macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Trafiki polisi Tanzania ni kero kubwa. Lakini hii haihalalishi mwanasiasa mzee aliyekwisha kaa kwenye uongozi mpaka akapitiliza muda wake, na ambaye ni mmoja ya watu waliotengeneza hilo tatizo, kujaribu kutoa solution kwa tamko la jukwaani. Haya mambo yafanyike kitaalam!Trafiki wetu siyo waadilifu, wanalalamikiwa kwa kutofanya kazi zao scientifically, rushwa kwanza mengine baadaye
Lakini mada imehama kutoka rushwa kuwa kuondolewa.Trafiki wetu siyo waadilifu, wanalalamikiwa kwa kutofanya kazi zao scientifically, rushwa kwanza mengine baadaye
''Seen and endosed''. Asante. Mimi msimamo wangu huu hapa: ''Trafiki polisi Tanzania ni kero kubwa. Lakini hii haihalalishi mwanasiasa mzee aliyekwisha kaa kwenye uongozi mpaka akapitiliza muda wake, na ambaye ni mmoja ya watu waliotengeneza hilo tatizo, kujaribu kutoa solution kwa tamko la jukwaani. Haya mambo yafanyike kitaalam!''Tatuzo sio JPM kufa au kufufuka tatizo ni ccm tangu tumepata Uhuru wameshindwa kujenga miundo mbinu kutaka madalakani awataki matoke yake nchi mzima kero tupu
Nilazima watu wawajibike kwakutokuwa na mipango ya muda mrefuWhat is the solution in the meantime wakati mnasubiri hizi barabara pana au barabara zitajengwa overnight?
Traffic wanahaha hivi sasa maji shingoniLakini mada imehama kutoka rushwa kuwa kuondolewa.
Chonde chonde IGP na makamishina wako, msiwaondoe matrafiki. Maskini wa nchi hii ndio watakufa. Kinana na wanasiasa wengine wana magari binafsi. Hawategemei order of public transport.
Naomba nitofautiane na wewe,Kati ya Kinana na Polisi nani Wana taaluma ya ulinzi na Usalama?Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.
Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?
90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.
Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Nilazima watu wawajibike kwakutokuwa na mipango ya muda mrefu
Kwenye ubora wa magari na matairi, magari mengi yamezingatia...Hizi ajali zote zinazotokea Trafiki hawakutosha? Suluhisho la ajali barabarani ni mwendokasi kuwe na vidhibiti mwendo au abiria wawe wanamdhibiti dereva. Pia barabara ziwe angalau na upana unaotosha na sio kujaza trafiki.
Trafiki polisi Tanzania ni kero kubwa. Lakini hii haihalalishi mwanasiasa mzee aliyekwisha kaa kwenye uongozi mpaka akapitiliza muda wake, na ambaye ni mmoja ya watu waliotengeneza hilo tatizo, kujaribu kutoa solution kwa tamko la jukwaani. Haya mambo yafanyike kitaalam!
Kwani wabongo wanatofauti gani raia wa nchi zingine?Wasio na hatia pay the ultimate price- their lives.
Bongo bila traffic ni fungulia mbwa.
Hujaelewa, hawajasema wondoke, alimaanisha polisi wamezidi, kutoka Kawe hadi KKOO unakutana na Polisi mara 6Nani kaongea hoja ya kipumbavu kiasi hicho? Kwamba police watoke barabarani? Hivi wanajua wanachokiongelea? Madereva wapuuzi kabisa anaendesha gari anasinzia kumbe katoka bar saa 11, afu saa 12 ndo dereva anae tegemewa.
Kuna siku moja nilikuwa nasafiri, yule traffic hadi leo namkumbuka. Alitusalimia baadae akamuendea dereva na kile kidude chao cha kupima walevi, akamwambia, endesha mwendo wa kawaida, wewe una watoto? Una wazazi? Una ndugu wanakutegemea? Basi kama ndio na hizi ni siku za sikukuu fata nilicho kwambia.
Tulifika kwa kuchelewa ila salama.
Nadhani huu ni utani police hata hizi daladala zitatumaliza. Jitu linakuwa mwendo kasi na alijafunga mkanda akimuona askari unaona kapunguza mwendo na kufunga mkanda.
Hi imenikera wasokuwa na lesen watajaa barabarani eeh Mungu tunusuru.
Mkuu hili swala nilishawahi kulianzishia na ka Uzi kabisa humuInawezeka wewe Ndio mwenye IQ ndogo , sio kweli kwamba 90% ajali ni uzemba wa madereva bali madereva wamekuwa wakisingiziwa ukweli ni kwamba barabara ninyembaza sana magari ni mengisana barabara njia moja pia ubora wa baraba pamoja kuwa nyembamba magari yanapisha kwa ovartake badala ya magari yanakwende kupita kwenye njia zake na magari ya kurudi kupita kwenye njia zake bila kupita njia moja. Kwakifupi 90% ni uzembe wa serekali kukusanya kodi kubwa kwenye magari mafuta bila kujenga barabara za kutosha, kama kungekua na barabara zinazoendana na wingi wa magari ajali zisingekuwepo na hawa usalama barabara automatically wapotea kutana wingi wa barabara za njia moja. Matrafic ni wasumbufu sana barabaraba sio kweli kwamba wanazua ajali zaidi kukusanya pesa ifike muda vioongozi wakisiasa wajiuzulu kwakushindwa kujenga barabara zinazokwenda na wakati siokuzingizia maderevaView attachment 2308580
Tangu hilo tamko litoke ndio nasoma post ya mtu anaefikiri zaidi ya urefu wa pua. Watz wana unafiki sana. Mtu anaendeshwa na msafara unaopita wrong side,asiejali watumiaji wengine analalamika wingi wa trafiki, huyu hawatakii memaKila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.
Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?
90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.
Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Polisi watoke njianiConl Kinana ana haki ya kutoa maoni yake baada ya kusikia kero za Barabarani. Alitakiwa ajibiwe kisayansi sio kisanii.
Tatizo ni Sheria za Barabarani kuwa nyingi lakini pia mahakama zetu nazo Kuna wakati zinachelewesha kesi .
Kuna wakati mtu hataki kuandikiwa faini mpaka mahakamani. Sasa mziki wake unakua ni wa kupotezeana muda na taratibu mara za kukaa kizuizini n.k.
Wanadili Sheria TU na faini ziwe ndogo. Kila kosa liwe na kiwango chake Cha faini. Faini iwe Elfu kumi kama bodaboda. Na iwe askari akimkamata mtu amhudumie Kwa haraka na asiyetoa ushirikiano na Polisi wakati wa kuandika faini basi afikishwe mahakamani.
Hii itapunguza rushwa. Na pesa nyingi zitaingia Serikalini.
Lakini pia miundo mbinu inachangia sana ajali
Hivi Kwa mfano Kwa Nini pasiwe na Barabara inayekwenda Arusha au Kigoma Kwa sambamba na reli. Hiyo iwe ni Kwa ajili ya magari madogo na malori.
Kwanza Haina Kona nyingi na milima.
Kwani wabongo wanatofauti gani raia wa nchi zingine?
Shida iko hapo watu wanazungu mbuyu na kupotosha makusudiMkuu hili swala nilishawahi kulianzishia na ka Uzi kabisa humu
Polisi hawana msaada, ziwekwe speed radars, camera hii itasaidia sana maana watu watafata sheria, faini kwa speeding iwe kubwa hata 100,000 na hapo utaletewa tu taarifa yenye control number ambapo utapewa siku za kulipa.Hoja ya msingi hapa iwe kupanua barabara na askari watimize wajibu wao.
Ninapoishi kabla jpm hajafariki, watu walikuwa wametangaziwa wote wenye maduka ambayo yako eneo la barabara wasilipe kodi ya zaidi ya miezi 3 maana barabara ilibidi ipanuliwe mwezi wa sita 2021.
Wapuuzi hao wenye biashara zao maduka yao yako eneo la barabara walifurahi sana kusikia msiba ule. Wengine niliona wakifurahi kabisa eti hawaondoki tena.
Serikali nasikia wamewaambia waendelee barabara haipanuliwi tena.
Matokeo yake kila siku ya Mungu hii barabara lazima ichinje hasa zile gari zinazotoka stend saa 12 za mikoani , barabara ni ndogo sana. Bus kubwa kupisha ni kwa shida sana.
Rip jpm wetu kila siku tunakukumbuka.
Ajali highwaY zitengwe wa kwenda na wa kurudi lanes zao tofauti. Uone kama ajali hazitapungua kwa 90%. Nature ya ajaĺi zeTU ni head on head collision.Shida iko hapo watu wanazungu mbuyu na kupotosha makusudi