balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Vibaka kuuliwa na watu kusapoti siyo utetezi.Kosa moja halihalalishi kosa lingine.Utawala wa sheria ndo unatakiwa.Mbona vibaka wezi wanauliwa
Na watu huwa wanaunga mkono
Sasa huyo jamaa aliyevamia uhamiaji
Si kishoka tu
Ova