Live Updates: Yanga SC Vs Mtibwa Sukari,B.Mkapa Stadium

Hawa mtibwa kwenye attacking mbona wamepoa sana
 
Uto mmkua wanyonge kweli kimyaaa si mnaongoza ligi nyie na ni unibiteni
 
kwan Tff imetowapa majtbu gan...? nmaana walisema wanaweza wakajitoa kwenye ligi endapo hawato pata majibu 😇 😇 😇
 
😄😄😄 tunaongoza ligi ndiyo ila hata leo tunampga mtu tatu, kulipiza sare tatu mfululizo🤣🤣🤣
 
Halft Time tumemkosa kosa Uto,
Tukirudi lazima Chura akae tu, hakuna jins
 
hawa nchimbi na sarpong 1st half duuu aya bwana najua kazi tunaimaliza 2nd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…