The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Nae Yuko huko amekusanywa Yuko huko Kwa Korea."If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Wewe kilaza kizungu ndiyo lugha gani hiyo?Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Mtafsirie, lugha hii wanaccm wengi hawaijui kwani hata jiwe ilimshinda."If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Mimi siyo kilaza bali ni msomi.Wewe kilaza kizungu ndiyo lugha gani hiyo?
Hii itakuwa ni O level na kwa jinsi ulivyoongea na wasiwasi kama umefika elimu ya juu 🤔Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Nimefika na kumaliza madarasa yote hapa Nchini kuanzia chini hadi juu wanakoshindwa kufika watu wengi.Hii itakuwa ni O level na kwa jinsi ulivyoongea na wasiwasi kama umefika elimu ya juu 🤔
Ila mimi sijaongea kisiasa kama wewe unavyoongea kwa kujilinganisha na jumuiya ya kitanzania unaposema wengi hawajafika. Je una data and statistics za ku prove point yako malafyale?Nimefika na kumaliza madarasa yote hapa Nchini kuanzia chini hadi juu wanakoshindwa kufika watu wengi.
Ndio ninazo na zipo wazi kabisa kwa yeyote ambaye akizitaka.Ila mimi sijaongea kisiasa kama wewe unavyoongea kwa kujilinganisha na jumuiya ya kitanzania unaposema wengi hawajafika. Je una data and statistics za ku prove point yako malafyale?
Mimi nipo tayari kuzitaka kaka mkubwa. Shusha mamboNdio ninazo na zipo wazi kabisa kwa yeyote ambaye akizitaka.
Uwezo wa kufikiria lazima ukutume hivyo.Acha ujinga wako . unafikiri ni matangazo ya mpira hayo hadi aanze kutangaza?
"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Mwashambwa yaani tafsiri yake ni kwamba anashangaa kuona nchi yenye rasilimali nyingi kama tanzania kwenda kuombaomba kwa wazugu na kwamba lazima kuna tatizo kwenye vichwa vya viongozi wa CCM"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Umesahau lile neno lako pendwa "mama anaupiga mwingi"Siyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.
Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?
Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.
Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.
Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
Mimi niwe "mjinga" wewe utakuwa nini? Kwanza tayari wewe ni chizi, hata kwenye ujinga humo.Acha ujinga wako wewe. kwa hiyo unafikiri kuna pesa zinazogawiwa kama njugu huko Duniani ?
Kuongea na kuandika ni vitu viwili tifauti, tuwekee audio kuthibitisha hayo unayoyasema au ungeandika kwa kithungu ukijibu comment yake, ukweli ni kwamba umepitia darasani lkn haukuelimika na yawezekana ukawa masters degree.Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.