Live Updates: Yanga SC Vs Mtibwa Sukari,B.Mkapa Stadium

Hawa mtibwa kwenye attacking mbona wamepoa sana
Mtibwa ni wazuri kwenye Defence kwa upande wa Attacking force mpaka sasa wan Goli 9 tu za kufunga hawapo vizuri kwenye Attacking.
 
Hawa uto hata wakijitoa tutawafuta huko huko
 
Mtibwa ni wazuri kwenye Defence kwa upande wa Attacking force mpaka sasa wan Goli 9 tu za kufunga hawapo vizuri kwenye Attacking.
Kumbe ndio maana, basi watafute hata faul karibu na 18
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…