Lowassa aliwezaje kumvumilia Nape bila kumtamkia jambo hadi anafariki? Nape aliwezaje kutokuomba radhi hadi Lowassa amefariki?

Lowassa aliwezaje kumvumilia Nape bila kumtamkia jambo hadi anafariki? Nape aliwezaje kutokuomba radhi hadi Lowassa amefariki?

Jamani hadi leo mnamjadili nape?
Huyu ni domo kaya ila kichwani zero!
Ni mtu asiye na tija kwa Taifa!
 
Huyo ambaye hakuwa wa majaribio, tingatinga, mzee wa kazi… mbona alitangulia kabla yake aliyemuita mgonjwa?

Kama wanasiasa hawajajifunza kuweka akiba ya maneno kupitia hili basi.
 
Ni zamu yake sasa kwenda na yeye kujisaidia nyumbani kwa Lowasa... ( Kujisaidia kwa tafsiri yako unayesoma hapa)
 
Lowassa angekuwa rais, wanaccm wote wangemuomba msamaha hata kama wangekuwa hawajamtukana. Kuna namna wanaccm wametokea kuabudu madaraka na wenye madaraka ili watoke kimaisha. Na kadiri siku zinavosogea, huko ccm kiwango Cha uchawa kinazidi kuongezeka Hadi unashindwa kujua kama kiongozi anafanya vizuri ama la.
 
Yashapita hayo, Acheni ujinga wa kugeuza misiba vijiwe nongwa.
Yatatusaidia nini mema na mabaya ya Lowassa. Atakaeropoka upuuzi saivi ndo tunaruka naye ila walioropoka zaman hatuna shida nao maana marehem alikua na nafasi ya kujitetea mwenyewe na hiyo ndiyo siasa.
Ahya wewe mleta mada madaako yataisaidia nini Familia ya marehem?

Yamepita kivipi, na ww utaruka na nani, ww kama nani labda?
 
Nape aliweza kwenda Ikulu kumwomba radhi Magufuli kwa lengo la kupata madaraka. Lakini alishindwa kwenda kumwomba radhi Lowassa baada ya kumdhalilisha na kumtakia kifo kwenye mkutano wa adhara 2015.

Alitamka maneno ambayo katika hali ya kawaida huwezi kusema yametoka kinywani kwa mwanadamu anayemwabudu Mungu. Kumtakia Lowassa mbele ya watoto kwamba anaji.....a na akapata carrage ya kutokumwomba msamaha wala kujutia kauli ile ni jambo la kishetani sana. Ni nafsi katili sana inaweza kufanya ukatili ule aliofanya Nape just kwa ajili ya siasa.

Leo Lowasa amekwenda, si ajabu kumsikia Nape akihojiwa na kusifia Lowasa. Si ajabu kumwona anashiriki kwenye mazishi yake na si ajabu kumwona akijifanya ni rafiki wa familia ya Lowasa.

Just imagine alivyomtukana jukwaani mkewe akimwona anajisikiaje? Then , kiumbe wa aina hii anakwenda kufungia vyombo vya habari na kuhukumu watu kwa utovu wa nidhamu! Hawa wanadamu wa aina ya Nape si wema hata kwa Mhe. Rais, ni watu ambao kwao maisha ni familia yake au yeye kuteuliwa.

Clip ya Nape naamini ni moja ya clip ya kisiasa iliyoonyesha ukomavu wa Lowasa, kabla na baada ya kuacha jukwaa la siasa. Kwamba alimsamehe sijui
Nepi ni mtoto haram...wale hawana malezi watoto kuokoteza kila kitu....hivyo hakuna kumlaumu ni makuzi ...kuokota okota.....haram kabisa
 
Msikilize alivyokosa utu alivyommwagia Marehemu Lowasa matusi na kejeli
Mfukuzeni kwenye msiba , hizi siyo siasa hata kidogo



View: https://twitter.com/lifeofmshaba/status/1756595193858388476?t=spL6CAk93UF-2fZdeXA9Sg&s=03

That's too bad..

Sijui huyu Nape anajisikiaje anapojitazama na kujisikiliza sasa kwenye hili.?

Natumai atakuwa amegundua kosa lake, akalijutia na kutubu..

Kama bado, basi aikumbe hii kanuni muhimu ya maisha isemayo;

"... for every action, there's equal and opposite reaction..."

Tafsiri na maana yake isiyo rasmi:

Kwamba, kila tendo (jema au baya) mtu mmoja amtendeaye mwingine au kauli (nzuri au baya) aitamkayo mtu kwa mwingine, basi kwa namna hiyo hiyo alivyofanya au kutamka ndivyo itakavyokuwa kwake kwa wakati na majira yake yafikapo..
 
Nape aliweza kwenda Ikulu kumwomba radhi Magufuli kwa lengo la kupata madaraka. Lakini alishindwa kwenda kumwomba radhi Lowassa baada ya kumdhalilisha na kumtakia kifo kwenye mkutano wa adhara 2015.

Alitamka maneno ambayo katika hali ya kawaida huwezi kusema yametoka kinywani kwa mwanadamu anayemwabudu Mungu. Kumtakia Lowassa mbele ya watoto kwamba anaji.....a na akapata carrage ya kutokumwomba msamaha wala kujutia kauli ile ni jambo la kishetani sana. Ni nafsi katili sana inaweza kufanya ukatili ule aliofanya Nape just kwa ajili ya siasa.

Leo Lowasa amekwenda, si ajabu kumsikia Nape akihojiwa na kusifia Lowasa. Si ajabu kumwona anashiriki kwenye mazishi yake na si ajabu kumwona akijifanya ni rafiki wa familia ya Lowasa.

Just imagine alivyomtukana jukwaani mkewe akimwona anajisikiaje? Then , kiumbe wa aina hii anakwenda kufungia vyombo vya habari na kuhukumu watu kwa utovu wa nidhamu! Hawa wanadamu wa aina ya Nape si wema hata kwa Mhe. Rais, ni watu ambao kwao maisha ni familia yake au yeye kuteuliwa.

Clip ya Nape naamini ni moja ya clip ya kisiasa iliyoonyesha ukomavu wa Lowasa, kabla na baada ya kuacha jukwaa la siasa. Kwamba alimsamehe sijui
Katika wanadamu wajinga huyo jamaa namuweka namba moja. Huwa hapimi kauli zake. Nakumbuka issue ya wizi wa bando alitoa jibu la aibu sana
 
Nape aliweza kwenda Ikulu kumwomba radhi Magufuli kwa lengo la kupata madaraka. Lakini alishindwa kwenda kumwomba radhi Lowassa baada ya kumdhalilisha na kumtakia kifo kwenye mkutano wa adhara 2015.

Alitamka maneno ambayo katika hali ya kawaida huwezi kusema yametoka kinywani kwa mwanadamu anayemwabudu Mungu. Kumtakia Lowassa mbele ya watoto kwamba anaji.....a na akapata carrage ya kutokumwomba msamaha wala kujutia kauli ile ni jambo la kishetani sana. Ni nafsi katili sana inaweza kufanya ukatili ule aliofanya Nape just kwa ajili ya siasa.

Leo Lowasa amekwenda, si ajabu kumsikia Nape akihojiwa na kusifia Lowasa. Si ajabu kumwona anashiriki kwenye mazishi yake na si ajabu kumwona akijifanya ni rafiki wa familia ya Lowasa.

Just imagine alivyomtukana jukwaani mkewe akimwona anajisikiaje? Then , kiumbe wa aina hii anakwenda kufungia vyombo vya habari na kuhukumu watu kwa utovu wa nidhamu! Hawa wanadamu wa aina ya Nape si wema hata kwa Mhe. Rais, ni watu ambao kwao maisha ni familia yake au yeye kuteuliwa.

Clip ya Nape naamini ni moja ya clip ya kisiasa iliyoonyesha ukomavu wa Lowasa, kabla na baada ya kuacha jukwaa la siasa. Kwamba alimsamehe sijui

Lowassa ni mzungu mweusi, hawez kuweka small things

Yule mwamba alikuwa na maturity , ni mtu sana na hanaga chuki
Niliwahi mara kadhaa kwenda kwake,hata watoto zake ni disminder

Very pure heart man

Chuki ni nyie wapwani wacheza ngoma
Kaskazin hatunaga majungu
 
Back
Top Bottom