The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Wrong usimwamini nabii yeyote wa karne hii
Huko sijatia neno mkuu, nimejikita kwenye siasa kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wrong usimwamini nabii yeyote wa karne hii
Hujui......Nyani haoni kundule!.....Sijui....Kweli makanisa kama haya niyakufungwa tu!!Unajua nini maana ya kanisa?
Sasa unatatizo gani pale Gwajima anapoamua kutomumunya maneno kwa yale anayoyaamini na kuyasimamia?Mbwa mwitu wa kondoo za Bwana na askofu wa wajinga wala simumunyi maneno hapa na kama wewe unamfuata utaliwa tu kwani wajinga ndio waliwao. Kamwe hawezi kuwa mtumishi wa kweli wa Mungu aliye hai ni juu yako kuendelea kumwamini.
Kwani ugomvi, wewe mpeAcha upotoshaji. Huyu Bishop. Gwajima kwenye Corona alisimama mstari wa mbele kabisa kuhimiza maombi. Huyu mtu anafaa kuwa mbunge.
huyu si mnaoona jesh la mtu mmojaHujui......Nyani haoni kundule!.....Sijui....Kweli makanisa kama haya niyakufungwa tu!!View attachment 1565321
acha kumpamba hakuna hatari yoyote, ni lofa kama malofa wengine wajasilia diniAskofu wa wajinga kuweni waangalifu naye namjua vizuri ni mtu hatari sana.
Wana JF,
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.
Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kkkkk kale kamchezo ni hatareeMzee wa filamu pendwa
hilo tu labda waumini mbululaaaaGwajiboy atachaguliwa na mataga wenzie..!
P.o.rnoMzee wa filamu pendwa
Mtu mwenyewe fedha ya matumizi inatokana na sadaka anayopiga kutoka kwa waumini. Huyu ni tapeli kama matapeli wengine tu.Wana JF,
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.
Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Wana JF,
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.
Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Soma hapo juu James Martin ametaja baadhi ya mambo ya Gwajima. Ndugu hii dunia ina watu waajabu sana usipokuwa na ufahamu wa kutosha unafikiri ni watu wazuri kumbe wapi.Sasa unatatizo gani pale Gwajima anapoamua kutomumunya maneno kwa yale anayoyaamini na kuyasimamia?
Pamoja na maelezo yako uliyokwisha yasema bado hujasema ni kwa namna gani Gwajima ni mtu hatari sana.
Umesema unamjua vizuri sana basi karibu sana mkuu katika kutuelezea uhatari wa Gwajima
Unajua yule dada alisema ni 'Muhuni wa Kitaa'! Huyo dada si ndiyo atawavuruga Kawe kabisa akiruhusiwa kwenye sanduku la kura kuendelea kuwa Mbunge?
Unoo anajuaga kulichezaa unoooooEverybody say UNO