Na kwa sababu huijui historia ya Liberia na Marekani, sioni ajabu kwako kusema hayo uyasemayo.
Ila nakushauri uelewe hivi.
"Liberia is a country in West Africa founded by free people of color from the United States. The emigration of African Americans, both free and recently emancipated, was funded and organized by the American Colonization Society. The mortality rate of these settlers was the highest in accurately recorded human history."
Kwa hayo Machache wewe ...
johnthebaptist !
Unapaswa kujua kwamba hata yule Mama Johnson Sirleaf alikuwa Rais Liberia,lakini familia yake ikiwa USA.
Hilo taifa liliundwa na Marekani. Ni masalia ya watumwa waliorudishwa Africa ili kupunguza uzao na ongezeko la idadi yao,dhidi ya wamarekani weupe!
Kwa hiyo Wa-Liberia wengi,Marekani ndio kwa mababu zao.