Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Halafu uchawa wake kauweka penyewe hasa yaani !! ana akili sana .
Siyo kila mtu Ni chawa na kuongea ukweli siyo uchawa.Vipi na wewe wakupe hata dili la kupeleka Mchele wakula watoto na familia za viongozi wako waliopo ulaya halafu wanataka sisi watanzania tuandamane huku bongo.kweli wajinga ndio waliwao
 
machafuko kwa wapumbavu wa ccm na machawa wao ni sawa.
 
Yaani nikimkumbuka Akwilina machozi yanitoka, walimdanganya akaandamana, akauwawa, kumbe wao watoto wao wamewaficha USA
wewe ni shoga la ccm mlimuuwa akwilina akiwa kwenye gari kwa upumbavu wenu na siku chadema ikiingia madarakani mtatueleza vizuri na huyo mkurugenz fake wa kinondon aliyekatalia viapo.
 
wewe chawa wao huna la kufanya utabaki kuwa keyboard worrior na wajinga wenzio
Kwanini hukuandamana uchaguzi uliopita uliyooambiwa na Lisu uandamane? Bila Shaka na wewe ulimpuuza baada ya kutambua kuwa Ni mbabaishaji tu,ndio maana ulijifungia ndani
 
Chadema Ni wababaishaji tu wasio na dira Wala muelekeo
dira mnayo nyie na mamayenu matapel ya ccm miaka 61 ya uhuru umeme na maji mgao mnadira gan kama sio wajinga tu ndio maana kila chaguz mnagongwa mnabebwa na tume fake na polis wajingawajinga
 
dira mnayo nyie na mamayenu matapel ya ccm miaka 61 ya uhuru umeme na maji mgao mnadira gan kama sio wajinga tu ndio maana kila chaguz mnagongwa mnabebwa na tume fake na polis wajingawajinga
Tanzania chini ya uongozi wa CCm inasonga mbele kimaendeleo kwa Kasi ya mshale, Hatua za Maendeleo zimepigwa kwa kila secta
 
Kwanini hukuandamana uchaguzi uliopita uliyooambiwa na Lisu uandamane? Bila Shaka na wewe ulimpuuza baada ya kutambua kuwa Ni mbabaishaji tu,ndio maana ulijifungia ndani
mbabaishaji kuliko mamayenu empty brain anayekopa kwa mabeberu mliyokuwa mnawadanganywa nyie wajinga na baba yenu kuwa hakuna kukopa kwa mabeberu kumbe alikuwa anawapiga kamba wajinga kama wewe.
 
Tanzania chini ya uongozi wa CCm inasonga mbele kimaendeleo kwa Kasi ya mshale, Hatua za Maendeleo zimepigwa kwa kila secta
Tanzania inasonga mbele kwa failures wanaosababisha mgao wa umeme na maji huku wajinga kama wewe mnaimba mamayenu anaupiga mwingi huku mnalala mnanuka kwa kukosa maji.
 
mbabaishaji kuliko mamayenu empty brain anayekopa kwa mabeberu mliyokuwa mnawadanganywa nyie wajinga na baba yenu kuwa hakuna kukopa kwa mabeberu kumbe alikuwa anawapiga kamba wajinga kama wewe.
Ofisi Tu za chama zinewashinda kuzijenga licha ya mamillioni kwa mamilioni mliyokuwa mnayapokea Kama Ruzuku,
 
Matumizi mabovu ya mda

Utakuja kujuta siku moja kwa huu upuuzi ulioandika.
 
Ofisi Tu za chama zinewashinda kuzijenga licha ya mamillioni kwa mamilioni mliyokuwa mnayapokea Kama Ruzuku,
Nyie wapuuz mnaofisi ipi majengo ya serikali mliyoyageuza ofisi za lumumba ndo mnaona mnaofis ndio maana uzezeta hautawaisha na chadema ikishika madaraka jiandaeni kujibu kesi za uhujumu uchumi kwa mali za umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…