Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Ndugu zangu siku zote Mwenyezi Mungu hamfichi Mnafiki ,Kwa miaka mingi viongozi wa chadema wamekuwa wakiwaita na kuwabatiza watanzania majina mbalimbali mfano utasikia wanasema watanzania Ni waoga,wajinga ,wamekosa Elimu n.k,Mara nyingi kukitokea mapinduzi ya kiraia kwa baadhi ya serikali za nchi fulani zinazokuwa zimeshindwa kusikiliza wananchi wake unakuta viongozi wa chadema wakitamani na kutoa maneno ya kutaka machafuko yatokee hapa nchini.

Sasa Imefahamika wazi kupitia Tundu Lisu kiongozi wa chadema wa ngazi ya juu kabisa akitamka kupitia mdomo wake ambao siku zote Hauna breki wala kuchagua maneno ya kutamka kuwa watoto wake Ni raia wa Marekani, Ndugu zangu kumbe ndio maana chadema imekuwa ikitaka kuona umwagikaji wa damu hapa nchini kwa kuwa wanajuwa kuwa wao na familia zao hawataathirika na chochote,kumbe wanafahamu kuwa Damu za familia zao zitakuwa salama,kumbe wanafahamu kuwa hakuna mtoto wao au mwana familia wao atakayebakia na kilema Wala upofu Wala majeraha Wala njaa Wala kuvunjwa miguu kwa kuwa wanafahamu kuwa wao siyo raia wenye uzalendo na nchi hii hata ikichafuka na kutiririsha Damu Kama chemichemi za maji jangwani zaidi ya kuhitaji madaraka tu hata kwa kushirikiana na shetani

Hii ndio sababu kumbe chochote kinachofanywa na serikali hii wanakibeza kwa kuwa wanajuwa watoto wao wanapata huduma Bora huko kwingine,Ndio maana wakiona mama yetu mpendwa mama Samia akitoa Elimu bure Hadi kidato Cha sita au kuwapa mikopo wanafunzi wote wa Elimu ya juu wenye sifa wao wanabeza,wanadharau ,wanatoa maneno ya kumkatisha Tamaa Mh Rais kwa kuwa wanajuwa watoto wao wanapata huduma bora huko nchi za magharibi na kwamba wanatamani watoto wa watanzania wazeeke bila Elimu Wala ujuzi,wanataka watoto wa watanzania wawe wanyonge,wajinga mbele za watoto wao,wanataka watanzania wasijitambue ili waje wawatumie kuleta machafuko hapa nchini kwetu

Ndio maana wakiona mama yetu na Rais wetu mpendwa mama Samia akijibidisha kujenga vituo vya Afya kila sehemu wao hawapendi kwa kuwa wanajuwa watoto wao wakiumwa hawatatibiwa hapa nchini kwa kuwa watakwenda huko nchi za magharibi na bima zao kubwa kubwa,hawataki kuona watanzania wakipata huduma Bora za kiafya,hawataki kuona watanzania wakipata maji Safi na salama kwa kuwa wanatamani waone watanzania wakihangaiika na magonjwa ya matumbo mpaka wapoteze ufahamu ili waje wasimame majukwaani kuwahamasisha watanzania waibomoe nchi yao kwa mikono yao

Ndio maana wakiona Rais wetu akiwainua wakulima wananuna na kumbeza kwa kuwa Wao chedema wanatamani wakulima wasilime na wakumbwe na njaa na hata kufa na njaa,wanatambua kuwa huwezi kumuongoza mwenye njaa Ndio sababu wanatamani watanzania wawe na njaa ili waje wasimame hadharani kuwatumia watanzania kuchinjana.ndio sababu ya kupandikiza chuki kwa watanzania dhidi ya serikali yao,ndio sababu wakati wote wamekuwa wakitoa maneno yenye sumu ili kuwamezesha watanzania waichukie serikali yao,ndio sababu wakati wote maombi yao yamekuwa ni kutaka kuona serikali ikishindwa ili ichukiwe na watanzania,Ndio sababu kuna wakati wamewahi kusema kuwa nchi haitatawalika

Chadema hawapendi kusikia habari za mama kutoa maelfu ya ajira kwa vijana takribani elfu 42, kwa kuwa wanataka kuona vijana wakihangaiika mitaani Kama vibaka kusudi wawatumie kubeba hasira na sumu mioyoni mwao ya kuvuruga amani ya nchi yetu kwa kuwa wanajuwa watoto wao wapo ulaya na familia zao na wao wenyewe watakimbilia huko halafu wawe wanarusha picha mitandaoni kwa makubwa zao,Hakika chadema Ni vibaraka, Ni wasaliti wa nchi yetu ,wapo Tayari kwa lolote ilimradi tu wapate madaraka,wanachoomba wao Ni machafuko tu yatokee ili watafute njia ya mkato

Kibaya zaidi Ni kuwa safu ya uongozi ya Chadema nidhaifu Sana kwa Sasa na iliyopoteza matumaini na kujikatia Tamaa,imejikatia Tamaa yakutwaa Dola kwa njia ya kidemokrasia,imepoteza ushawishi kwa watanzania,haionyeshi matumaini ya kesho,Hakuna anayeiunga mkono,imebaki Ni mkusanyiko wa watu waliokata na kujikatia Tamaa ndio maana wanaona njia fupi ni kama Ile aliyoitangaza Lisu uchaguzi uliopita ili watanzania waandamane mitaani wakati huo yeye Anayo tiketi ya kukimbia nchini na kajificha ubalozini

Watanzania Tumeshayajuwa ya sirini na dhamira ya Chadema,wamejiumbua wao wenyewe,Ndio hasara ya kuwa na kiongozi mropokaji Kama Tundu Lisu,Tusiwape nafasi chadema ya kuharibu Taifa letu kwa kuleta machafuko na kupandikiza chuki miongoni mwetu,wao hawatakuwepo hapa nchini na Wala hawataumia kwa chochote,Tusiwaunge mkono,Tuwapuuze na kuwadharau kwa lolote watamkalo maana hawana Nia nzuri na Taifa letu

Ushauri kwa Idara yetu ya usalama wa Taifa(TISS) Ni kuhakikisha wanakuwa chonjo na nyendo zote za viongozi wa chadema katika safari zao za nje ya nchi,wasiruhusu mapesa yakaingia kiholela hapa nchini ambayo yakaja kufadhili mipango Yao miovu,wawe makini na kufuatilia matamshi yao ,wasiwaruhusu wakapandikiza mbegu za chuki kwetu watanzania,Tumeona siku za hivi karibuni wakijaribu kutaka kupandikiza mbegu ya ukanda na ukabila Kama kete ya kupata uungwaji mkono ambao walisha upoteza muda mrefu

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe,Nadhani tumeshatambua kwanini Chadema ipo msitari wa mbele kupinga juhudi za mh Rais,Tumeshatambua ni kwa kuwa hawana uchungu na sisi watanzania Bali wanaombea tuteseke ili waje watutumie kufanikisha ajenda zao, Tusiwape nafasi hiyo. Tuwe bega kwa bega na Rais wetu na Tusikubali watimize malengo yao kupitia mikono yetu,Tulipende Taifa letu na Tulipiganie kwa nguvu zote,Ni Rahisi kulibomoa Taifa kuliko kulijenga na kuliinua mpaka tulipo nalo hapa penye amani utulivu na usalama,Tukumbuke watu wengi wanatuonea wivu watanzania kwa namna tulivyo na mshikamano, hivyo tusije jiroga tukavuruga amani yetu tuliyo nayo

Mwisho tukumbuke kuwa matatizo yetu tutayatatua sisi wenyewe kwa kushirikiana na serikali yetu,matatizo na kero ndogondogo Tuwe wavumilivu na wenye subira wakati serikali yetu ikiendelea na juhudi na jitihada za kukabiliana nazo.serikali yetu ipo kazini muda wote na Rais wetu tunaona akifanya kazi usiku na mchana kututumikia watanzania.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
NI USHAMBA KUTUANDIKIA GAZETI KWA UZI WA KUTUNGA
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
Mm mwenyewe nautaka.huo urai basi tu nimekwama huku mashambani nasubiri katiba mpya
 
Ndugu zangu siku zote Mwenyezi Mungu hamfichi Mnafiki ,Kwa miaka mingi viongozi wa chadema wamekuwa wakiwaita na kuwabatiza watanzania majina mbalimbali mfano utasikia wanasema watanzania Ni waoga,wajinga ,wamekosa Elimu n.k,Mara nyingi kukitokea mapinduzi ya kiraia kwa baadhi ya serikali za nchi fulani zinazokuwa zimeshindwa kusikiliza wananchi wake unakuta viongozi wa chadema wakitamani na kutoa maneno ya kutaka machafuko yatokee hapa nchini.

Sasa Imefahamika wazi kupitia Tundu Lisu kiongozi wa chadema wa ngazi ya juu kabisa akitamka kupitia mdomo wake ambao siku zote Hauna breki wala kuchagua maneno ya kutamka kuwa watoto wake Ni raia wa Marekani, Ndugu zangu kumbe ndio maana chadema imekuwa ikitaka kuona umwagikaji wa damu hapa nchini kwa kuwa wanajuwa kuwa wao na familia zao hawataathirika na chochote,kumbe wanafahamu kuwa Damu za familia zao zitakuwa salama,kumbe wanafahamu kuwa hakuna mtoto wao au mwana familia wao atakayebakia na kilema Wala upofu Wala majeraha Wala njaa Wala kuvunjwa miguu kwa kuwa wanafahamu kuwa wao siyo raia wenye uzalendo na nchi hii hata ikichafuka na kutiririsha Damu Kama chemichemi za maji jangwani zaidi ya kuhitaji madaraka tu hata kwa kushirikiana na shetani

Hii ndio sababu kumbe chochote kinachofanywa na serikali hii wanakibeza kwa kuwa wanajuwa watoto wao wanapata huduma Bora huko kwingine,Ndio maana wakiona mama yetu mpendwa mama Samia akitoa Elimu bure Hadi kidato Cha sita au kuwapa mikopo wanafunzi wote wa Elimu ya juu wenye sifa wao wanabeza,wanadharau ,wanatoa maneno ya kumkatisha Tamaa Mh Rais kwa kuwa wanajuwa watoto wao wanapata huduma bora huko nchi za magharibi na kwamba wanatamani watoto wa watanzania wazeeke bila Elimu Wala ujuzi,wanataka watoto wa watanzania wawe wanyonge,wajinga mbele za watoto wao,wanataka watanzania wasijitambue ili waje wawatumie kuleta machafuko hapa nchini kwetu

Ndio maana wakiona mama yetu na Rais wetu mpendwa mama Samia akijibidisha kujenga vituo vya Afya kila sehemu wao hawapendi kwa kuwa wanajuwa watoto wao wakiumwa hawatatibiwa hapa nchini kwa kuwa watakwenda huko nchi za magharibi na bima zao kubwa kubwa,hawataki kuona watanzania wakipata huduma Bora za kiafya,hawataki kuona watanzania wakipata maji Safi na salama kwa kuwa wanatamani waone watanzania wakihangaiika na magonjwa ya matumbo mpaka wapoteze ufahamu ili waje wasimame majukwaani kuwahamasisha watanzania waibomoe nchi yao kwa mikono yao

Ndio maana wakiona Rais wetu akiwainua wakulima wananuna na kumbeza kwa kuwa Wao chedema wanatamani wakulima wasilime na wakumbwe na njaa na hata kufa na njaa,wanatambua kuwa huwezi kumuongoza mwenye njaa Ndio sababu wanatamani watanzania wawe na njaa ili waje wasimame hadharani kuwatumia watanzania kuchinjana.ndio sababu ya kupandikiza chuki kwa watanzania dhidi ya serikali yao,ndio sababu wakati wote wamekuwa wakitoa maneno yenye sumu ili kuwamezesha watanzania waichukie serikali yao,ndio sababu wakati wote maombi yao yamekuwa ni kutaka kuona serikali ikishindwa ili ichukiwe na watanzania,Ndio sababu kuna wakati wamewahi kusema kuwa nchi haitatawalika

Chadema hawapendi kusikia habari za mama kutoa maelfu ya ajira kwa vijana takribani elfu 42, kwa kuwa wanataka kuona vijana wakihangaiika mitaani Kama vibaka kusudi wawatumie kubeba hasira na sumu mioyoni mwao ya kuvuruga amani ya nchi yetu kwa kuwa wanajuwa watoto wao wapo ulaya na familia zao na wao wenyewe watakimbilia huko halafu wawe wanarusha picha mitandaoni kwa makubwa zao,Hakika chadema Ni vibaraka, Ni wasaliti wa nchi yetu ,wapo Tayari kwa lolote ilimradi tu wapate madaraka,wanachoomba wao Ni machafuko tu yatokee ili watafute njia ya mkato

Kibaya zaidi Ni kuwa safu ya uongozi ya Chadema nidhaifu Sana kwa Sasa na iliyopoteza matumaini na kujikatia Tamaa,imejikatia Tamaa yakutwaa Dola kwa njia ya kidemokrasia,imepoteza ushawishi kwa watanzania,haionyeshi matumaini ya kesho,Hakuna anayeiunga mkono,imebaki Ni mkusanyiko wa watu waliokata na kujikatia Tamaa ndio maana wanaona njia fupi ni kama Ile aliyoitangaza Lisu uchaguzi uliopita ili watanzania waandamane mitaani wakati huo yeye Anayo tiketi ya kukimbia nchini na kajificha ubalozini

Watanzania Tumeshayajuwa ya sirini na dhamira ya Chadema,wamejiumbua wao wenyewe,Ndio hasara ya kuwa na kiongozi mropokaji Kama Tundu Lisu,Tusiwape nafasi chadema ya kuharibu Taifa letu kwa kuleta machafuko na kupandikiza chuki miongoni mwetu,wao hawatakuwepo hapa nchini na Wala hawataumia kwa chochote,Tusiwaunge mkono,Tuwapuuze na kuwadharau kwa lolote watamkalo maana hawana Nia nzuri na Taifa letu

Ushauri kwa Idara yetu ya usalama wa Taifa(TISS) Ni kuhakikisha wanakuwa chonjo na nyendo zote za viongozi wa chadema katika safari zao za nje ya nchi,wasiruhusu mapesa yakaingia kiholela hapa nchini ambayo yakaja kufadhili mipango Yao miovu,wawe makini na kufuatilia matamshi yao ,wasiwaruhusu wakapandikiza mbegu za chuki kwetu watanzania,Tumeona siku za hivi karibuni wakijaribu kutaka kupandikiza mbegu ya ukanda na ukabila Kama kete ya kupata uungwaji mkono ambao walisha upoteza muda mrefu

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe,Nadhani tumeshatambua kwanini Chadema ipo msitari wa mbele kupinga juhudi za mh Rais,Tumeshatambua ni kwa kuwa hawana uchungu na sisi watanzania Bali wanaombea tuteseke ili waje watutumie kufanikisha ajenda zao, Tusiwape nafasi hiyo. Tuwe bega kwa bega na Rais wetu na Tusikubali watimize malengo yao kupitia mikono yetu,Tulipende Taifa letu na Tulipiganie kwa nguvu zote,Ni Rahisi kulibomoa Taifa kuliko kulijenga na kuliinua mpaka tulipo nalo hapa penye amani utulivu na usalama,Tukumbuke watu wengi wanatuonea wivu watanzania kwa namna tulivyo na mshikamano, hivyo tusije jiroga tukavuruga amani yetu tuliyo nayo

Mwisho tukumbuke kuwa matatizo yetu tutayatatua sisi wenyewe kwa kushirikiana na serikali yetu,matatizo na kero ndogondogo Tuwe wavumilivu na wenye subira wakati serikali yetu ikiendelea na juhudi na jitihada za kukabiliana nazo.serikali yetu ipo kazini muda wote na Rais wetu tunaona akifanya kazi usiku na mchana kututumikia watanzania.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Erythrocyte hapa chini nimekunukuu

[emoji116]

"Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki kimefanyika ndani ya ofisi za bunge la Ujerumani"
Je!![emoji115]
Erythrocyte
![emoji115]
Kwa hiyo Nukuu hapo juu![emoji115]

Ebu tuulizane maswali kuntu hapa!
Kwa hiyo chama cha
"Christian Democratic Union" cha Ujerumani ndio kina amua siasa "Chadema" ya Tanzania?

Je!
Chadema mnaenda kushauriana na wazungu jinsi ya kuja kufanya siasa Tanzania?

Ni nani atajua malengo rasmi ya hao wazungu,kuisapoti Chadema na ili iweje baada ya Chadema kuchukua Dola?

Je!
Kuna siku Mzungu alikwisha fanya kazi ya Bure kwa Muafrika?

"Chadema"mkiambiwa mnatumiwa na Mabeberu mtabisha?

Je!
Chadema mmeishiwa Sera na Hoja mpaka mmerudi Darasani mkafundishwe Upya?

Je!
Ni Mbinu gani?,Hoja gani? na
,Sera gani?....na kwa lengo gani hasa?

Kwamba Mjerumani ndie mnenda kukaa nae kumueleza na kujadili hali ya kisiasa Tanzania?

Kwamba na wao ni lini walikuja Tanzania kukaa na Chadema ili kujadili hali ya kisiasa ya Ujerumani?

Kumbe Lissu kukaa kote nje ya nchi ni kuhudhuria Mafunzo ya Umama-mluki!

Kuna masharti gani nyuma ya huo msaada wa wajerumani,maana tunawajua kuwa ni mabingwa wa "LBGT"

Hata majuzi ndege ya Ujerumani "LUFTHANSA" iliyokuwa imebeba timu yao ya Taifa ilizuiwa kutua Qatar.
Sababu ilikuwa imechorwa alama za ushoga.

Mpaka walipotua nchi ingine na kubadilishiwa ndege isiyo na alama za kishoga.
Mambo Mengine Bora Muwe Mnafanya Kimyakimya Kuliko Kuja kujiaibisha huku JF

Toba
[emoji116]
View attachment 2428559

Unashangaa CDM kwenda kuongea na wazungu, ila hushangai mama Samia kwenda kuzindua royal tour kwa wazungu. Kila siku mama Samia anaenda kuomba hela kwa wazungu, na wazungu ndio wanaotudai sana huogopi chochote. Ila CDM wakikaa na wazungu kwenye mkutano ndio inakuwa tatizo!

Ni kipi wazungu hawajapewa na ccm kuanzia raslimali, tender zote za bei ghali, ambazo wanasubiri hadi CDM waingie madarakani ndio wazipate? Isitoshe tumepata uhuru tokea mwaka 61 na nchi hii bado ni masikini. Ni kipi kilichoshindwa kuondoa huo umasikini, ambacho mzungu anakitaka? Au hizi tozo ndio mzungu anataka kuja kukusanya apeleke Ulaya? Rudini shule mkajifunze propaganda.
 
Chadema Ni mamluki,Ni vibaraka wa wazungu, wasaliti wakubwa wa Taifa letu

Wazungu wamejaa kila mahali hapa nchini, je hawa wazungu ni tofauti na hao wanaoongea nao CDM? Ingia kwenye deni letu la taifa, zaidi ya nusu ni pesa za hao wazungu. Kama kushirikiana na wazungu ni kuuza nchi, basi CCM imeshaiuza muda mrefu na hamna uhalali wa kuongoza nchi hii. CDM hakikisheni mnakaa na wazungu na wawape hela ya kutosha kuja kupambana na haya majizi ya kura.
 
Low minded
Short sighted
Viongozi wafupi kwa mujibu wa kipanya
Watoto ni raia na wana haki ya kuchagua uraia wa nchi yoyote
Sasa utachagua kwenye hamna?
 
Katika hii nchi ,tafuta tu kazi ya kuendesha maisha yako,uwe na uhakika wa kupata mahitaji yako ya muhimu kwa wakati, usijisumbue kabisa kuwaza kuwaondoa sijui ccm,sijui lissu awe rais, mara chadema hapo ni kujisumbua na kupoteza muda
 
Sioni shaka LISSU kupewa urais, ili mradi yeye ni mtanzania.. mwenzetu,
Watu wenye vision kubwa wanaangaliaga maono ya mtu na siyo sijui uraia... Izo ni nchi maskini na wapuuzi tuu ndio wata_base kwenye ukabila na urai....
Mfano wazuri mkuu wa Uk kiasilia ni muhindi ila kapewa PM,
 
Hili nalisema kutoka moyoni kabisa kwamba huyo mtu au mwanasiasa aheshimiwe sana.

Hapa tuna viongozi watoto wao ndio wanaongoza kwa kufilisi hazina ya Taifa letu, ni bora sana huyu mwenye watoto wanaopambana na hali zao huko Unyamwezini.

cc: Le mutuz
 
Tena ilibidi ajisahaulishe,asikumbuke kabisa, adili na watoto wake tu.Ila UTU watu wamejaaliwa utu
 
Hili nalisema kutoka moyoni kabisa kwamba huyo mtu au mwanasiasa aheshimiwe sana.

Hapa tuna viongozi watoto wao ndio wanaongoza kwa kufilisi hazina ya Taifa letu, ni bora sana huyu mwenye watoto wanaopambana na hali zao huko Unyamwezini.

cc: Le mutuz
Viongozi wa chadema ni wapumbavu sana ,wanahamasisha maandamano Tanzania huku watoto wao wamewaficha Marekani.
 
Back
Top Bottom