Maafisa uhamiaji Walivyomtesa mtuhumiwa, Je, Sheria inawaruhusu?

Maafisa uhamiaji Walivyomtesa mtuhumiwa, Je, Sheria inawaruhusu?

Kosa lake ni nini jamani ? Kamtapeli nani ? Au kosa kujifanya yeye takukuru? Angepelekwa Police then mahakamani
 
Hawa wanaofanya haya ni miongoni mwa 'law enforcers' (kama ndio hao wanaoamrisha huyo mtu afanyiwe hivyo) wanaoishushia nchi yetu heshima kimataifa kwa kujichukulia sheria mkononi maana utaratibu wa kisheria upo kama mtu anatuhumiwa kwa kosa lolote.
Punguza upumbavu wa kujifanya una huruma,Huwezi kuidharau mamlaka zetu kwa upuuzi kama huu.Mijitu kama wewe mnatakiwa kupata elimu kwa zawadi hiyo hiyo unayoikosoa,Idiot
 
Ni suala la mida tu,anapewa Mkuu wa Uhamiaji na Waziri wake pengine isizidi wiki kama hawakuchukua hatua kali basi wajue wanakwenda na maji. Sina zaidi.

Kadhia iliyotokea haina nafasi kwa Raisi aliepo,pale anahisi ni kama mwanawe na anakaa akijiuliza kwanini wasimkamate ? Mateso kama hayo yametokea Zanzibar miezi michache iliyopita,polisi wote waliohusika katika aina hio ya mateso katika nchi ya walio huru,wote wapo ndani na kesi inaendelea,kwa ufupi hawatopi.

Na Hawa maofisa wa uhamiaji ni aibu na wanamuhatarishia Raisi juu ya usimamizi wa madaraka yake na kuona haki inatendeka, Kuchukua kideo na kuirusha ni kumpima ? Ni Kumharibia ? Ni kumsaboteji ?
 
Hao askari mbona wastaarabu sana.... Angeingia Jeshini akafanya huo upuuzi, yaani Munalaumu kijingajinga tu kana kwamba hao aliokutana nao ni wauguzi wa Muhimbili
 
Kosa kubwa sana la udhalilishaji wamefanya hawa maafisa uhamiaji!!

Makakala wazengue kabla hujazenguliwa
 
Mimi ningeenda sawa na huyu mmojawapo ili nijikute polisi au hospital nikiw nizma au tumezma wote

, Kama jamaa wameshamtambua kbs wangempeleka panapo staili
 
Hizo mahakama na mahakimu na magereza umeyaweka ya nini Sasa? We mnduku kweli huna akili mwehu wewe
Hii imekaa vizuri sana, wapo watu wameanza kudharau mamlaka za serikali kisa tu JPM hayupo. Huyu Kama ameweza kuingia ofisi nyeti hivyo nakudanganya eti anatoka TAKUKURU ameshadhulumu watu wangapi? Yawezekana huyu mtu ni jambaza au muhalifu ni vyema tukapata taarifa rasmi.

Kuingia kwenye vyombo Kama TAKUKURU ukijua siyo mtumishi wa chombo hicho then utegemee kutoka salama hicho chombo kitakuwa kimekufa.

Hawa watu ndiyo wanaotuibia kwa sms za namba zisizofahamika. Na wakikukamata usiku ndo utajua haki za binadamu au la.

Vibaka wamezagaa kila kona imefika wakati Sasa wanajitutumia Hadi kwenye vyombo vya dola, no. Vyombo vyetu vijiimarishe kuwashughulikia Hawa watu la sivyo wakiruhusiwa kutetewa tutawapa kiburi.

Mtu hata bia haishuki kisa vibaka Kama Hawa, juzi wamepiga mtu mbezi mara kituo Cha mafuta wamenyang'anya silaha......kwanini haya yatokee Kama siyo kujaribu nguvu ya utawala mpya
 
Sio vyema walivyomfanyia maana kama amefanya utapeli kwa kujifanya ofisa wa uhamiaji basi ilitakiwa afikishwe kwenye vyombo vya sheria kama sabaya TEETH feki alivyojifanya ni TISS.

Na sio tu hao ,vyombo vingi vya usalama vinajichukulia sheria mikononi mno eg JWTZ ukikatiza sehemu yao bila kujua wanaanza kukulimisha na kukugalagaza wakati ilitakiwa wakupe elimu tu kwamba njia hii haipitiki au haurushusiwi kufanya jambo flani hapa ,ukishaambiwa hivyo next time hautofanya.

Kuchukua sheria mikononi kwa vyombo vyetu vya ulinzi ni kosa hao uhamijaji na JWTZ wapewe elimu wanavyofanya ni makosa,wanajenga chuki ,ipo siku watakutana na mtu wa visasi atakuja kufanya maafa ya kujitoa muhanga.
 
Ni suala la mida tu,anapewa Mkuu wa Uhamiaji na Waziri wake pengine isizidi wiki kama hawakuchukua hatua kali basi wajue wanakwenda na maji. Sina zaidi.
Kadhia iliyotokea haina nafasi kwa Raisi aliepo,pale anahisi ni kama mwanawe na anakaa akijiuliza kwanini wasimkamate ? Mateso kama hayo yametokea Zanzibar miezi michache iliyopita,polisi wote waliohusika katika aina hio ya mateso katika nchi ya walio huru,wote wapo ndani na kesi inaendelea,kwa ufupi hawatopi. Na Hawa maofisa wa uhamiaji ni aibu na wanamuhatarishia Raisi juu ya usimamizi wa madaraka yake na kuona haki inatendeka, Kuchukua kideo na kuirusha ni kumpima ? Ni Kumharibia ? Ni kumsaboteji ?

Wale jamaa wafukuzwe kazi kitendo walichokifanya sio safi kabisa hata kama jamaa Bonge alikosea ilitakiwa sheria ifuate mkondo ,jamaa ana pete ya ndoa ni wammletea fedhea sana kwa mkewe /familia.
 
Taarifa za jf siku hizi daaah,uozo mtupu.Yani mtu anaandika habari akihisi kila mtu yupo kwenye ubungo wake,shame on you.
Andika habari hata kwa reference,aiwezekani baki nayo kwenu huko,Hivi thread kama hii baada ya miaka10 itasomwaje?
 
Kuna RAFIKI yangu mpemba.
Alikwenda uhamiaji bagamoyo.wakamuhisi NI msomali.
Si wakamuitia defender.
Walimpeleka kwenye chumba kina Giza balaa na hapo NI mchana.
ILA yeye hawakumpiga
 
HATA JAMAA MWENYEWE MPUMBAVU. NINGEKUA MIMI NISINGETII HATA MOJA YA AMRI WALIZOKUA WANAMPA. INGEBIDI WATUMIE NGUVU NA INGESAIDIA KUWAUMBUA ZAIDI JAMAA HAWA WALIOHARIBIWA NA AWAMU YA TANO.
unaenda kufanya uhalifu eneo la jeshi halaf unaota pembe? kajarib ww tukuone
 
Yale ni mazoezi tu kama mazoezi mengine... Hivi mnajua mateso kweli? Mmepita hata JKT?.... Yaani mijitu inamuonea huruma tapeli,jizi lisilo na huruma...Cc Ulimboka, Biko.

Maafisa wanasitahili nishani ya ukomeshaji.
 
Ukipatikana maeneo ya jeiwi mbona kawaida hiyo😂😂

Ova
 
Kama ni mwendo wa kujichukulia sheria naomba na sisi raia tujilinde hapo namuona huyo sgnt bonge aliyemkanyaga Teke anaishi ukonga, huyo jamaa anayemuuliza nikuonyeshe demo anaitwa alix..
Ukonga kumeanza kukaliwa lini na wahuni?
 
Mpaka sasa sielewi watu wanatetea nini humu, yaani mtu uingie sehemu jeshini kwa kusudi la kuwatapeli wakuumbue halafu utegemee uletewe chai kwa birika....kuna nadharia za sheria na uhalsia wa mambo, hapo unapaswa usalimu amri na kushukuru ukitoka mzima. Hao wote huwa wamepitia mafunzo ya uwenda wazimu ambayo huwafanya wawe kama machizi.

Tena hawa wanaonekana wastaarab maana wanarekodi wenyewe, maana kwamba jamaa yuko sehemu ndani ya majengo yao sio nje kwenye kandamnasi, hapo ukijifanya komando na kuwakaidi wanaweza wakakufanya chochote na kufuta video ujifie mbele....

kuna watu wajasiri sana, unatoka zako kitaani na kwenda kutapeli jeshini....hehehehe!!! Bangi haijawahi kumuacha mtu salama.
 
Mpaka sasa sielewi watu wanatetea nini humu, yaani mtu uingie sehemu jeshini kwa kusudi la kuwatapeli wakuumbue halafu utegemee uletewe chai kwa birika....kuna nadharia za sheria na uhalsia wa mambo, hapo unapaswa usalimu amri na kushukuru ukitoka mzima. Hao wote huwa wamepitia mafunzo ya uwenda wazimu ambayo huwafanya wawe kama machizi.

Tena hawa wanaonekana wastaarab maana wanarekodi wenyewe, maana kwamba jamaa yuko sehemu ndani ya majengo yao sio nje kwenye kandamnasi, hapo ukijifanya komando na kuwakaidi wanaweza wakakufanya chochote na kufuta video ujifie mbele....

kuna watu wajasiri sana, unatoka zako kitaani na kwenda kutapeli jeshini....hehehehe!!! Bangi haijawahi kumuacha mtu salama.
Elumu za kukariri na lack of exposure ndiyo zinakufanya uwe na mawazo fyongo namna hii. Ndiyo maana waarabu walishindwa kuchukuwa watumwa sehemu nyingine kote lakini Afrika ikawa rahisi kwa sababu ya watu kama. Wewe hata ukilawitiwa na mwanajeshi utashukuru na kusema unastahili kwa sababu wanajeshi wana haki ya kukufanya hivyo.
 
Elumu za kukariri na lack of exposure ndiyo zinakufanya uwe na mawazo fyongo namna hii. Ndiyo maana waarabu walishindwa kuchukuwa watumwa sehemu nyingine kote lakini Afrika ikawa rahisi kwa sababu ya watu kama. Wewe hata ukilawitiwa na mwanajeshi utashukuru na kusema unastahili kwa sababu wanajeshi wana haki ya kukufanya hivyo.
Mkuu watanzania wengi bado ni wajinga na wapuuzi.
 
Back
Top Bottom