Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli

Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli

Tunaunga mkono hoja wtz wazalendo.hiyo tume ikimaliza ichunguze pia matumizi mabaya ya pesa za umma Kwa yule anayesafiri mara Kwa mara na kupewa vyeti fake.
Mkuu hivi Jiwe na Bashite unajua kuwa walikuwa na vyeti feki. Wajua pia kuwa Jiwe kabla kujifanya Msukuma Wahaya walimkataa,kifupi hata uraia wake ni wa utata
 
Hapana.
Mimi simwangalii Mpina kama unavyomwona wewe. Mpina alishawahi kuwa waziri, rekodi yake ya wakati huo ipo, hata kama wewe utaiona ina madoadoa. Kama alifanya 'wizi' kama unavyodai hapa, eleza matukio kwa ushahidi ulio nao wewe.
Mpina sasa hivi anafanya kazi kubwa ya upinzani kuliko vyama vyote vya upinzani, ikiwemo CHADEMA yenyewe tuliyo tegemea ingefanya kazi hiyo.
Sasa wewe hapa unakuja na madai ambayo hayana ushahidi wowote, halafu unataka tukuamini wewe, ambaye umejibainisha humu humu kuwa na maslahi na CCM hii hii inayotawala sasa?
Mkuu wewe na Mpina mko na tofauti gani, mbona kama akili zenu ziko sawa?
 
Jamaa huwa anatokea kuziba, kufifisha hoja.

Basi si ndio tujue kama kina Ben Saanane, Mbowe, ama Tundu Lissu walihusika?

Hatahivyo Hayat Rais Magufuli hajaanzisha mauaji katika Dunia hii.
=======
Halikadhalika kama kina Ben wamekufa shida ipo wapi? Tundu Lissu kupigwa Risasi shida ipo wapi?

Nye nye nye
Aisee mpaka huwa nakuona kama Bashite. Je huwa unalipwa au umeamua tu kujivua akili?
 
Mbona na wewe hujapotea??

Kuna mahali niliandika Mdude hapo?

Nimeandika Roma Mkatoliki na kufariki Leopold Lwajabe mbona hujajibu nilioandika.

Mo alijiteka vipi hotelini alipoenda na gari yake kwa ajili ya mazoezi , wewe unaweza kwenda gym na gari yako halafu ujiteke uiache parking ???

Nothing is closed it just the beginning.

Nani alikudanganya??

Mbona kuna watu walisherekea kifo chake hadi wakakamtwa na rekodi zipo na tangazo likatoka watu wakazuiwa kusherekea??

Mtu aliyeminya uhuru na kutaka aongee na kusikilizwa yeye pekeyake anawezaje kupendwa na wapenda uhuru?

Rejea siku anamuapisha Mwakyembe aliwaambia wanahabari wasidhani wako huku akasema " not to that extent"
Jiwe alitakiwa afe baada ya CCM kufanya makosa. Hata miki ningekuwa mlinziwa wake ningempiga shaba nikozee jera
 
Jiwe alitakiwa afe baada ya CCM kufanya makosa. Hata miki ningekuwa mlinziwa wake ningempiga shaba nikozee jera
Watu hawataki dikteta atajwe kwa yale aliyokuwa anafanya.

Wanataka tuwe na plastic personality.
 
Sidhani kama nafasi za vyama vya upinzani zimeisha. Anzisha chama chako na wewe uwe mpinzani
Hee!
Kwani kuwa mpinzani ni lazima kuwa na chama. Hili sikulijuwa? Mimi sitafuti mamlaka ya kuendesha nchi, ila napingana na yanayofanywa na CCM kwa miaka ya hivi karibuni, na hata hii iliyopo sasa.
Na hivyo vyama vya upinzani vinavyotafuta madaraka ya kutimiza sera zao wakiwa kwenye madaraka sioni hata kimoja kinachokidhi matakwa hayo kwa sasa.
Lakini nasema hivi, nipo tayari kuunga mkono chama chochote kinachoonyesha nia ya dhati ya kuiondoa madarakani CCM, bila ya kujali sera zao nyingine. Sera kuu ni uwezo wa kuiondoa CCM madarakani, basi; mengine yanafuata baadae.
 
Mkuu wewe na Mpina mko na tofauti gani, mbona kama akili zenu ziko sawa?
Hujaeleza "zipo sawa" kwa vipi". Kama zipo sawa, kwani hilo ni kosa?
Tueleze za kwako zikoje kwanza.
Ahaaa. Kumbe zipo hivi:
"...CCM walifanya makosa...."

"Hata mimi ningekuwa mlinzi wake...."

Kwa hiyo CCM hii ya sasa ndiyo iliyoteka akili zako?
 
Aliyekufa kafa...acha aisubiri hukumu itakayotokana na matendo yake aliyoyatenda akiwa hai.
Ya nini kutumia rasilimali za Taifa kuchunguza kifo cha mtu ambaye historia ya afya yake ilishaonesha kuwa siku zake zisingelikuwa nyingi.
 
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema “Baada ya kusikiliza kwa kina maelezo ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenari Venance Mabeyo aliyoyatoa Machi 16, 2024, nimeshawishika na ninawashawishi Wabunge wenzangu kuruhusu kuunda Tume huru ya kuchunguza utata wa kifo cha Rais wa awamu ya Tano, Dkt. John Joseph Pombe Magufuli ili kumtendea haki lakini na watu wengu waliotajwa ama kwa wema au kwa ubaya katika suala hili.”

Ameongeza “Pia tume hiyo itabaini hata watu waliokataa kuapishwa kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania wakati ilikuwa ni takwa la kikatiba.

Kwa mambo yaliyosemwa na Taasisi ambayo sio ya kutiliwa mashaka na mtu ambaye si wa kutiliwa mashakaa kuna haja ya hii tume kuundwa.”

View attachment 2968571

==============================​
Kisesa MP, Luhaga Mpina, has stated, "After thoroughly listening to the explanations provided by retired Chief of Defence Forces, General Venance Mabeyo, on March 16, 2024, I am convinced and urge my fellow MPs to allow the formation of an independent commission to investigate the controversy surrounding the death of the Fifth President, Dr. John Joseph Pombe Magufuli. This is to ensure justice is served to both those mentioned positively or negatively in this matter."

He added, "The commission will also identify those who rejected the swearing-in of Dr. Samia Suluhu Hassan as the President of Tanzania when it was a constitutional requirement. Given the gravity of the issues raised by a credible institution and a credible individual, there is a need for this commission to be established."

The narrative surrounding the late President Magufuli's health has been clarified by retired General Venance Mabeyo, who revealed that Magufuli had been battling heart issues since his time at the University of Dar es Salaam. He was initially admitted to Muhimbili Hospital and later transferred to Mzena Hospital, where he unfortunately passed away. There doesn't seem to be any ambiguity in this account. The controversy might have arisen from the lack of transparency in the government's communication after the President's death. However, this doesn't warrant the formation of a commission.

Another area of contention could be the secrecy surrounding Magufuli's illness. Yet, it's known that he conducted his government affairs with a high level of secrecy, propaganda, and denial. Even when he claimed that COVID-19 had been eradicated through prayer, his government remained silent about his health condition. Similarly, when former President Mkapa fell ill, the government didn't disclose any details until his passing. In contrast, during President Samia's administration, updates were provided when President Mwinyi was unwell.

Therefore, Minister Mpina's attempt to insinuate controversy around Magufuli's death doesn't seem to be grounded in his own statements.

However, the public has proposed the formation of an independent committee to investigate key incidents that have stirred concern and controversy in Tanzania. These incidents include the disappearances of Ben Saanane and Azory Gwanda, the death of Leopold Lwajabe, the attack on Tundu Lissu in Dodoma, the kidnappings of Roma Mkatoliki and Mohamed Dewji, and the reasons behind the invasion of the Clouds Media Group studios. Establishing this committee would ensure transparency and justice for the Tanzanian public and the families affected by these events.
Magufuli is gone for good(deceased). Hata kama ilikosewa kuwa amefariki huku ukweli akiwa ofisini anachapa kazi! Tujue hatarudi daima milele. Tanzania lazima isonge mbele na waliopo hai.
 
Hujaeleza "zipo sawa" kwa vipi". Kama zipo sawa, kwani hilo ni kosa?
Tueleze za kwako zikoje kwanza.
Ahaaa. Kumbe zipo hivi:
"...CCM walifanya makosa...."

"Hata mimi ningekuwa mlinzi wake...."

Kwa hiyo CCM hii ya sasa ndiyo iliyoteka akili zako?
Mimi na CCM wapi na wapi, watu kama wewe ndiyo huwa nawafananisha na Bashite
 
Mimi na CCM wapi na wapi, watu kama wewe ndiyo huwa nawafananisha na Bashite
Unanikosea heshima sana mkuu 'Allency', juu ya hili; kwani nakufahamu siku zote kuwa tofauti na ulivyonielewa kwenye mada hii.
Utaanzia wapi kunifananisha na Bashite, kwa mfano! Kwa vile tu namwona Luhaga Mpina kuwa tofauti ndani ya CCM sasa hivi?
Rudi nyuma uangalie ni mara ngapi umekubaliana nami humu humu JF kwa kukubali nilichochangia kwenye mada mbalimbali, halafu leo kwa sababu ya Luhaga niwe kama Bashite?
Nasema hivi, mkuu wangu 'Allency', inapohusu ilipotufikisha CCM hii, nipo tayari kukubali lebo yoyote ili mradi nisiwe sehemu ya chama hiki kinachotudidimiza sote.
 
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema “Baada ya kusikiliza kwa kina maelezo ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenari Venance Mabeyo aliyoyatoa Machi 16, 2024, nimeshawishika na ninawashawishi Wabunge wenzangu kuruhusu kuunda Tume huru ya kuchunguza utata wa kifo cha Rais wa awamu ya Tano, Dkt. John Joseph Pombe Magufuli ili kumtendea haki lakini na watu wengu waliotajwa ama kwa wema au kwa ubaya katika suala hili.”

Ameongeza “Pia tume hiyo itabaini hata watu waliokataa kuapishwa kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania wakati ilikuwa ni takwa la kikatiba.

Kwa mambo yaliyosemwa na Taasisi ambayo sio ya kutiliwa mashaka na mtu ambaye si wa kutiliwa mashakaa kuna haja ya hii tume kuundwa.”

View attachment 2968571

==============================​
Kisesa MP, Luhaga Mpina, has stated, "After thoroughly listening to the explanations provided by retired Chief of Defence Forces, General Venance Mabeyo, on March 16, 2024, I am convinced and urge my fellow MPs to allow the formation of an independent commission to investigate the controversy surrounding the death of the Fifth President, Dr. John Joseph Pombe Magufuli. This is to ensure justice is served to both those mentioned positively or negatively in this matter."

He added, "The commission will also identify those who rejected the swearing-in of Dr. Samia Suluhu Hassan as the President of Tanzania when it was a constitutional requirement. Given the gravity of the issues raised by a credible institution and a credible individual, there is a need for this commission to be established."

The narrative surrounding the late President Magufuli's health has been clarified by retired General Venance Mabeyo, who revealed that Magufuli had been battling heart issues since his time at the University of Dar es Salaam. He was initially admitted to Muhimbili Hospital and later transferred to Mzena Hospital, where he unfortunately passed away. There doesn't seem to be any ambiguity in this account. The controversy might have arisen from the lack of transparency in the government's communication after the President's death. However, this doesn't warrant the formation of a commission.

Another area of contention could be the secrecy surrounding Magufuli's illness. Yet, it's known that he conducted his government affairs with a high level of secrecy, propaganda, and denial. Even when he claimed that COVID-19 had been eradicated through prayer, his government remained silent about his health condition. Similarly, when former President Mkapa fell ill, the government didn't disclose any details until his passing. In contrast, during President Samia's administration, updates were provided when President Mwinyi was unwell.

Therefore, Minister Mpina's attempt to insinuate controversy around Magufuli's death doesn't seem to be grounded in his own statements.

However, the public has proposed the formation of an independent committee to investigate key incidents that have stirred concern and controversy in Tanzania. These incidents include the disappearances of Ben Saanane and Azory Gwanda, the death of Leopold Lwajabe, the attack on Tundu Lissu in Dodoma, the kidnappings of Roma Mkatoliki and Mohamed Dewji, and the reasons behind the invasion of the Clouds Media Group studios. Establishing this committee would ensure transparency and justice for the Tanzanian public and the families affected by these events.



Ukweli ni huu na hautabadilika. Magufuli alipata Covid na alikuwa na matatizo ya moyo ambayo yalifanya awekewe pacemaker. Covid ile ilisababisha mashine ya pacemaker kutokufanya kazi vizuri.


Mpendwa wetu hakutaka kupata chanjo na alijiweka karibu na wadhirika wa Covid akiwa pamoja na katibu wake mkuu ambaye alifariki Dunia kwa tatizo hilo. Hivyo ubishi wake wa ugojwa na kutokufuata maelekezo ya madaktari ndiyo yaliyochangia kwa kiasi kikubwa kumpoteza mpendwa wetu.


Huu ndiyo ukweli mtatunga mengine yote lakini ukweli ndiyo huu hapa
 
Kuna msukumo unaofanya fikra zako zionekane kuwa finyu. Zingekuwa pana na huru ungetambua kuwa kuna ya ziada juu ya yanayosemwa kuwa mbunge kayatamka.

Tatizo wa Watanzania wakisoma kidogo wanaona wengine wote ni wajinga. Kifo cha magufuli ukweli unajulikana Mpina anatafuta mwamko tu wakisiasa hamna jipya hapa zaidi ya kutafuta kiki na uchawa.

Ukweli usiopingika ni kwamba (1) Magufuli alipata Covid (2) Magufuli alikuwa na pacemaker (3) Magufuli hakupata chanjo

Tatizo la covid lilifanya pacemaker isifanye kazi na kusababisha matatizo yake ya moyo. Yaani ni kama vile alikuwa hata pacemaker tena baada ya covid. tuache uzushi na uchawa

"The SARS-CoV-2 virus can infect specialized pacemaker cells that maintain the heart's rhythmic beat, setting off a self-destruction process within the cells, according to a preclinical study co-led by researchers at Weill Cornell Medicine, NewYork-Presbyterian and NYU Grossman School of Medicine.Apr 1, 2022"
 
Wote hawa ni Sukuma gang,ila kumbuka Sukuma gang siyo kabila ila ni kikundi
Kwa nini wasiitwe "magufuliGang", maana hiyo "Sukuma" ni wazi kabisa ni misnomer', na tena ni udhalilishaji wa kabila zima bila ya sababu zozote.
 
Walitaka aachwe na alikuwa anahujumu ulinzi wa usalama wa nchi na mipaka yake ??? Alikuwa na Nia ovu ya kuidhooofisha nchi kiulinzi na utendaji Kivita Huku machoni kwa watu akifunika na kufanya miradi ya haha na pale ..

Amiri jeshi gani miaka yake alisitisha ajira majeshini ?? na hata akitoa zilikua Chache sana tena kwa kulenga kuingiza watu Fulani Fulani …..

Hata Vijana alioaaahidi ajira akashindwa kuwapa…

MIAKA yake yote hakuwezesha jeshi kwa silaha wala mafunzo [ mafunzo ya nje ndio kabisaaa] , waliostaafu na kufariki hapakuwa na wa kufidia nafasi zao [ career gap ] …

ALIANZA Mkakati haramu ambao Mwisho ulikuwa Mpango haramu wa himaya ya hima kujipanua kuja hadi GEITA kwa jina la MKOA Mpya ya Chato ambao waliudai hadi msibani [ Baada ya kustukiwa Nia ovu hiyo umemsikia Nani anadai tena MKOA wa Chato?? ] ule baadaye ungedai kujitenga na kuwa sehemu ya nchi jirani Kama wanavyopata shida Goma Leo…



Sio Ajabu kuugua bila uwepo wa mke au ndugu …kwasababu alikuwa captive wa state ….treason against the sorveregnity of the state .
 
Tatizo wa Watanzania wakisoma kidogo wanaona wengine wote ni wajinga. Kifo cha magufuli ukweli unajulikana Mpina anatafuta mwamko tu wakisiasa hamna jipya hapa zaidi ya kutafuta kiki na uchawa.
Hili linahusiana vipi na hayo mengine uliyo andika huko chini.
Unataka kuonyesha kitu gani hapa?
 
ALIANZA Mkakati haramu ambao Mwisho ulikuwa Mpango haramu wa himaya ya hima kujipanua kuja hadi GEITA kwa jina la MKOA Mpya ya Chato ambao waliudai hadi msibani [ Baada ya kustukiwa Nia ovu hiyo umemsikia Nani anadai tena MKOA wa Chato?? ] ule baadaye ungedai kujitenga na kuwa sehemu ya nchi jirani Kama wanavyopata shida Goma Leo…
Haya hapa yanashangaza na kustua; lakini ni vigumu kuyakataa.
Lakini mbona hiyo inayosemwa kuwa "Hima Empire" bado inapaliliwa na kurutubishwa humo ndani kwa ndani mwa serikali? Kusitisha uwepo wa mkoa wao ndicho kiwe kigezo cha kuizuia?
Sio Ajabu kuugua bila uwepo wa mke au ndugu …kwasababu alikuwa captive wa state ….treason against the sorveregnity of the state .
Lakini hili hapa, ni ujinga tu unaoendelea kulipalilia.
Hapa jina la mkuu 'Philemon Mikael' limetumika tu. Huu siyo mwandiko wake.
 
Back
Top Bottom