Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hivi hapa mjini kuna wanawake wana bikira.

Above 18 years.
 
Naomba nihitimishe harusi na kuvaa shela jeupe ni kwa mwanamke bikra hao wengine wavae kaniki naomba kuwasilisha
 
mmnh unaioverate bikira mkuu,wanazozitoa ni wanaume wenzio,wasingekuwepo watu wangebaki bikira LOL,wacha kutupia lawama wanawake….

sijui hizo percentage umezitoa wapi??mnhhh….

24+ kukutwa na bikira wachache mkuu

sio kweli inadumisha mahusiano,wengi wanachepuka hata baada ya kuoana mabikira
Usitafutee sehemu ya kujificha.... Kuolewa bila bikra ni rahana ambayo hatujui namna inavyotutafunaa
 
Bikra nyingi zina usumbufu sana. Nashauri kuzisahau tu maana siku hizi hakuna kabisa.

Hata ardhi bikra ziliisha watu wanaparamia mwezini huko [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wasio nazo wamekujaa[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom