Optimistic_
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,347
- 1,850
[emoji23][emoji23][emoji23]Mpo poah Wakuu!
Kwa ambao hamjaoa nawashauri kamwe msifikiri wala kuthubutu kuoa mwanamke masikini au asiye na Bikra. Utateseka mpaka ukome ubishi.
Mwanamke masikini ambaye Hana Kazi achana naye.
Mwanamke Masikini ambaye kwao ni fukara usioe.
Kama atakuwa na Bikra basi hiyo ndio tiketi yake ya kumuoa.
Lakini Kama Hana vyote achana naye, utakuja kunishukuru Kama wengine waliochukua ushauri wangu.
Kuishi na Mwanamke masikini ni Sawa na kulala kwenye kitanda chenye kunguni.
Wabishi najua hamkosekani.
Wadada masikini na wasio na Bikra mada hii inaweza kuwaumiza lakini mtanisamehe.
Yaani unauliza swali la kitoto kama hilo? Haupo serious!Noma sana but huja ainisha kosa kwao ni nn??
Uzi ni mzuri ila haujakamilika ongezea nyama kidogo
Halafu nakukumbusha tena na tena kwa nia njema
Mapenzi hayana hayo mambo mkuu
Usishangae wewe ukaja kumpenda muuza bar na ukawa kiziwi hata usisikie ushauri wa sisi marafiki zako
Napenzi yana sili sana msipende kuongea mambo kiwepesi wepesi
Mzee unaumia watu wasioe sio?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapa utakula spana mpaka urudi shamba huko Shinyanga ukalime.Ila siyo siri hili jukwaa limeharibiwa sana na teenagers.
Zamani haikuwa hivi.
Tayali ana mke mkuuUzi ni mzuri ila haujakamilika ongezea nyama kidogo
Halafu nakukumbusha tena na tena kwa nia njema
Mapenzi hayana hayo mambo mkuu
Usishangae wewe ukaja kumpenda muuza bar na ukawa kiziwi hata usisikie ushauri wa sisi marafiki zako
Napenzi yana sili sana msipende kuongea mambo kiwepesi wepesi
Wapo, sema wewe ndio hujampata.Jana kuna mdau humu alitwambia wanawake wanaofanya kazi wanagongwa maofsini.
Mwanamke bikra utampata wapi dunia ya sasa?
Wapo, umeshindwa wewe wenzio wanawapata.Alie bikira ulimwengu huu utampataje sasa?
πππMpo poah Wakuu!
Kwa ambao hamjaoa nawashauri kamwe msifikiri wala kuthubutu kuoa mwanamke masikini au asiye na Bikra. Utateseka mpaka ukome ubishi.
Mwanamke masikini ambaye Hana Kazi achana naye.
Mwanamke Masikini ambaye kwao ni fukara usioe.
Kama atakuwa na Bikra basi hiyo ndio tiketi yake ya kumuoa.
Lakini Kama Hana vyote achana naye, utakuja kunishukuru Kama wengine waliochukua ushauri wangu.
Kuishi na Mwanamke masikini ni Sawa na kulala kwenye kitanda chenye kunguni.
Wabishi najua hamkosekani.
Wadada masikini na wasio na Bikra mada hii inaweza kuwaumiza lakini mtanisamehe.