Lucas Mwashambwa toa maoni yako kuhusu kauli ya Rais Paul Kagame

Natural resources are full in the country, we lack serious people with intelligence on what to do with that wealth, the minds of many leaders are to sell natural resources to investors with ridiculous deals
 
🤣🤣🤣
 
Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Mwandiko wako,sema yako ndivyo vinavyokutafisiria empty. Lakini upande huo wengi ni vilaza. Wamepewa vitengo nyeti tu lakini is empty.
 
Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
We mjinga umenichekesha aiseeee.
 
Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Hii tu inatosha kutuambia ulikuwa kilaza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kilaza ndo anashangiliwa na watu kucheka sanaaaaaaa
 
kumbe,wewe ni kilaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…