fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
exactlyHuyu anafosi uwaziri, Zama za Sukuma gang zimepita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
exactlyHuyu anafosi uwaziri, Zama za Sukuma gang zimepita.
anawaza kuoima samaki kwa futiMbunge km huyu Kuna wananchi nao walipanga foleni kwenda kumpigia kura penginepo jua likiwachomaa[emoji28][emoji28].
Badala ya kupigania serikali iachee kuiba na kuleta maendeleo ,yupo busy kumuwaza marehemuu..
Shenzi kabsView attachment 2968569
Tuanze na utata wa kifo cha Sokoine, kupotea Ben Sa8Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema “Baada ya kusikiliza kwa kina maelezo ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenari Venance Mabeyo aliyoyatoa Machi 16, 2024, nimeshawishika na ninawashawishi Wabunge wenzangu kuruhusu kuunda Tume huru ya kuchunguza utata wa kifo cha Rais wa awamu ya Tano, Dkt. John Joseph Pombe Magufuli ili kumtendea haki lakini na watu wengu waliotajwa ama kwa wema au kwa ubaya katika suala hili.”
Ameongeza “Pia tume hiyo itabaini hata watu waliokataa kuapishwa kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania wakati ilikuwa ni takwa la kikatiba.
Kwa mambo yaliyosemwa na Taasisi ambayo sio ya kutiliwa mashaka na mtu ambaye si wa kutiliwa mashakaa kuna haja ya hii tume kuundwa.”
100%Iundwe kamati huru kuchunguza kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda .
Kifo cha Leopold Lwajabe.
Shambulio la Tundu Lissu Dodoma.
Kutekwa kwa Roma Mkatoliki na Mohamed Dewji.
Sababu za kuvamiwa Clouds Media Group studio.
Hapa itakuwa tumeutendea haki umma wa watanzania na familia za hao watu.
Yaani umeona afadhali umwage kizungu kabisa😎😉Magufuli kafa harudi tena. Give us a break
Tulia weweeeYaani umeona afadhali umwage kizungu kabisa😎😉
Mbona unaweweseka mtekaji?Hilo ni jukumu la CHADOMO
Kauli kama hizo ndo zinazoongeza utata.Mkuu muosha huoshwa! Imeenda hiyo! Watu wapo masaa ya mbele!
Uchunguzi uanzie hapa..Huyo Jiwe wako alitendewa aliyokuwa anawatendea Watanzania. Bila Mungu kuingilia kati sijui Taifa hili lingekuwa wapi
Kabisa,KAMATI HIYO HIYO PIA ISIACHE KUCHUNGUZA KIFO CHA MPENDWA WETU MWANASIASA NGULI JASIRI LATE, BENJAMINI WILIAM MKAPA, IT WAS SO SUDDEENLY!, KUTOKA AFYA NZURI MNO, MPAKA KUFIKIA PALE!
°Alifariki wakati ambao kiongozi fulani akijaribu kujiongezea muda! Inatia shaka sana.
Kauli nyengine tata.Jjiwe kajiua mwenyewe