List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

Mnaofikiria biashara ya unga wa sembe ni bora zaidi ukinunua mahindi mikoani hasa kipindi cha mavuno kinachoanzia mwezi wa tano mwishoni gunia mojanhufika hadi sh 15 elfu yanapigwa dawa unayahifadhi ghalani tayari kwa uzalishaji muda wowote..

Wazo zuri kiongozi
 
Bei ya mashine ya kusaga na kukoboa mahindi ni shilingi ngapi wakuu,
 
Mashine za kukoboa zinapatikana madukani hapa utahitaji kinu cha kukoboapia madukani vipo na bei ya kawaida.packaging waweza wasiliana na SIDO watakusaidia.Kama upo kanda ya ziwa mwnza maeneo ya Nyerere road utapata mashne hizo.
 
Mashine za kukoboa zinapatikana madukani hapa utahitaji kinu cha kukoboapia madukani vipo na bei ya kawaida.packaging waweza wasiliana na SIDO watakusaidia.Kama upo kanda ya ziwa mwnza maeneo ya Nyerere road utapata mashne hizo.

mashine naipataje ya kupukuchulia mahindi kama nipo dar na maeneo ya karibu au kwa ukanda wa songea
 
Mwenye idea ya uzalishaji wa pea nut better naomba anisaidie..kuanzia mashine mpaka...
 

Haya maji ya mvua anakinga wakati wa mvua halafu anauza?? au inakuwaje??
 
kwa tanzania itawezekana kweli biashara hii mana wengi wetu hatujawa wabunfu na wachunguzi wa biashara hii
 
kwa tanzania itawezekana kweli biashara hii mana wengi wetu hatujawa wabunfu na wachunguzi wa biashara hii

Inawezekana sana.. Tatizo wabongo wengi tuko pessimistic, skeptimistic and we have bitter reactions to new innovations...hatutaki kuthubutu, na mtu akithubutu hatumpi ushirikiano....infact tuna piga mawe kwa majungu.....
 
Biashara nyingi hapa ni rahs na zinalipa maana nyingi tunaagiza china, lkn sasa urasimu wa serikali Yetu. Unaweza usifanikiwe, wazungu wanasamehewa kodi miaka 10 matazamio, siku ukianzisha kiwanda lets say cha toothpick siku iyoiyo TRA watataka Kodi kwasababu tu wewe ni Mzawa
 
New business idea ni juu ya kununua dhahabu kwa uchuuzi wa gramu moja,mbili mpaka tatu kwa kuokoteza kwa walanguzi na kwenda kuiunga kwa wataalamu ili kutoa kama ni gramu 12,50 au kg.Na hii inapendeza kufanyika zaidi ukiwa mgodini hukohuko.Mathalani gramu unanunua kwa kiasi cha shilingi 25000,na ukaenda uza 50000 kwa bei ya jumla.Hapo mnaonaje wadau....
 
Haya maji ya mvua anakinga wakati wa mvua halafu anauza?? au inakuwaje??

yes anayakinga kwenye matank, anaya treat kisha anaya pack kwenye chupa then anauza kama vile uhai kilimanjaro nk
 
Anae jua vifaa vya kutengenezea chill sauce na tomato sauce anisaidie
 
Very True, nimekutana sana na ubaguzi Wa aina hii.Sisi kama vijana ni lazma tupaze sauti zetu abt this issue.
 
Wazo langu ni juu ya kupata Mkaa kutokana na Pumba za mpunga.
Kwa kutumia machine rahisi.
Huku ninakoishi kuna miti ya kupandwa ikipasuliwa inanukia kama ubani. Tunatumia kuwashia Mkaa kwa urahisi. Je katika Ulimwengu wa ujasiriamali idea hili inaweza kuuzikana?
Wazo jingine la ujasiliamali wajuzi mtuelekeze namna ya kupanda uyoga wa bei rahisi. Je biashara ikiwini haiwezi kumtoa mtu?
 
Kiwanda kidogo kitakacho jishughulisha na kufany Good packaging ya vyakula na mazao ya vyakula na kuuza jumla kwa supermarkets yaani hauwez nambia tunashindw hata ku pack nyanya au mchicha vzuri na kuuza kwa Food Lovers na TSN.? fanya ununue mchicha k/koo fungu 350 na kupack ni 250 total 600 kule FoodLovers unaend uza kwa 1,000 profit 400 kwa bunch 100 profit ni 40,000 huo ni mchicha tu fanya na mboga zingine kama 6 hvi unawez ingza almost 200k per day..
Na hyo ni mboga mboga tu ukifanya na uyoga.? Dagaa wakavu.? Nyanya.? Bamia.?
 
Jamani Mimi sina ajira ila na 1,500,000 ... Naomba mnisaidie nini niwekeze ili hiyo hela isinipite mkononi tu!!!
 
Tuwe serious kidogo.
1)Agroprocessing na packaging ya Farm products
Kwa sababu Makao yetu mengi yanakwenda Nje ya Nchi bila value addition.Mfano Maembe yanaharibika Sana Msimu wa mavuno,hatuna Namna ya kuyaprocess yawe hata juice concentrate...
 
Reactions: amu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…