Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Mpo poah Wakuu!

Kwa ambao hamjaoa nawashauri kamwe msifikiri wala kuthubutu kuoa mwanamke masikini au asiye na Bikra. Utateseka mpaka ukome ubishi.

Mwanamke masikini ambaye Hana Kazi achana naye.
Mwanamke Masikini ambaye kwao ni fukara usioe.

Kama atakuwa na Bikra basi hiyo ndio tiketi yake ya kumuoa.
Lakini Kama Hana vyote achana naye, utakuja kunishukuru Kama wengine waliochukua ushauri wangu.

Kuishi na Mwanamke masikini ni Sawa na kulala kwenye kitanda chenye kunguni.

Wabishi najua hamkosekani.

Wadada masikini na wasio na Bikra mada hii inaweza kuwaumiza lakini mtanisamehe.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzi ni mzuri ila haujakamilika ongezea nyama kidogo

Halafu nakukumbusha tena na tena kwa nia njema

Mapenzi hayana hayo mambo mkuu
Usishangae wewe ukaja kumpenda muuza bar na ukawa kiziwi hata usisikie ushauri wa sisi marafiki zako

Napenzi yana sili sana msipende kuongea mambo kiwepesi wepesi
 
Jana kuna mdau humu alitwambia wanawake wanaofanya kazi wanagongwa maofsini.

Mwanamke bikra utampata wapi dunia ya sasa?
 
Uzi ni mzuri ila haujakamilika ongezea nyama kidogo

Halafu nakukumbusha tena na tena kwa nia njema

Mapenzi hayana hayo mambo mkuu
Usishangae wewe ukaja kumpenda muuza bar na ukawa kiziwi hata usisikie ushauri wa sisi marafiki zako

Napenzi yana sili sana msipende kuongea mambo kiwepesi wepesi


Mtazamo huo wanao Loser, watu walioshindwa na maisha.

Mimi siwezi kuoa mwanamke asiye na sifa nisizozitaka.

Hata hivyo nimeshaoa 2013.

Mimi nioe Barmaid, you can't be serious
 
Ila siyo siri hili jukwaa limeharibiwa sana na teenagers.

Zamani haikuwa hivi.
Mzee unaumia watu wasioe sio?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapa utakula spana mpaka urudi shamba huko Shinyanga ukalime.
 
Uzi ni mzuri ila haujakamilika ongezea nyama kidogo

Halafu nakukumbusha tena na tena kwa nia njema

Mapenzi hayana hayo mambo mkuu
Usishangae wewe ukaja kumpenda muuza bar na ukawa kiziwi hata usisikie ushauri wa sisi marafiki zako

Napenzi yana sili sana msipende kuongea mambo kiwepesi wepesi
Tayali ana mke mkuu
 
Mpo poah Wakuu!

Kwa ambao hamjaoa nawashauri kamwe msifikiri wala kuthubutu kuoa mwanamke masikini au asiye na Bikra. Utateseka mpaka ukome ubishi.

Mwanamke masikini ambaye Hana Kazi achana naye.
Mwanamke Masikini ambaye kwao ni fukara usioe.

Kama atakuwa na Bikra basi hiyo ndio tiketi yake ya kumuoa.
Lakini Kama Hana vyote achana naye, utakuja kunishukuru Kama wengine waliochukua ushauri wangu.

Kuishi na Mwanamke masikini ni Sawa na kulala kwenye kitanda chenye kunguni.

Wabishi najua hamkosekani.

Wadada masikini na wasio na Bikra mada hii inaweza kuwaumiza lakini mtanisamehe.
😂😂😂
Kama hana lkn umetoboa weye?
 
Hivi wakubwa unaanzaje kuoa mwanamke ambaye sio bikra ? HOW

Nashindwa kuelewa jamani japo mimi bado sijaoa lakini hii kitu haiwezi happen hata awe na miuno kama feni bovu
 
Back
Top Bottom