bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Ikitajwa hip hop unamuona P didy? ipe heshima yake hip hopPuffy ni moja ya face ya Hip Hop. Tuhuma zikithibitishwa Hip Hop haiwezi kuwa ile ile tena kamwe. Ni zama mpya hizi, subiri uone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitajwa hip hop unamuona P didy? ipe heshima yake hip hopPuffy ni moja ya face ya Hip Hop. Tuhuma zikithibitishwa Hip Hop haiwezi kuwa ile ile tena kamwe. Ni zama mpya hizi, subiri uone
Puffy ni moja ya face ya Hip Hop. Tuhuma zikithibitishwa Hip Hop haiwezi kuwa ile ile tena kamwe. Ni zama mpya hizi, subiri uone
Huoni hata nyumbani wala usiende mbaliHao wanamuziki wengi wao wahuni tu, mbona akina Muhammed Alli wamekufa na heshima zao ila wanamuziki wengi wahuni kama nyimbo zao zilivyo
Ndo maana utaenda mbele rudi nyuma USA is the bestHuku tunamtaka mpaka ex president Trump.
Kama watu wamemfanya a sitting president Nixon mpaka kajiuzulu, wakikwambia "nobody is above the law" unaweza kuwa entertain kidogo hata kama bado kuna mapungufu mengi.
Imekua debunked na nani? Ama ndo yale majibu rahisi rahisi? Email 20,000 na email zaidi ya 10 zinazoashiria sex trafficking zimekuwa debunked na nani?Pizzagate ishakuwa debunked na kuoneshwa kwamba ilikuwa hoax miaka mingi sana, unaishi dunia gani mkuu?
Nadhani Jay z au Kanye WestWakimalizana na diddy who's next!!?
Watu weusi popote walipo ni toleo la mwisho la MwanadamuMweusi akipata hela kwa mziki lazima aingie ukahaba na drugs sijui kwanini
Halafu wakikamatwa wanasema tunaonewa
Haya R Kelly ananyea debe na huyu karibuni atafilisika halafu sisi wa Buza tutalia na kusema kisa black wamemuwekea mtego
Mbona kina Denzel wana heshima zao?
Kikwete mwanasiasa mkuu.Kweli kama hivi unaamini kweli marekani ni balaa kabisa.
Tanzania hivi mfano kikwete tu,au tuseme mtoto wake anaweza kuwekwa ndani akikutwa na hatia?
Tuseme tu ukweli,hao jamaa wako mbali sana.
Huu ni ukweli mtupu kabisa mkuu...Watu weusi popote walipo ni toleo la mwisho la Mwanadamu
Wana Ujinga na Uvivu mwingi, ndio maana hawaumizi kichwa sana wanakimbilia kwenye musics
Eti ukute Mtu mweusi anaumiza kichwa kubuni au kugundua kitu...Aaah wapi, hiyo hakuna tolea enzi na enziHuu ni ukweli mtupu kabisa mkuu...
kwani si walishamalizana, diddy akampa 25m usd, au demu kalianzisha tena?Diddy alikuwa tayari akutane na bibie wayajenge. Unafikiri angekuwa anasingiziwa angekubali wayajenge na mtu ambaye anaharibu reputation yake?
Imekua debunked na nani? Ama ndo yale majibu rahisi rahisi? Email 20,000 na email zaidi ya 10 zinazoashiria sex trafficking zimekuwa debunked na nani?
Baadhi ya issue hizi
1. Kunduz Afghanistan incidence ambayo Dynacorp walikua wakinunua watoto na kuna Video ya dakika 45 ikionesha mabwana wakubwa hao wakiwa wamekaa kwenye kiti na mtoto wa kiume kafungwa kibwebwe anawakatikia.
WikiLeaks - Hillary Clinton Email Archive
Email hio baina ya Hillary Clinton na Lawyer wake wakitaka habari kwenye vyombo vya habari iondolewe part kwamba hawakusex, walicheza tu bila sex, hii habari Pia waziri husika wa Afghanistan alikiri na kasema kuna watu wakubwa hawawezi kutajwa kwenye public.
2.mwaka 2010 new life children refugee (NLCR) walikutwa na Hatia ya kutrafick watoto 33 toka Haiti, baada ya 2016 Email ZA Clinton ku leak
-ilionekana NLCR waliomba hela kusafirisha hao watoto kwa Clinton/serikalini
Pia kuna email nyingi baadae za Hilary akimzungumzia Laura (mhusika wa NLCR)WikiLeaks - Hillary Clinton Email Archive
wikileaks.org
Cheki wikileaks reports zote zinazohusiana maana nyingi mno hata kuandika zote humu ngumu.
Mwisho wa siku mkuu Asange mwenyewe mara kwa mara ameongelea ana ushahidi wa kutosha hao vigogo wa democratic wanahusika, na Asange ana credibility kubwa kushinda chombo chochote kile cha habari.
Na kweli mkuu,Watu weusi popote walipo ni toleo la mwisho la Mwanadamu
Wana Ujinga na Uvivu mwingi, ndio maana hawaumizi kichwa sana wanakimbilia kwenye musics
Mkuu ulicholink ni tofauti kabisa na nilichoongea mimi ambacho ame leak Asange na wikileaks yake. Link yako imeelezea tu cheap propaganda sijui tylor swift hajavaa mask ya pedophile, sijui hiki na kile ila hawaja adress hoja za Asange.Pizzagate Articles | Snopes.com
The definitive Internet reference source for researching urban legends, folklore, myths, rumors, and misinformation.www.snopes.com
Akimbilie urusi aisee kule hawamfuatiSiku zake za kukaa uraiani zinahesabika, soon anamjoin R Kelly
Pizzagate ni nini, tuanzie hapo.Mkuu ulicholink ni tofauti kabisa na nilichoongea mimi ambacho ame leak Asange na wikileaks yake. Link yako imeelezea tu cheap propaganda sijui tylor swift hajavaa mask ya pedophile, sijui hiki na kile ila hawaja adress hoja za Asange.