Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

Hao wanamuziki wengi wao wahuni tu, mbona akina Muhammed Alli wamekufa na heshima zao ila wanamuziki wengi wahuni kama nyimbo zao zilivyo
Huoni hata nyumbani wala usiende mbali
Wana muziki wana laana nao maana wengine matamasha yanaharibu vitoto na wengi hujifunzia ulevi pia
Na wao wanaharibu vitoto na hata kuviuza
Hebu angalia kesi za Diddy yaani baba zima ila pumbavu na heshima hayana
Kuna Blacks wengine wapo kwenye Sanaa hata movie angalia wengi tu wako smart ingawa hatujui hela zao wanawekeza wapi
Matajiri wazungu hela zao zitaonekana kwenye miradi yao ila sisi ni tungi
 
Huku tunamtaka mpaka ex president Trump.

Kama watu wamemfanya a sitting president Nixon mpaka kajiuzulu, wakikwambia "nobody is above the law" unaweza kuwa entertain kidogo hata kama bado kuna mapungufu mengi.
Ndo maana utaenda mbele rudi nyuma USA is the best
 
Pizzagate ishakuwa debunked na kuoneshwa kwamba ilikuwa hoax miaka mingi sana, unaishi dunia gani mkuu?
Imekua debunked na nani? Ama ndo yale majibu rahisi rahisi? Email 20,000 na email zaidi ya 10 zinazoashiria sex trafficking zimekuwa debunked na nani?

Baadhi ya issue hizi
1. Kunduz Afghanistan incidence ambayo Dynacorp walikua wakinunua watoto na kuna Video ya dakika 45 ikionesha mabwana wakubwa hao wakiwa wamekaa kwenye kiti na mtoto wa kiume kafungwa kibwebwe anawakatikia.
WikiLeaks - Hillary Clinton Email Archive
Email hio baina ya Hillary Clinton na Lawyer wake wakitaka habari kwenye vyombo vya habari iondolewe part kwamba hawakusex, walicheza tu bila sex, hii habari Pia waziri husika wa Afghanistan alikiri na kasema kuna watu wakubwa hawawezi kutajwa kwenye public.

2.mwaka 2010 new life children refugee (NLCR) walikutwa na Hatia ya kutrafick watoto 33 toka Haiti, baada ya 2016 Email ZA Clinton ku leak
-ilionekana NLCR waliomba hela kusafirisha hao watoto kwa Clinton/serikalini
Pia kuna email nyingi baadae za Hilary akimzungumzia Laura (mhusika wa NLCR)

Cheki wikileaks reports zote zinazohusiana maana nyingi mno hata kuandika zote humu ngumu.

Mwisho wa siku mkuu Asange mwenyewe mara kwa mara ameongelea ana ushahidi wa kutosha hao vigogo wa democratic wanahusika, na Asange ana credibility kubwa kushinda chombo chochote kile cha habari.
 
Mweusi akipata hela kwa mziki lazima aingie ukahaba na drugs sijui kwanini
Halafu wakikamatwa wanasema tunaonewa
Haya R Kelly ananyea debe na huyu karibuni atafilisika halafu sisi wa Buza tutalia na kusema kisa black wamemuwekea mtego
Mbona kina Denzel wana heshima zao?
Watu weusi popote walipo ni toleo la mwisho la Mwanadamu

Wana Ujinga na Uvivu mwingi, ndio maana hawaumizi kichwa sana wanakimbilia kwenye musics
 
Kweli kama hivi unaamini kweli marekani ni balaa kabisa.

Tanzania hivi mfano kikwete tu,au tuseme mtoto wake anaweza kuwekwa ndani akikutwa na hatia?

Tuseme tu ukweli,hao jamaa wako mbali sana.
Kikwete mwanasiasa mkuu.
Tofautisha mwanasiasa na msanii.
We muone Trump anavyoruka vihunzi huko mahakamani,msanii unaweza ruka vihunzi vile?
 
Tip Forever😎
0x0.png
 
Imekua debunked na nani? Ama ndo yale majibu rahisi rahisi? Email 20,000 na email zaidi ya 10 zinazoashiria sex trafficking zimekuwa debunked na nani?

Baadhi ya issue hizi
1. Kunduz Afghanistan incidence ambayo Dynacorp walikua wakinunua watoto na kuna Video ya dakika 45 ikionesha mabwana wakubwa hao wakiwa wamekaa kwenye kiti na mtoto wa kiume kafungwa kibwebwe anawakatikia.
WikiLeaks - Hillary Clinton Email Archive
Email hio baina ya Hillary Clinton na Lawyer wake wakitaka habari kwenye vyombo vya habari iondolewe part kwamba hawakusex, walicheza tu bila sex, hii habari Pia waziri husika wa Afghanistan alikiri na kasema kuna watu wakubwa hawawezi kutajwa kwenye public.

2.mwaka 2010 new life children refugee (NLCR) walikutwa na Hatia ya kutrafick watoto 33 toka Haiti, baada ya 2016 Email ZA Clinton ku leak
-ilionekana NLCR waliomba hela kusafirisha hao watoto kwa Clinton/serikalini
Pia kuna email nyingi baadae za Hilary akimzungumzia Laura (mhusika wa NLCR)

Cheki wikileaks reports zote zinazohusiana maana nyingi mno hata kuandika zote humu ngumu.

Mwisho wa siku mkuu Asange mwenyewe mara kwa mara ameongelea ana ushahidi wa kutosha hao vigogo wa democratic wanahusika, na Asange ana credibility kubwa kushinda chombo chochote kile cha habari.
 
Watu weusi popote walipo ni toleo la mwisho la Mwanadamu

Wana Ujinga na Uvivu mwingi, ndio maana hawaumizi kichwa sana wanakimbilia kwenye musics
Na kweli mkuu,
Angalia hata nchi za Africa umasikini wa kujitakia hawana Habari kabisa hata formula ya kuishi shida
Yaani leo vijana hawajui wafanye nini
Wanatafuta short cut kwenye maisha
 
Mkuu ulicholink ni tofauti kabisa na nilichoongea mimi ambacho ame leak Asange na wikileaks yake. Link yako imeelezea tu cheap propaganda sijui tylor swift hajavaa mask ya pedophile, sijui hiki na kile ila hawaja adress hoja za Asange.
 
Mkuu ulicholink ni tofauti kabisa na nilichoongea mimi ambacho ame leak Asange na wikileaks yake. Link yako imeelezea tu cheap propaganda sijui tylor swift hajavaa mask ya pedophile, sijui hiki na kile ila hawaja adress hoja za Asange.
Pizzagate ni nini, tuanzie hapo.
 
Back
Top Bottom