Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Dudubaya yupo Geita anakunywa tu Shimwaa na Ambiance vijiweni.Kuwa juu ya mawe aje? Kimuziki, kiumaarufu au kifedha?
3. Chidibenz
4. Pauline Zongo
5. Dudubaya
6.
7.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dudubaya yupo Geita anakunywa tu Shimwaa na Ambiance vijiweni.Kuwa juu ya mawe aje? Kimuziki, kiumaarufu au kifedha?
3. Chidibenz
4. Pauline Zongo
5. Dudubaya
6.
7.
Mchagga wa Rombo. Anaitwa Lucas Mkenda.Hivi Mr Nice ni Mzanzibari?!
Hiyo ilikuwa marekani?Sijawahi kuona mtu mpuuzi kama Mr Nice, niliwahi kwenda kwenye show yake zamani na mwisho wa show nilijua huyu mshamba soon mziki utamshinda na ataishia kufilisika, alipiga Minneapolis siku hiyo watu walikuwa wamejaa vibaya sana kuanzia wakenya, wazungu na west Africans wote walikuwepo, nyimbo zake maarufu wakati huo nafikiri zilikuwa kidari poa na ...i dont remember, kwanza akaanza na vibe mbaya sana akaingia baada ya midnight watu wakamind sana lakini wakampotezea ili show iendelee, badala ya kuimba na kupiga show akaanza kuongea ujinga kwenye stage na kibaya zaidi kiingereza kibovu hakuna anayemuelewa, then akaanza show akatupigia nyimbo hata hatuzijui, watu wakamwomba apige show ya zile nyimbo tunazojua, jamaa akasema leo ni nyimbo mpya tuu, watu wakamind sana na stimu za watu zikakata kabisa, akaimba nyimbo zake za ovyo hakuna anayecheza wala kumsikiliza, akaanza kupiga kelele mbona hamchezi basi mimi naondoka, watu wakachoka naye wakaanza kumzomea na kumwambia aondoke, badala ya show yakawa matusi baina yake na washabiki, zilirushwa beer, viti, maji na kila kitu ilibidi wamtoe kupitia mlango wa nyuma, baada ya hapo nasikia show zake zote States zilipigwa chini na sponsor wake, i hope kaacha kiburi na majivuno yake ya kishamba
Yep...MinneapolisHiyo ilikuwa marekani?
Inategemeana umekeza kwenye kitu gani??Watu wanasahau hilo, utasikia mtu analaumu hawakuwekeza, kwani ukiwekeza ni lazima ufanikiwe?
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Aisee hapo kweli Mkuu Ahsante.Yep...Minneapolis
Baadae labda alikapata hukumbuki alikuja inuliwa na diamond.Huyu si inasemekana ana kahoteli kake pale Bukoba mjini au changa la macho 😄😄
Hakuna mtu anaependa kuanza vizuri na kumalizia vibaya. Nahisi huko alipo anajutia alichokuwa anafanya enzi hizo.Mr Nice nasikia alikuwa anajaza vibunda kwenye buti ya gari. Inasemekana alikuwa na zaidi ya 1.5 billion kipindi hiko.
Kuna interview alifanyiwa na millard ayo akasema alikuwa anatumia pesa haswa yaani hadi pesa zinatoa machozi kwa hiyo hajutii kufirisika. Lakini ukiangalia usoni ni mtu mwenye majuto sana
Wengi waliponzwa na starehe za hovyo.Ila kiukweli bongo kulikua na vipaji haswaa ila ndio hivyo akili ndogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo ulitaka asiwaombe hela ya kula? Mbona kawaida sanaYani mtu kapiga sho hadi Minneapolis lkn leo hii anatupiga mikuki mtaani tumuungie hela ya kula 😄😄
Kuwa 'darasa' kwa wengine sio kazi ndogo....hiyo mikuki ndio malipo yake.Yani mtu kapiga sho hadi Minneapolis lkn leo hii anatupiga mikuki mtaani tumuungie hela ya kula 😄😄