Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

kuna mawili figganigga na mr president ni mtu mmoja au mnaumwa ugonjwa mmoja.
 
Kwani kunatofauti gani kati ya Lowasa na ukawa mbona wote wachafu tu siku zote ndege wanaofanana huruka pamoja.
 
Nasikitka kwa jambo hili . Soma mtanzania gazeti la leo .Mbowe amesema kuwa Anaona kama CCM wanamwamini sana Lowassa akasema UKAWA wanamsubiri ulingoni wao hawamhofii ni cha mtoto tu na hatamweza mgombea wa ukawa kwani kocha wa yanga akisema nawataka simba hata kesho maana yake simba ije kuwachezea mechi? hata kama tunaishi bara kiswahili si kigumu hivyo
 
Nashukuru kutunanga, whatever u like, say it all.... mtabakia mnalipwaaa...!!!

Days are coming, UTAKUWA KTK SAFARI YA MATUMAINI... nakuombea heri na baraka tele duniani, Tunaelekea Canan, so jiunge nasi, tutakuacha...!!!
Siko tayari KUISHI KWA MATUMAINI KTK HIYO SAFARI YENU, usinijumuishe TAFADHARI.
 
mnatafuta kumtangaza kwa jina la UKAWA huyo fisadi wenu?
UKAWA inajitoshereza haiitaji makapi ya magamba
.
 
Hiki kirusi cha njaa naona kinabeba watized wengi sasa! Naona mleta mada nawe ushaathirika hatimaye! duh, eeh mola tuepushe na hili janga!
 
Sasa kama wanataka mabadiliko ndani Ccm waombe uenyekiti wa chama sio urais. Maana urais ni taasisi jubwa ya kuongoza itikadi tofauti na sio wana Ccm tuu
 
CCM ni chama makini sana... kinalea na kukuza viongozi imara kabisa.. na ndio maana kinaendelea kutawala milele..!!!

CCM ni chama kinachofanya demokrasia kwa vitendo na uwazi...hata maskini kabisaa wana nafasi ya kugombea nafasi yoyote ktk CCM... atimize masharti tu ya Chama... pia haibagui matajiri, wala kabila, wala rangi wala kiwango cha elimu... Ni Chama cha fursa sawa kwa wote kwa vitendoo...

Na kupitia hayo, tunaona IMANI KUBWAAA YA WANANCHI KUPITIA LOWASSA ambaye ni CCM ktk ziara zake za kusaka wadhamini...!!!

Lowassa ataibeba CCM na kuivusha, kwa kishindo na Wananchi wana Imani na CCM thru Lowassa....

Mpango wa Mungu ni ngumu kushindana nao..
 
Nataka kuwaambia wana Chadema na hata UKAWA pia,kumbukumbu zangu zinaonyesha Chadema ni chama kinachochukia Ufisadi haijapata kutokea.Hivyo hakuna namna ya kumu-accomodate Lowasa ndani ya CHADEMA.Niwakumbushe kauli ya Mwenyekiti Mh.A.Mbowe kuwa Lowasa kwenye kukemea ufisadi ni Bubu.Vilevile Katibu Mkuu Dr.Slaa mbali na kumuweka Lowasa kwenye List of Shame amesisitiza kuwa Watanzania wanahitaji Safari ya Uhakika na sio ya Matumaini.Hivyo basi kwa wana Chadema wanaomtaka Lowasa nawashauri watangulie ACT Tanzania atawakuta huko.TAHADHARI:Kama Chadema mtamsafisha Lowasa mjiandae kwenda na Maji,na kabla ya hapo mmeze kwanza matapishi ya List of Shame.c.c Mungi, Crashwise, MWANAKIjiji

hama wewe kwanza kadi yako namba ngapi
 
Tuombe Mungu hayo yasitokee
umeleta habari kishabiki sana,as if Ukawa wanamtaka Lowasa awe mgombea wao,kumbe sivyo
Nasikitka kwa jambo hili . Soma mtanzania gazeti la leo .Mbowe amesema kuwa Anaona kama CCM wanamwamini sana Lowassa akasema UKAWA wanamsubiri ulingoni wao hawamhofii ni cha mtoto tu na hatamweza mgombea wa ukawa kwani kocha wa yanga akisema nawataka simba hata kesho maana yake simba ije kuwachezea mechi? hata kama tunaishi bara kiswahili si kigumu hivyo
 
Back
Top Bottom