzani wa kweli
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
Wapo makamanda uchwara huko ufipa wanamuamini ile mbaya.Huyo jamaa Hana jipya Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza muamini
Toa ushahidi bwashee, wataje.Mbona Wanaccm wengi tu Wana uraia wa Marekani na wengine Cuba na tumewapa hadi uwaziri
Ni kawaida sana
Sasa kama Tanzania haina maisha ya maana, kwanini mnang'ang'ania madaraka?Wacha watu waangalie penye malisho mema, kwa ajili yao na familia zao, hii Tanzania ina maisha gani ya maana?