Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ndicho umeona cha maana
kuandika hapa sijaona hoja hata moja pengine jipange vizuri utulie na
ujenge hoja kwa kutueleza nini unachokitaka kutueleza vema lakini kwa
hizi hoja ni nyepesi sana.
Lukuvi anaonge sasa bungeni sijaelewa anajibu hoja alizotuumiwa jana na UKAWA, anachangia hoja kuuu au anajibu kama waziri wa nchi?
Sijaelewa lengo lake sasa ana dakika kumi na tano zaidi ya kumi kuu anatamba tuuuu.... sijamuelewa kabisa.
Huko kulewa madaraka,na mwenyekiti anampa muda mwingi tu wakat anaongea ujinga tu,kwenye masuala ya katiba unazungumziaje dini na kabila za watu hana anachoongea kaz kutaja watu tu,akil ndogo huzungumzia watu.inashangaza,,lukuvi ameitwa kuja kujibu tuhuma za uchochezi wa kidini kanisani,,
lakini mbona amejikita kwenye muundo wa serikali na mambo mengine,,,,amajilita kwenye vijembe na mipasho,,,
ajibu tuhuma na sio kukwepa,,,,
Kwa sababu jeshi
wameshapewa 'go on' na watawala sasa huu ni wakati wao nao kula matunda
ya nchi, wachukue nchi tu wakamate watawala wawauwe wote wakalie nchi
nao.
Wameshapewa uhakika wa kuchukua nchi, watawala wame-surrender.
Jeshi kamateni nchi sasa.