Live Bungeni: Kukosekana kwa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Kumepelekea Kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu Kukosa Impact?

Live Bungeni: Kukosekana kwa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Kumepelekea Kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu Kukosa Impact?

Wanabodi,

Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba kuuliza, jee kuna uwezekano wa kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kupunguza msisimko wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu hivyo sasa kipindi hiki kimekosa impact kama enzi zile za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni? .

Enzi za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu ilikuwa moto, sii ya kukosa, siku zote swali la kwanza lilitoka ama kwa kiongozi wa upinzani bungeni ama kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Je ni mimi tuu?, vipi nyinyi wenzangu? . Msikie JJ. Mnyika
View: https://youtu.be/r-SmiYZUOXc?si=VjwownS936rlz14K

Ushauri wa Bure kwa Mhe. Spika.
Pamoja na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kutokana na wapinzani kutokukodhi akidi, lakini kuna wapinzani bungeni, hivyo ili kurejesha msisimko wa Bunge la vyama vingi, wapinzani wote waliopo Bungeni waunde kundi la "the minority", to act kama kambi rasmi ya upinzani, hivyo kipindi cha maswali ya papo kwa papo kianze na maswali ya papo kwa papo swali la kwanza litoke kwa the minority.

Pia kitendo cha Chadema kutowatambua wale wabunge wake 19 na kuwaita covid 19, kumepelekea kuwavunja confidence wabunge wake machachari kama Mhe. Halima Mdee, Esta Bulaya, Ester Matiko and the like, wanaonekana wako wako tuu bungeni kwa ajili ya maokoto kwa kuvuta tuu bingo kusubiria Bunge kuvunjwa hapo mwakani.

Paskali

Kiukweli jiwe alikuwa mtu ovyo sana sana
 
Magufuli ndio chanzo Cha bunge hilo kukosa mvuto kwa sababu ya kulazimisha kukubalika. Alianza kwa kuzuia bunge live, kisha akaleta habari sijui maswali kwa waziri mkuu yawe ya sera. Hakurudhika baada ya kulinyima bunge uhuru, akalifanya kuwa la chama kimoja Ili limuongezee muda wa kukaa madarakani. Hapo ndio alipoteza mvuto wote wa bunge. Haya unayoona Leo ni matokeo ya Magufuli kulazimisha bunge liwepo kwa utashi wake.
Magu alikuwa rais wa ovyo kuwai kutokea
 
Nikikumbuka ule uzi wako wa kwanza baada ya uchaguzi ukishutumu mwanaJF mmoja diaspora kuhojiwa na Newyork Times na kusema uchaguzi haukuwa huru na wa haki.

Huku wewe ukitetea na kupinga kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa haki tena uliongozwa kwa kufuatiliwa na watanzania wengi walionunua smartphones hadi internet ikazidiwa.

Hakika wewe ni moja ya wanadamu wanafiki niliowahi kuwafahamu na ipo siku tutaweka wazi role yako halisi huko serikalini.
 
Nikikumbuka ule uzi wako wa kwanza baada ya uchaguzi ukishutumu mwanaJF mmoja diaspora kuhojiwa na Newyork Times na kusema uchaguzi haukuwa huru na wa haki.

Huku wewe ukitetea na kupinga kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa haki tena uliongozwa kwa kufuatiliwa na watanzania wengi walionunua smartphones hadi internet ikazidiwa.

Hakika wewe ni moja ya wanadamu wanafiki niliowahi kuwafahamu na ipo siku tutaweka wazi role yako halisi huko serikalini.
Honestly huyu bro nilikuwa namuona wa maana, ila Magufuli alipoingia madarakani sikuweza kuamini kiwango Cha wanafiki tulionao. Yaani ni kama Magufuli alikuja kutuanikia wanafiki. Saa hata akitoa ushauri wake najua tu ni mnafiki aliyepoteza ramani.

Cc: Paskali Mayalla
 
Wanabodi,

Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba kuuliza, jee kuna uwezekano wa kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kupunguza msisimko wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu hivyo sasa kipindi hiki kimekosa impact kama enzi zile za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni? .

Enzi za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu ilikuwa moto, sii ya kukosa, siku zote swali la kwanza lilitoka ama kwa kiongozi wa upinzani bungeni ama kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Je ni mimi tuu?, vipi nyinyi wenzangu? . Msikie JJ. Mnyika
View: https://youtu.be/r-SmiYZUOXc?si=VjwownS936rlz14K

Ushauri wa Bure kwa Mhe. Spika.
Pamoja na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kutokana na wapinzani kutokukodhi akidi, lakini kuna wapinzani bungeni, hivyo ili kurejesha msisimko wa Bunge la vyama vingi, wapinzani wote waliopo Bungeni waunde kundi la "the minority", to act kama kambi rasmi ya upinzani, hivyo kipindi cha maswali ya papo kwa papo kianze na maswali ya papo kwa papo swali la kwanza litoke kwa the minority.

Pia kitendo cha Chadema kutowatambua wale wabunge wake 19 na kuwaita covid 19, kumepelekea kuwavunja confidence wabunge wake machachari kama Mhe. Halima Mdee, Esta Bulaya, Ester Matiko and the like, wanaonekana wako wako tuu bungeni kwa ajili ya maokoto kwa kuvuta tuu bingo kusubiria Bunge kuvunjwa hapo mwakani.

Paskali
 
Wanabodi,

Naangalia Bunge live asubuhi hii, kusubiria hotuba ya hali ya uchumi, ndio nikakumbuka kumbe leo ni siku ya Alhamisi, ni siku ya maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu, sasa naomba kuuliza, jee kuna uwezekano wa kukosekana kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kumepelekea kupunguza msisimko wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu hivyo sasa kipindi hiki kimekosa impact kama enzi zile za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni? .

Enzi za uwepo wa kambi rasmi ya upinzani, kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu ilikuwa moto, sii ya kukosa, siku zote swali la kwanza lilitoka ama kwa kiongozi wa upinzani bungeni ama kwa mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani.

Je ni mimi tuu?, vipi nyinyi wenzangu? . Msikie JJ. Mnyika
View: https://youtu.be/r-SmiYZUOXc?si=VjwownS936rlz14K

Ushauri wa Bure kwa Mhe. Spika.
Pamoja na kutokuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, kutokana na wapinzani kutokukodhi akidi, lakini kuna wapinzani bungeni, hivyo ili kurejesha msisimko wa Bunge la vyama vingi, wapinzani wote waliopo Bungeni waunde kundi la "the minority", to act kama kambi rasmi ya upinzani, hivyo kipindi cha maswali ya papo kwa papo kianze na maswali ya papo kwa papo swali la kwanza litoke kwa the minority.

Pia kitendo cha Chadema kutowatambua wale wabunge wake 19 na kuwaita covid 19, kumepelekea kuwavunja confidence wabunge wake machachari kama Mhe. Halima Mdee, Esta Bulaya, Ester Matiko and the like, wanaonekana wako wako tuu bungeni kwa ajili ya maokoto kwa kuvuta tuu bingo kusubiria Bunge kuvunjwa hapo mwakani.

Paskali
 

Attachments

  • Odinga Bunge.mp4
    9.3 MB
Nikikumbuka ule uzi wako wa kwanza baada ya uchaguzi ukishutumu mwanaJF mmoja diaspora kuhojiwa na Newyork Times na kusema uchaguzi haukuwa huru na wa haki.

Huku wewe ukitetea na kupinga kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa haki tena uliongozwa kwa kufuatiliwa na watanzania wengi walionunua smartphones hadi internet ikazidiwa.

Hakika wewe ni moja ya wanadamu wanafiki niliowahi kuwafahamu na ipo siku tutaweka wazi role yako halisi huko serikalini.
Naheshimu maoni yako na asante kuchangia uzi wangu
P
 
Bunge la sasa Kila mchangiaji anachoweza kusema ni miradi mingapi ''mama'' kapeleka kwao hakuna michango nchi Ina kwenda wapi?
 
Honestly huyu bro nilikuwa namuona wa maana, ila Magufuli alipoingia madarakani sikuweza kuamini kiwango Cha wanafiki tulionao. Yaani ni kama Magufuli alikuja kutuanikia wanafiki. Saa hata akitoa ushauri wake najua tu ni mnafiki aliyepoteza ramani.

Cc: Paskali Mayalla
Naheshimu maoni yako na asante kuchangia uzi wangu
P
 
Back
Top Bottom