Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.!
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake
Unaonaje ungeanza kwanza kuwashukuru watoto wa Lissu kwa kukujengea Barabara halafu ukaendelea na porojo zako?
1669270778262.png
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.!
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake
Kwa sababu huwa mimi nanyoosha Rula ya UKWELI!

chiembe kwa hili unayo hoja ya Msingi!

Ila kule kukaza kwako shingo kutetea wezi,ndio kutafanya hata Point zako zionekane za ki-chama zaidi.

Wakati kuna ukweli ndani yake.
Ila inabidi watu wenye mawazo mema,tafakuri jadudi ndio wanaweza kuielewa mantiki iyopo hapo!
 
Akili kichwani mzee.. Hii nchi walicho nacho wanatengezea mazingira mazuri sana kwa watoto wao na vizazi vyao.. Kesheshe ipo kwa wasio nacho makapuku.. Ubinafai umetalamaki, hadi inafikia viongozi wanatoa matamko ya ajabu tusio na ajira tukachekiwe mirembe, mala tupo wazembe mala tujiajiri.. Ila tu kwakuwa wao wameshiba.. Jobless kama mzabzab atatoka hapo 😅😅
Mzeeya hawa wanatuina sie majinga tuu. Wote walamba asali tuu aliyeshiba hamjui mwenye njaa
 
Kawaida sana

George Weah ni Rais wa Liberia lakini mtoto wake ni raia wa Marekani na Juzi kaifungia goli nchi yake ya USA kwenye kombe la Dunia
Na kwa sababu huijui historia ya Liberia na Marekani, sioni ajabu kwako kusema hayo uyasemayo.

Ila nakushauri uelewe hivi.

"Liberia is a country in West Africa founded by free people of color from the United States. The emigration of African Americans, both free and recently emancipated, was funded and organized by the American Colonization Society. The mortality rate of these settlers was the highest in accurately recorded human history."

Kwa hayo Machache wewe ...
johnthebaptist !

Unapaswa kujua kwamba hata yule Mama Johnson Sirleaf alikuwa Rais Liberia,lakini familia yake ikiwa USA.

Hilo taifa liliundwa na Marekani. Ni masalia ya watumwa waliorudishwa Africa ili kupunguza uzao na ongezeko la idadi yao,dhidi ya wamarekani weupe!

Kwa hiyo Wa-Liberia wengi,Marekani ndio kwa mababu zao.
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.!
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake
Akili za kiccm hizi,mlivyomfanyia unyama ule mtashindwa kumuulia watoto wake ili muzidi kumuumiza?
 
Wanasiasa bwana aligombea urais huku amekata TICKET ya go and return 😄😄, mh. Lowasa alisema kipaumbele na moja mpaka tatu Ni ELIMU. aliona mbali Sana mzee wetu..mtu asababishe vulugu watu wavunjwe yy familia yake yote ipo kwa mabeberu huko.
 
Na kwa sababu huijui historia ya Liberia na Marekani, sioni ajabu kwako kusema hayo uyasemayo.

Ila nakushauri uelewe hivi.

"Liberia is a country in West Africa founded by free people of color from the United States. The emigration of African Americans, both free and recently emancipated, was funded and organized by the American Colonization Society. The mortality rate of these settlers was the highest in accurately recorded human history."

Kwa hayo Machache wewe ...
johnthebaptist !

Unapaswa kujua kwamba hata yule Mama Johnson Sirleaf alikuwa Rais Liberia,lakini familia yake ikiwa USA.

Hilo taifa liliundwa na Marekani. Ni masalia ya watumwa waliorudishwa Africa ili kupunguza uzao na ongezeko la idadi yao,dhidi ya wamarekani weupe!

Kwa hiyo Wa-Liberia wengi,Marekani ndio kwa mababu zao.
Mbona Wanaccm wengi tu Wana uraia wa Marekani na wengine Cuba na tumewapa hadi uwaziri

Ni kawaida sana
 
Back
Top Bottom