Bora wazazi wangepiga nyeto.Mnajikamatisha
Bado sioni sababu ya msingi kupiga kura siku mbili.Zanzibar kuna kura mbili
Kura za viongozi wa Serkali ya mapinduzi
Na kura za Rais Magufuli na wawakilishi
Akili za wanaccm hizi.akili zzao ziko mager.lionHuyo sefu wamshindilie chupa ya soda kwenye naniliu yake atie akili kidogo
Kazi kwel kwel
Ubaguzi na kuendeleza hila za wizi wa kura.Kisa ni nini kuwe na siku mbili tofauti ya kupiga kura na makundi tofauti? Kuna ulazima wa kufanya hivyo? Je, walishirikisha? Hata kama tume si huru bado inahitajika kutumia busara!
Zanzibar kuna kura mbili
Kura za viongozi wa Serkali ya mapinduzi
Na kura za Rais Magufuli na wawakilishi
Maalim anazeeka na fujo zake.
Zote hizo zinapigwa kesho na imekuwa hivyo miaka yote, leo ni makundi maalumu... kwa sababu zipi?
Zanzibar kuna kura mbili
Kura za viongozi wa Serkali ya mapinduzi
Na Rais Magufuli pamoja na wawakilishi
Chagua Tundu Lissu kwa Bara, Chagua Maalim Seif kwa Zanzibar
Hivi kuna hasara hapa duniani kuliko wewe.Mzee wako angepiga nyeto tu siku hiyo, haya yote yasingempata.
Ungekuwa na akili ungejua kuandika kiswahili ueleweke.Duuh yani hali ya hewa tu isha vurugika afu ma popoma bado yana zidisha.amnaga watu wenye akili uko serikarini
Tendeni haki tumechoka na mkoloni mweus FREE ZANZIBARHivi na yeye yupo kwenye lile kundi maalum linalopaswa kupiga kura leo?
Mambo ya Zanzibar ni shida. Mwaka huu damu nyingi zaidi inaweza kumwagika kuliko kipindi kile cha Salmin Amour. Kila mtu anapaswa kutimiza wajibu wake.
Ulitaka afanye Nini kwenye kituo Cha kupiga kura huyo poyoyo ili asikamatwe?Soon watakiona cha mtema kuni hao wahuni wa ccm! Mnalazimisha huyo papasi wenu mwinyi asiyependwa, mwaka huu mtajua hamjui wahuni ninyi!