Mbali na ujinga wako, nchi haitasimama' nchi ni kama kokolo,CAG hakumtaja mtu jina yeye kabainisha maeneo yenye upotevu kazi ya kumtafuta muhusika ni ya vyombo vingine na kuchukua hatua stahiki,Rais mwenyewe na vyombo vyake wapo kazini na imani yangu hatua stahiki zitachukuliwa kwa kila aliyehusika sio kama yule marehemu wenu ambaye aliamua kumtimua CAG baada ya kuona amegusa maslahi yake.
Kwahiyo Mpina apunguze mihemko mama hana mpango naye kabisa asubiri 2025 akapambanie ubunge wake.
Ma CHAWA kama wew ni mzigo kwa Taifa la keshoWatu waliojiapiza maisha yao, kufa au kupona, kuuwa ama kuuwawa, ni mafisadi!
Ikiwa kweli mnamaanisha kupambana na watu hao hatari, anapotokea mtu mmoja kujitoa mhanga kuwataja hadharani watu hatari kama how, Sisi ambao tuko nyuma ya vita hiyo, jambo moja tu tunapaswa kufanya,
Ni kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!
Mpina awekewe ulinzi, la sivyo tutakuwa tumekubali kwamba, pesa zinazokuwa zikiibwa na mafisadi, kwa upande mmoja na sisi tu wamoja wao!
Mpina anasaidia sana kubainisha kwa uwazi bila kuogopa kuwataja mafisadi hao
Lakini kwa upande mwingine, anahatarisha mno maisha yake!
Kundi la mafisadi ni watu wenye umoja na wako tayari kufanya chochote juu ya mtu yeyote!
Watu kama Mpina, kwa mfumo wetu ulivyo mbovu, hapaswi kuteuliwa kuwa waziri, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
Na wewe uko ndani ya kokolo, kokolo halibakishi kitu, mpaka mizoga ya kambale linabeba,Ma CHAWA kama wew ni mzigo kwa Taifa la kesho
'imhotep'?Chini ya huyu Mama uporaji umetamalaki halafu tunaopigwa ni sisi tunaokatwa tozo na kodi.
Duh 🙄 !Chini ya huyu Mama uporaji umetamalaki halafu tunaopigwa ni sisi tunaokatwa tozo na kodi.
Vipi, hakuna ukweli juu ya hilo?Duh 🙄 !
Itapendeza sana mkianza kutajana !!Gazeti la mwananchi lilishaandika makala juu yako wewe Luhanga Mpina mbona hujakanusha mpaka Leo kuhusu hizo ekari ulizopora Morogoro Katika kijiji cha dala
Mwezi February mwaka 2021 tarehe 24 taarifa zako zilimfikia Katibu mkuu wa wakati huo Dkt Bashiru na kuchapwa kwenye gazeti la mwananchi tarehe hiyo
Luhaga Mpina anza kutoa boriti kwenye jicho lako kwanza halafu njoo Utoe vibanzi kwenye macho ya wenzako
Uchafu uliofanya ukiwa Waziri wa mifugo unajulikana, Wewe na Rushwa ni Pete na chanda,
Zakayo kwenye biblia alikuwa mtoza ushuru na mtu tajiri wa kupitiliza, Alipoamua kubadilika na kuigeukia injili aliomba msamaha na kuwarudishia wadeni wake wote, Zakayo kwa wale aliowatoza kwa makusudi aliwarudishia mara mbili na wale wote aliowadhulumu Mali zao aliwalipa mara mbili
Luhanga Mpina wakati wa JPM wananchi wa Morogoro uliwapora ekari zaidi ya elfu moja na mpaka sasa Wanalalamika kuhusu maeneo yao
Luhanga Mpina ulichukua rushwa kwa wavuvi wakubwa ambao walipindisha sheria na kuendelea kuvua kwa nyavu zisizo na viwango kama za wavuvi wadogo lakini kwa wavuvi wadogo uliwachomea nyavu zao
Malalamiko ya wavuvi wadogo yalipelekwa mpaka kwa bosi wako kuwa unawachomea wao nyavu wakati wavuvi wakubwa unapokea rushwa na wanaendelea kuvua
Kama kweli wewe ni mzalendo rudisha hizo ekari zaidi ya elfu moja Mkoa wa Morogoro, Pia rudisha pesa zote ulizochukua kwa wavuvi wakubwa baada ya hapo nami nitaunga kambi yako ya mapambano
Tuache unafiki na tuweke siasa pembeni Luhaga Mpina ni moja ya watu walioogopwa enzi za utawala wa awamu ya tano kwa kuwa karibu na Mwenyekiti wa ccm Taifa
Kama Leo ameanzisha mapambano awarudishe watu wa Morogoro ekari alizojitwalia kinguvu nasi tumuunge mkono
Tutakuwa ni nchi ya ajabu mtu aina ya Sabaya au Makonda akajitokeza kwenye mapambano ya haki za binadamu huku wao wakiwa binafsi hawajawaomba msamaha waathirika kwa mambo waliyowatendea.
Kwa hisani ya seedfarm
Makokolo ni wale waliokuwa wakiamini kauli za lile marehemu katili,lilikuwa jizi,litesaji katili,liuwaji na liongo lilokuwa likipenda sifa hadi kuzindua upya miradi iliyoachwa na Kikwete ili lionekane lenyewe ndio limefanya alifanya hivyo kwenye mwendokasi,alifanya hivyo kule Rukwa kwenye barabara na akajifanya yeye ndiye Mungu na kuanza kuhoji eti bila yeye ndege zitakuwaje,sijui SGR itakuwaje hadi Kikwete akampiga kijembe kimoja kitakatifu kwamba asijimwambafy likaja juu.Mbali na ujinga wako, nchi haitasimama' nchi ni kama kokolo,
Wavua samaki wanajua, kokolo huwa linakokota kila aina ya uchafu
Sikushangai wewe maana uko ndani ya kokolo
ni mtu anayejitahidi sana na kutuaminisha. ila nikikumbuka kuwa anatoka kwa kina magufuli, sitaki kumuamini, hatutakiwi kufanya tena makosa watanzania. tunatakiwa kuwa tumejifunza kutokana na makosa.Watu waliojiapiza maisha yao, kufa au kupona, kuuwa ama kuuwawa, ni mafisadi!
Ikiwa kweli mnamaanisha kupambana na watu hao hatari, anapotokea mtu mmoja kujitoa mhanga kuwataja hadharani watu hatari kama how, Sisi ambao tuko nyuma ya vita hiyo, jambo moja tu tunapaswa kufanya,
Ni kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!
Mpina awekewe ulinzi, la sivyo tutakuwa tumekubali kwamba, pesa zinazokuwa zikiibwa na mafisadi, kwa upande mmoja na sisi tu wamoja wao!
Mpina anasaidia sana kubainisha kwa uwazi bila kuogopa kuwataja mafisadi hao
Lakini kwa upande mwingine, anahatarisha mno maisha yake!
Kundi la mafisadi ni watu wenye umoja na wako tayari kufanya chochote juu ya mtu yeyote!
Watu kama Mpina, kwa mfumo wetu ulivyo mbovu, hapaswi kuteuliwa kuwa waziri, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
Mpina,mtoto wa dada,biswalo,bashiru,makonda,sabaya,mnyeti na ................Itapendeza sana mkianza kutajana !!
Acha ufisadi mkuu. Mungu hapendiuozo wa mke wake? Mpuuuzi tu yule, mkuda, mnafki amejaa husda. kwa akili yake anajaribu kuidhalilisha serikali ya mama hatafanikiwa mshamba yule
Wewe fisadi acha tabia ya wizi utakufa kifo kibaya!we kapuku unapigwa nini hata kodi yenyewe unalipa? mara ya mwisho ulituma hela lini?
Watu waliojiapiza maisha yao, kufa au kupona, kuuwa ama kuuwawa, ni mafisadi!
Ikiwa kweli mnamaanisha kupambana na watu hao hatari, anapotokea mtu mmoja kujitoa mhanga kuwataja hadharani watu hatari kama how, Sisi ambao tuko nyuma ya vita hiyo, jambo moja tu tunapaswa kufanya,
Ni kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!
Mpina awekewe ulinzi, la sivyo tutakuwa tumekubali kwamba, pesa zinazokuwa zikiibwa na mafisadi, kwa upande mmoja na sisi tu wamoja wao!
Mpina anasaidia sana kubainisha kwa uwazi bila kuogopa kuwataja mafisadi hao
Lakini kwa upande mwingine, anahatarisha mno maisha yake!
Kundi la mafisadi ni watu wenye umoja na wako tayari kufanya chochote juu ya mtu yeyote!
Watu kama Mpina, kwa mfumo wetu ulivyo mbovu, hapaswi kuteuliwa kuwa waziri, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
Mbwa wewe acha ujinga wako!Wakati wa dhalimu alikuwa upande wa kuumiza kila mpiga kelele wa wizi wa awamu ile, sasa hivi anavuna matunda ya siasa za kikatili alizoshiriki kuzipandikiza. Acha wamuue hakuna mtu ana muda wa kutetea hao sukuma gang, kwani wao ndio sehemu ya utawala mchafu wa awamu ya dhalimu. Apambane na hali yake.
Mnafiki tu huyo kama Bashe huwa wanapiga kelele wakikosoa uwaziri. Ila wakiupata tu utasikia katiba ibadilishwe Rais Samia atawale milele!!. Huyo Mpina kipindi wapinzani wanadai katiba mpya aliwatolea maneno ya kejeli Leo hii kakosa uwaziri ndio ametambua katiba mpya ni muhimu??
Kipindi JPM alimsifia ni mzalendo na katuokoa eneo la madini Cha kuchekesha JPM kaondoka eti ndio anapiga makelele kwanini tulisamehe trillion 300+ za Makinikia. Yaani unafiki tu umemjaa mie sijawahi mkubali kabisa.
Cha ajabu Kuna wapinzani wanamuona mwenzao wamesahau ya Polepole na Kabudi mara hii!! Ajabu sana.
Mdogo mdogo utachizika tuWakati wa dhalimu alikuwa upande wa kuumiza kila mpiga kelele wa wizi wa awamu ile, sasa hivi anavuna matunda ya siasa za kikatili alizoshiriki kuzipandikiza. Acha wamuue hakuna mtu ana muda wa kutetea hao sukuma gang, kwani wao ndio sehemu ya utawala mchafu wa awamu ya dhalimu. Apambane na hali yake.
Hatutarudia tena kutawaliwa na mshamba wa aina ya dhalimu.Mbwa wewe acha ujinga wako!
Tokea kipindi hiko bado hujawa timamu, milembe bado inakuhusuMakokolo ni wale waliokuwa wakiamini kauli za lile marehemu katili,lilikuwa jizi,litesaji katili,liuwaji na liongo lilokuwa likipenda sifa hadi kuzindua upya miradi iliyoachwa na Kikwete ili lionekane lenyewe ndio limefanya alifanya hivyo kwenye mwendokasi,alifanya hivyo kule Rukwa kwenye barabara na akajifanya yeye ndiye Mungu na kuanza kuhoji eti bila yeye ndege zitakuwaje,sijui SGR itakuwaje hadi Kikwete akampiga kijembe kimoja kitakatifu kwamba asijimwambafy likaja juu.
Sasa limekufa na nchi inasonga mbele bila kudhurika mtu kwa kweli lilikuwa jitu la ovyo sana ni mapunguani wenzake ndio walimudu kufanya kazi naye kama huyo Mpina.
Kama sukuma gang mnategemea Kupata support tena ya watu basi mmechemsha. Kwa ule ukhanithi mlifanya kipindi cha dhalimu mtasubiri sana. Tajeni wezi wa sasa mtakavyo, lakini hatuna hamu na nyie.Mdogo mdogo utachizika tu
kipindi kile msukuma yeyote ukikutana naye alikuwa anajifanya TISS, na alijua nchi hii ni yao tu. aisee, mimi sitaki kushabikia ukabila ila tuwe makini na aina za watu fulani.hadi tumeonekana kituko dunia nzima. wasubiri kwanza tuwaweke kwenye uangalizi.Kama sukuma gang mnategemea Kupata support tena ya watu basi mmechemsha. Kwa ule ukhanithi mlifanya kipindi cha dhalimu mtasubiri sana. Tajeni wezi wa sasa mtakavyo, lakini hatuna hamu na nyie.