Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Tuweke udini pembeni

Je Watanzania hawapaswi kujifunza karate na judo? Je mbinu za kujilinda ni kinyume na sheria za nchi? Hizi tahariko tunazobabatizwa nazo kila mara kwa jina la ulinzi na usalama, kwa nini serikali isipeleke mamluki wake hapo nao wakajifunza hayo mafunzo ili kuyachuja kama ni hatari kwa jamii? Naona badala yake ni hizi Kamati za Ulinzi na Usalama zimejikita kwenye kupambania taharuki kuliko kutumia weledi na akili kudeal na haya mambo
Mimi nimeshangaa, mafunzo ya judo na karate china watoto wanajifunza tokea wakiwa watoto wadogo kabisa, cha ajabu ni nini watoto wakifunzwa mafunzo hayo??Labda waseme kuwa wameachishwa shule na kutoroshwa au hiko chuo hakina usajili sawa, ila mafunzo hayo yana kasoro gani?

Labda watuambie kuwa wamekuta silaha na mabomu labda, wanaacha mambo ya msingi wanakimbilia kupiga vita mafunzo ya ukakamavu?
 
NI UOGA TUH NA ISLAMOPHOBIA MKUU,HAKUNA SEHEMU YYTE MARTIAL ARTS IKWA THREAT KWA JAMII,NI UOGA TUH
Yawezekana ukawa sahihi ila nijuavyo kwa mfano jamii za ki Asia katika dini kama Buddhism wao wanaitumia martial arts kama ni moja ya utamaduni wao katika hiyo Imani na hata mafundisho yao yamejikita zaidi katika amani na jamii.

Shida kubwa sana huku kwetu tunapeana hayo mafunzo ukiichunguza kiundani zaidi kuna element za uvinjifu wa amani hapo ndipo tunasema hayo mafunzo yametumika sivyo.
 
Yawezekana ukawa sahihi ila nijuavyo kwa mfano jamii za ki Asia katika dini kama Buddhism wao wanaitumia martial arts kama ni moja ya utamaduni wao katika hiyo Imani na hata mafundisho yao yamejikita zaidi katika amani na jamii.

Shida kubwa sana huku kwetu tunapeana hayo mafunzo ukiichunguza kiundani zaidi kuna element za uvinjifu wa amani hapo ndipo tunasema hayo mafunzo yametumika sivyo.
Monitoring kama serikali ni muhimu, kwani wapo watu wanaoweza kutumia loophole kama hiyo na kumislead au kupotosha, kwa hilo sikatai, na hilo lipo kwa watu wa dini zote
 
Nigeria walipuuzia hayo mafunzo. Yamekuja kuwatesa sana mbeleni. Boko haram ilianza kama utani.

Hao vijana kiislam wanaitwa المُهَاجِرْ "al-Muhājir,"

Wanachukuliwa kutoka kwa wazazi wao toka wadogo wanapelekwa mbali na nyumbani kwao kambini na kuanza kufundishwa uislamu tu wenye siasa kali.. hawatakiwi kusoma elimu dunia maana itawafanya wajanjaruke.

Hao ndio wanatumika kwenye kujitoa muhanga. Maana uislam unakuwa ume wa brain wash wamefanyiwa indocrinations. Hawaogopi kufa hao. Wao jukumu lao ni kupigania dini

Nigeria boko haram ndio inatumia hao vijan waliopitia mafunzo ya al-Muhājir .. wanawekwa kambini mbali na nyumbani kwao wanafundishwa siasa kali za uislam.

Wikipedia imeandika muanzilishi wa Boko haram Sheikh Muhammad Yusuf was a graduate of the Almajiri Madrassa who did not had the opportunity to attend the formal education.

Wazazi wa hao vijana ni wale waislamu maskini.. wasio na exposure. Na unajua waislamu wanazaliana sana sababu ya ndoa zao za mitala na kupeana talaka na kuoa upya kila mara. Hivyo unakuta baba ana watoto 20 ila kuwahudumia wala kuwasomesha hawezi.. hivyo huyo mzee anafosi watoto wapelekwe kambi za المُهَاجِرْ "al-Muhājir," wakafundishwe uislamu huku wanakula chakula cha bure.

Huwezi kukuta mtoto wa muislamu mwenye maisha huko. Mfano kikwete ama bakhressa watoto wake hawajui hata maana ya al-Muhājir ni nini japo ni waislamu
Walivyo wasanii utasikia ni marekali hao[emoji1787]
 
Madogo wenyewe wanaonekana tayari wameharibiwa akili. Wana nyuso za kikatili. Huyo mwalimu wao wa mazoezi naye anaonekana wazi ni gaidi mpevu. Serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa hizi taasisi za dini kurundika watoto bila shughuli za kueleweka. Wahalifu wanaficha uhalifu wao kwa mgongo wa dini

Tuangalie pia hao walimu wao wanapata wapi pesa ya kuwaweka vijana kambini na kuwahudumia? Kama wazazi wao hawachangii hata buku wao wanatoa wapi pesa hizo? Kata mnyororo wa pesa zao jeuri yote itakwisha
 
MIMI NIMESHANGAA, AMAFUNZO YA JUDO NA KARATE CHINA WATOTO WANAJIFUNZA TOKEA WAKIWA WATOTO WADOGO KABISA, CHA AJABU NI NINI WATOTO WAKIFUNZWA MAFUNZO HAYO? LABDA WASEME KUWA WAMEACHISHWA SHULE NA KUTOROSHWA AU HIKO CHUO HAKINA USAJILI SAWA, ILA MAFUNZO HAYO YANA KASORO GANI?

LABDA WATUAMBIE KUWA WAMEKUTA SILAHA NA MABOMU LABDA, WANAACHA MAMBO YA MSINGI WANAKIMBILIA KUPIGA VITA MAFUNZO YA UKAKAMAVU?
Wanavisajiri hivyo vyuo na kila anayetaka kwenda kujifunza anaruhusiwa.

Ila hao Waislamu wanafanya hivyo kwa kificho ina maana hata mafundisho Yao wanafanya kwa kificho.

Sajirini hivyo vyuo, wakaguzi wakubali viwango vya ufundishaji ndipo mfundishe huku mkikaguliwa mtaala wa kufundishia.

Sio mnaiba watoto wa watu na kuwafundisha kwa siri kama Freemasonry.

Mnafundisha Ugaidi ndio maana hampendi kusajiri na kukaguliwa.
 
Wahusika wote yaana waanzilishi na wanaotoa fedha kufadhili hicho chuo wanatakiwa kukamatwa na kuchunguzwa. Makundi ya kigaidi yanaanza hivihivj.
 
wanalinda dini ya mwanyanzi Mungu tena kwa kutumia mikono na miguu. Mipumbavu ni mipumbavu tu. Shida kubwa ni elimu. Wakati huo huo biblia inatuambia "Bwana asipoulinda mji wakeshao wakesha bure" We ndio umlinde Mungu wakati sisi tunaomba ulinzi wake Mungu wetu. Hao ni wahaini wapigwe ndani na kufungwa maisha
 
Nigeria walipuuzia hayo mafunzo. Yamekuja kuwatesa sana mbeleni. Boko haram ilianza kama utani.

Hao vijana kiislam wanaitwa المُهَاجِرْ "al-Muhājir,"

Wanachukuliwa kutoka kwa wazazi wao toka wadogo wanapelekwa mbali na nyumbani kwao kambini na kuanza kufundishwa uislamu tu wenye siasa kali.. hawatakiwi kusoma elimu dunia maana itawafanya wajanjaruke.

Hao ndio wanatumika kwenye kujitoa muhanga. Maana uislam unakuwa ume wa brain wash wamefanyiwa indocrinations. Hawaogopi kufa hao. Wao jukumu lao ni kupigania dini

Nigeria boko haram ndio inatumia hao vijan waliopitia mafunzo ya al-Muhājir .. wanawekwa kambini mbali na nyumbani kwao wanafundishwa siasa kali za uislam.

Wikipedia imeandika muanzilishi wa Boko haram Sheikh Muhammad Yusuf was a graduate of the Almajiri Madrassa who did not had the opportunity to attend the formal education.

Wazazi wa hao vijana ni wale waislamu maskini.. wasio na exposure. Na unajua waislamu wanazaliana sana sababu ya ndoa zao za mitala na kupeana talaka na kuoa upya kila mara. Hivyo unakuta baba ana watoto 20 ila kuwahudumia wala kuwasomesha hawezi.. hivyo huyo mzee anafosi watoto wapelekwe kambi za المُهَاجِرْ "al-Muhājir," wakafundishwe uislamu huku wanakula chakula cha bure.

Huwezi kukuta mtoto wa muislamu mwenye maisha huko. Mfano kikwete ama bakhressa watoto wake hawajui hata maana ya al-Muhājir ni nini japo ni waislamu
Umemaliza kila kitu
 
Mbona karate mpaka china wanasoma tena yapo mashindano ya kimataifa.

Nimejifunza karate chuoni ila ni marufuku kupigana mtaani yaani ukikutwa umepigana basi unafukuza ,tulienda mpaka kenya miaka ya 2000's kushindana tena mfumo wa Taekwondo..

Chuo pale ulipigana tu mtaani unafukuzwa ,washafukuzwa watu wengi hapa jamaa zangu wana mikanda na wamepata kipato wamefika mpaka china ila ni wapole maana ni sehemu ya mazoezi.

Karate ni mchezo kama boxing ,kule zenji wakifungia kuona ni mchezo hatari ila baadae walikuja kufungua .

China kuna vyuo kiboa hata ukiona wale wakubwa wao kama mashaolin ,wanapinga watu kupigana wapo peace sana ila wanafundishwa karate kwa sana.
Sasa Manufaa ya hiyo kareti ni nini Sasa ikiwa huruhuisiwi kupigana mtaani na Mtaani Ndiyo kuna tatizo?.
Ama mnajifunza kupigana na Colleagues wenzenu tu?.
 
Masta...
Mimi sina taarifa kamili ya hicho walichokuwa wanafundishwa hao vijana 70 wa Kiislam ambacho walioamua kufungia chuo chao wamekiona.

Ningefahamu hayo masomo yaliyoonekana ni itikadi kali ningeweza kujaribu kuchangia.
Kwanza ni kosa kisheria kumuachisha shule mtoto
 
Taasisi za kidini na mafunzo ya Mapigano hapana.Kamati za ulinzi lazima ziwe na taharuki kwa sababu huko kwenye mapigano ya waislam yalianza kama haya.Tuna mifano mingi sana wa haya.Cha kujiuliza kwa nini yanatamalaki kipindi hiki cha mama?
Fuatilia ujue how long hao vijana wamekuwa kwenye hayo mafunzo?
Uzembe na kukosa uzalendo ndo husababisha yote haya...
 
Hawa ndio watu mzee wetu Mohamed Said anatuambia walikua wameelimika kabla ya kuja wamissionary, hili nalo anaweza kusema ni mfumo kristo ndio unawazuia vijana kujifua kwenye misikiti na kufundishana itikadi kali. Sema wahuni huzeeka pia.
Hahahah
 
MIMI NIMESHANGAA,MAFUNZO YA JUDO NA KARATE CHINA WATOTO WANAJIFUNZA TOKEA WAKIWA WATOTO WADOGO KABISA,CHA AJABU NI NINI WATOTO WAKIFUNZWA MAFUNZO HAYO??LABDA WASEME KUWA WAMEACHISHWA SHULE NA KUTOROSHWA AU HIKO CHUO HAKINA USAJILI SAWA,ILA MAFUNZO HAYO YANA KASORO GANI??

LABDA WATUAMBIE KUWA WAMEKUTA SILAHA NA MABOMU LABDA,WANAACHA MAMBO YA MSINGI WANAKIMBILIA KUPIGA VITA MAFUNZO YA UKAKAMAVU??
Waislam hamna michezo mingine ila karate na judo tena kwa kuwatoa watoto wadogo mashuleni na kuwafundisha mapigano? Usitufanye wajinga
 
Tuweke udini pembeni

Je Watanzania hawapaswi kujifunza karate na judo? Je mbinu za kujilinda ni kinyume na sheria za nchi? Hizi tahariko tunazobabatizwa nazo kila mara kwa jina la ulinzi na usalama, kwa nini serikali isipeleke mamluki wake hapo nao wakajifunza hayo mafunzo ili kuyachuja kama ni hatari kwa jamii? Naona badala yake ni hizi Kamati za Ulinzi na Usalama zimejikita kwenye kupambania taharuki kuliko kutumia weledi na akili kudeal na haya mambo
Watanzania bado sanaa hawajui walitakalo wapo kama ngedere......hao ulinzi na usalama mbna wameshindwa kulinda waandishi wa habar waliouawa na wanasiasa walio pigwa risasi
 
Back
Top Bottom