Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
Mkuu hii miaka 10 tutashuhudia mengi sana anadai kuketa boti za uvuvi mbona kwa nini asingeanza kwa waumini wake😁😁😁😁😁😁 inawezekana lisu alisema kweli kuna watu Yohana anawaokota majalalaniWana JF,
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.
Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.