Uchaguzi 2020 Lowassa: Huko kina Lissu wameanza kujipambanua kwa sera, fujofujo mpaka matv mengine yanatisha. Rais wetu usitishike

Lowasa ni mchumia tumbo asiyeshiba wala kutosheka, yeye anelekea kule harufu ya pilau iko.
Very deep down, kila mtu ni mbinafsi by nature na anaangalia maslahi yake kwanza na familia yake. Tofauti tu ni kwamba wanasiasa wanafanya openly bila aibu
 
Mabadilikoooo Lowasssaaaa, Lowasaaaaaa Mabadiliko naona ametubadilikia kweli.

Rais wa mioyo yetu, naona ameenzi kauli yake ya mabadiliko amebadilika kweli kweli, inauma zaidi nikikumbuka safari ya matumaini.

Kuna mdogo wangu alivunjwa mguu kisa ya huyu mzee akawekewa mpaka antena kwenye mguu, hakika wanasiasa tena wa CCM si watu wakuamini wanabadilika badilika tu.
 
Hutu mzee dawa ni kumnyoa hivyo vimvi vyake ndio vinampa kiburi


Mbowe2015:"Nikisema Lowassa mnasema nywele nyeupe,moyo mweupe ikulu kweupe"
 
Haka kazee kumbe kanafiki hivi!! Mbona hakajaongelea fiesta ya mgombea wake kila aendako.
 
Aliwasiri kivipi chadema? Alivyokuwa anaharibu, nani alikuwa akimpa mapampasi...!? Huyo si mtu wa kusitir..!?
Baada ya kula pesa yake ndio mnamtukana subirini majibu ya Yale mafuriko yake aliyorudi nayo CCM tarehe 28 October
 
Aliyemuelewa huyu mzee afafanue kwa kirefu alichoongea 😃😃
Soma, soma tena kwa utaratibu ndipo utakapo muelewa huyo mzee anasema nini! Taabu yenu ni kuwa ulisha funga akili yako kwa mambo wanayosema wa upande huo, wewe unataka kusoma na kusikiliza ya upande wako/huu tu! Hiyo mentality itakudumaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…