Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Huu ni uwendawazimu uliobarikiwa na kichaa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijafa ICC ipo endelea kuua watu Zanzibar utawaona soonICC Imeshakufa kitambo
Ww fanya fujo uone watakuuwa na hakuna cha Icc wala Asterdam
Anakamatwa kwa sababu gani?Mimi naona kama vile hata polisi wanampasha Maalim,wataacha watu wakapige kura za hasira na huruma.
Ninadhani hatayeye alijuatu kama atakamatwa hivyo kwake nikama kete ya ushindi
Safi... Kupiga kura ni kesho, yeye anaenda leo kama nani?
CCM ni watu wa mambo ya hovyo uonevu unyanyasaji na sasa wanaua watu ZanzibarChadema ni watu wa vurugu na uongo
Aliyeandika tweet ni Zitto lkn, sio Mbowe wala Lissu. 🗑️🗑️Chadema ni watu wa vurugu na uongo
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sanaWangempapasa kidogo akili irudi. Anatafuta attention.
Free seif #ZanzibarlivesMatter
Kwa hiyo upigaji kura wa leo ni kwa mwanaccm tu! Mwinyi leo atapata kura 130℅ za kishindo ila hiyo 30℅ atakatiwa Maalim kama kifuta jasho.
Innalillah wainna ilayhir rajiun.hata wazanzibar wote wapigie kura upinzani bado atatangazwa Mwinyi kashinda
Lengo ni kwamba mgombea wa upinzani ataki muungano ccm awawezi kumpa urais Maalim Seif Zanzibar labda kama angegombea mtu mwingine
Na kama wameamua kukinukisha ndio itakuwa rasmi zanzibar ni mkoa wa Tanganyika kuwanzia uchaguzi huu
Na kama uliona jana wajeshi wanawapa kichapo raia
Ndio rasmi sasa Zanzibar itarudi Tanganyika kinguvu ,, tega sikio
Jomba wewe ni chama gani Sasa, huwezi kusema muachiwe nchi wakati hamna hata address..nyie Ni Nani..cuf, tadea,nccr, chadema,act, nld, demokrasia makini..etc.jitambulishe kwanza..halaf tueleze tukuachie vipi kwa style ipi..Kama unadhani nchi inagawiwa Kama mayai dukaniccm hamtakiwi bara na visiwani tuachieni nchi yetu, nyie wakoloni weusi mnaolazimisha kutawala kwa kutumia majeshi ya ccm.
Kwa nguvu ya jesh