Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzake wote waliotamka hayo walishatangulia mbele za haki, lakini naye Nape hajui kesho yake tusubiri Mungu atamlipa niniNepi huyo....hana busara wala akili...ropo ropo
Msikilize alivyokosa utu alivyommwagia Marehemu Lowasa matusi na kejeli
Mfukuzeni kwenye msiba , hizi siyo siasa hata kidogo
View: https://twitter.com/lifeofmshaba/status/1756595193858388476?t=spL6CAk93UF-2fZdeXA9Sg&s=03
Siku MDH wakisitisha dose tu baba janeWenzake wote waliotamka hayo walishatangulia mbele za haki, lakini naye Nape hajui kesho yake tusubiri Mungu atamlipa nini
Yashapita hayo, Acheni ujinga wa kugeuza misiba vijiwe nongwa.
Yatatusaidia nini mema na mabaya ya Lowassa. Atakaeropoka upuuzi saivi ndo tunaruka naye ila walioropoka zaman hatuna shida nao maana marehem alikua na nafasi ya kujitetea mwenyewe na hiyo ndiyo siasa.
Ahya wewe mleta mada madaako yataisaidia nini Familia ya marehem?
Hilo halina shaka.Unamaanisha ubaya wa Nape utalipwa?
Nepi ni mtoto haram...wale hawana malezi watoto kuokoteza kila kitu....hivyo hakuna kumlaumu ni makuzi ...kuokota okota.....haram kabisaNape aliweza kwenda Ikulu kumwomba radhi Magufuli kwa lengo la kupata madaraka. Lakini alishindwa kwenda kumwomba radhi Lowassa baada ya kumdhalilisha na kumtakia kifo kwenye mkutano wa adhara 2015.
Alitamka maneno ambayo katika hali ya kawaida huwezi kusema yametoka kinywani kwa mwanadamu anayemwabudu Mungu. Kumtakia Lowassa mbele ya watoto kwamba anaji.....a na akapata carrage ya kutokumwomba msamaha wala kujutia kauli ile ni jambo la kishetani sana. Ni nafsi katili sana inaweza kufanya ukatili ule aliofanya Nape just kwa ajili ya siasa.
Leo Lowasa amekwenda, si ajabu kumsikia Nape akihojiwa na kusifia Lowasa. Si ajabu kumwona anashiriki kwenye mazishi yake na si ajabu kumwona akijifanya ni rafiki wa familia ya Lowasa.
Just imagine alivyomtukana jukwaani mkewe akimwona anajisikiaje? Then , kiumbe wa aina hii anakwenda kufungia vyombo vya habari na kuhukumu watu kwa utovu wa nidhamu! Hawa wanadamu wa aina ya Nape si wema hata kwa Mhe. Rais, ni watu ambao kwao maisha ni familia yake au yeye kuteuliwa.
Clip ya Nape naamini ni moja ya clip ya kisiasa iliyoonyesha ukomavu wa Lowasa, kabla na baada ya kuacha jukwaa la siasa. Kwamba alimsamehe sijui
Vuvuzela yule kijanaNepi huyo....hana busara wala akili...ropo ropo
Msikilize alivyokosa utu alivyommwagia Marehemu Lowasa matusi na kejeli
Mfukuzeni kwenye msiba , hizi siyo siasa hata kidogo
View: https://twitter.com/lifeofmshaba/status/1756595193858388476?t=spL6CAk93UF-2fZdeXA9Sg&s=03
Ha ha ha.... Kakutana na mpiga Tarumbeta wa Maarabu.Mpiga Tarumbeta wa mayahudi umeamka salama?
Katika wanadamu wajinga huyo jamaa namuweka namba moja. Huwa hapimi kauli zake. Nakumbuka issue ya wizi wa bando alitoa jibu la aibu sanaNape aliweza kwenda Ikulu kumwomba radhi Magufuli kwa lengo la kupata madaraka. Lakini alishindwa kwenda kumwomba radhi Lowassa baada ya kumdhalilisha na kumtakia kifo kwenye mkutano wa adhara 2015.
Alitamka maneno ambayo katika hali ya kawaida huwezi kusema yametoka kinywani kwa mwanadamu anayemwabudu Mungu. Kumtakia Lowassa mbele ya watoto kwamba anaji.....a na akapata carrage ya kutokumwomba msamaha wala kujutia kauli ile ni jambo la kishetani sana. Ni nafsi katili sana inaweza kufanya ukatili ule aliofanya Nape just kwa ajili ya siasa.
Leo Lowasa amekwenda, si ajabu kumsikia Nape akihojiwa na kusifia Lowasa. Si ajabu kumwona anashiriki kwenye mazishi yake na si ajabu kumwona akijifanya ni rafiki wa familia ya Lowasa.
Just imagine alivyomtukana jukwaani mkewe akimwona anajisikiaje? Then , kiumbe wa aina hii anakwenda kufungia vyombo vya habari na kuhukumu watu kwa utovu wa nidhamu! Hawa wanadamu wa aina ya Nape si wema hata kwa Mhe. Rais, ni watu ambao kwao maisha ni familia yake au yeye kuteuliwa.
Clip ya Nape naamini ni moja ya clip ya kisiasa iliyoonyesha ukomavu wa Lowasa, kabla na baada ya kuacha jukwaa la siasa. Kwamba alimsamehe sijui
Nape aliweza kwenda Ikulu kumwomba radhi Magufuli kwa lengo la kupata madaraka. Lakini alishindwa kwenda kumwomba radhi Lowassa baada ya kumdhalilisha na kumtakia kifo kwenye mkutano wa adhara 2015.
Alitamka maneno ambayo katika hali ya kawaida huwezi kusema yametoka kinywani kwa mwanadamu anayemwabudu Mungu. Kumtakia Lowassa mbele ya watoto kwamba anaji.....a na akapata carrage ya kutokumwomba msamaha wala kujutia kauli ile ni jambo la kishetani sana. Ni nafsi katili sana inaweza kufanya ukatili ule aliofanya Nape just kwa ajili ya siasa.
Leo Lowasa amekwenda, si ajabu kumsikia Nape akihojiwa na kusifia Lowasa. Si ajabu kumwona anashiriki kwenye mazishi yake na si ajabu kumwona akijifanya ni rafiki wa familia ya Lowasa.
Just imagine alivyomtukana jukwaani mkewe akimwona anajisikiaje? Then , kiumbe wa aina hii anakwenda kufungia vyombo vya habari na kuhukumu watu kwa utovu wa nidhamu! Hawa wanadamu wa aina ya Nape si wema hata kwa Mhe. Rais, ni watu ambao kwao maisha ni familia yake au yeye kuteuliwa.
Clip ya Nape naamini ni moja ya clip ya kisiasa iliyoonyesha ukomavu wa Lowasa, kabla na baada ya kuacha jukwaa la siasa. Kwamba alimsamehe sijui