CCM wataendelea na hizi sarakasi na hii midundo mpaka 2025.... mtashangaa wanakwenda kwenye chaguzi wakiwa nguvu moja wanashinda tunaanza tena oooooh tumeibiwa kura...
Upinzani wanacheza ngoma ya CCM kila inavyopigwa hahaahahahah
 
Kama Babangida wa Nigeria aliitwa Maradona, basi napendekeza mama tumbatize MESSY!
 
Kidumu chama cha mapinduzi
 
Tena Mama ana sitara kubwa sana
Aliepita alikuwa anafukuza kama mbwa na waliogopa
Wengine walizimia na wengine kufa kabisa baada ya kutumbuliwa

Acha wapige kelele mziki bado sana
Hawa ndio binaadam mkuu.

Hawana jema hawa! Juzi juzi kulikuwa na msemo wa "usitufokee"

Walikuwa wakifokewa na kutukanwa huku watoto wao wanaangalia kwenye TV,Leo wamepata mtu msikivu mstaarabu wanachonga ngenga
 
Kazi ya kusimamia mawaziri ni ya PM - Kassimu akae mkao wa kunyolewa! Bunge likishapata Spika, hiyo kazi ya Lukuvi ya usimamizi wa mawaziri inaanza rasmi kwa jina lake kupelekwa Bungeni kuthibitishwa!!!
Thubutu yakeeeeee.

Lukuvi akatubu Zanzibar kwanza. Aende mpaka Makunduchi akaombe radhi
 
Lukuvi ni mtu smart??
 
Sasa samia kama urais hauwezi Si ajiuzuru tyuuu anatuchosha kila siku anateua anayumba
 
Eti ni ya ndani kabisa!!!!!

Jinga kabisa.

Kuandika hujui nani atakupa taarifa za "ndani kabisa"??
 
Hawa ndio binaadam mkuu.

Hawana jema hawa! Juzi juzi kulikuwa na msemo wa "usitufokee"

Walikuwa wakifokewa na kutukanwa huku watoto wao wanaangalia kwenye TV,Leo wamepata mtu msikivu mstaarabu wanachonga ngenga

Mswahili hana jema kila kitu kwake baya tu
Unamshonea kiatu yeye anakuandalia sanda
 
Hata jk aliwahi mpa mwakyusa kazi maalum, ngoja hawa nao wafanye kazi maalum
 
Chanzo cha taarifa ninini? au ni walewale wa kukutrupuka kama 'ile kitu'
Vijana wavivu huwa hamjifichi,toka huko unakolelewa ili uwe na akili nzuri ,jambo ambalo liko wazi na lilitangazwa hadharani hulijui?
 
Maza ameona aibu kuwatosa bila sababu ya msingi na kuchagua vijana ambao atawamudu na kufeel conformable kuwaongoza.

Kama Kabudi na Lukuvi wametolewa pale kwa ajili ya uzee wao vipi Mkuchika ambaye yupo toka enzi za Mwinyi/Mkapa bado anaendelea kupeta na yuko beyond 70s ...!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…