Kama hii wanapita afu zingine tena za kipuuz wanachangia itakua imewagusa tu[emoji23][emoji23][emoji23] Wengi wanapuuza tu wakikuta mijadala kama hii wanapita kimya kimya hawataki kukereka au pengine wanaona hakuna umuhimu wowote kuargue na mtu mzima alochagua msimamo wake binafsi ikiwa wao hauwaathiri na hujawahi kuwaathiri kwasababu kila siku mitaani wanaolewa kwani bikra wale?
Mi nimeamua tu kuchangamsha kijiwe. Tusiwe na upande mmoja wa fikra kama samaki.
Hiyo ndo rahaa lakini Vipi kama yeye mvivu na hataki hayo mambo??? Kuoa sio shida piaa.. shida kumpataa...Niliwahi pata demu mkali Sana bikra lakini cha kushangaza akawa anataka kunipaa 0714 ili mradi bikra yake ibakii...Hakuna raha kama kumkuta demu bikra afu namfundisha mapenzi Mimi
Wote tunapenda hivyo mkuuuNi kweli ni ngumu,lakin hakuna mwanaume asiyetamani bikra
Kuna mitandao kuna mashoga afu uniambie asijuie kibamia kweli?, zaidi ni yy tu aamue kiukweli sio bikira ndo inaamuaKuoa mwanamke Bikra sio Kigezo kuwa Hautagongewaaa...!! Yanii tabu ipo pale palee
Kwa kukubali huu ukweli Mkuu umetisha,Wote tunapenda hivyo mkuuu
Ofcoz maana Kama ashawahi pita jamaa na akampa show kalii kukuzidi atarudi tu kwa mwana siku mojaa wakumbushiee...! Ilaa kama unampa show best hawezi rudi kulee kwa zamaniKwa kukubali huu ukweli Mkuu umetisha,
Salute
Unaweza pata demu hana bikra zote na mvivu pia bila kusahau anatoa ndogo pia,hapo vipiHiyo ndo rahaa lakini Vipi kama yeye mvivu na hataki hayo mambo??? Kuoa sio shida piaa.. shida kumpataa...Niliwahi pata demu mkali Sana bikra lakini cha kushangaza akawa anataka kunipaa 0714 ili mradi bikra yake ibakii...
Mkuu kuna ndoa nyingi tu ambazo zimetulia na hawakuoa mabikira na kunafuraha za ajabuBikira ina umuhimu wake...kwanza inakupa confidence.!!inakupa kujiamini...kuwa wew ndo wa kwanza...!!huna presha na mpuuzi aitwaye X
ila ukichukua nungaembe unaishi kwa presha...hujiamini....!!maana kama sio bikira lazma utagongewa tu..!!
Najua waliotolewa bikira na hawana ndoa itawauma...ila ndo ukweli
Hao waliopo kwenye ndoa ndo mashahidi.....si mke c mume...!!wanaishi kwa majuto
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huyo mpaka anatoa ndogo aisee lazima atakuwa fundi...Ila Kama ya mbele ipoo lazima atakuwa gogoo tuUnaweza pata demu hana bikra zote na mvivu pia bila kusahau anatoa ndogo pia,hapo vipi
Uzur mwanamke bikra ukimpa show za kawaida tu anakuona we Mkali kinomaOfcoz maana Kama ashawahi pita jamaa na akampa show kalii kukuzidi atarudi tu kwa mwana siku mojaa wakumbushiee...! Ilaa kama unampa show best hawezi rudi kulee kwa zamani
Kusema hapa hatuzungumzii tochi maanake yake ni hujaelewa kuwa tochi ni lugha ya pichaMkuu hivi unadhani sijaelewa ulichosema, ndio maana nikakujibu kwa muktadha wa msemo wako
Hata huyo uliyemkuta sio bikra alifundishwa...SASA UTASHINDWAJE KUMFUNDISHA BIKRA WAKO KUKUPA SHOW ZA KIBABE...?Bikra kuoa ni matesoo maana hata show zenyewe hajuii zinaenda vipi na wewe ukute ushazoea Show za mauno ya ukweli na Kukunjanaa hasaa... Aisee utaishi kuchepukaa tuu na hapo ndo litakuwa tatzo maana na mkeo nae ataazna kuonja nje kulipa kisasi... Sioni maana ya kuoa mwanamke ambae kitandani hakupi show nzuri ambayo inakuridhishaaa... Ndo maana kuna wadada ushawahi sex nao yani hukutamani hata kurudiana nae maana uvivu na kujidai hapendi show kalii... Mdada mwenye show mbovu hata kuachana nae sijiulizi na siumiii kabisaa...tena ukute show mbovu na anapenda helaaaa..
Yaah na hasa ukikuta husband anatoa show yenye uhakikaa...Na mademu wengu huchukia waliowatoaa bikraa...!Mkuu kuna ndoa nyingi tu ambazo zimetulia na hawakuoa mabikira na kunafuraha za ajabu
Are you still have it?Ngoja tuzitunze
Sasa mzee ushazoea wanaotoa show za kibabe kuaza kufundishana na MTU mwenywe ukute hafundishikii oohooHata huyo uliyemkuta sio bikra alifundishwa...SASA UTASHINDWAJE KUMFUNDISHA BIKRA WAKO KUKUPA SHOW ZA KIBABE...?
Blaza ukiona mwanaume poVu linamtoka ujue hajawapata kuoa bikra... Kwahiyo karoho kanamuuma anajifariji... Na mwanamke akiwa anabisha vile vile aliyemtungua bikra sio ndio aliyemuoa...Hakuna raha kama kumkuta demu bikra afu namfundisha mapenzi Mimi
Weee alokwambia Hana wa kukucompare nae nanii??? Labda kama haangalii porn na Hana marafiki wa kumspoil... Aalafu Kibamia hakifichichiii mkuu kisaa umeoa bikra eti ndo mkeo hawezi juaa kidude ni kidogo.. no wayUzur mwanamke bikra ukimpa show za kawaida tu anakuona we Mkali kinoma
Na hana ule msamiat Wa kibamia kwa kifupi hana Wa kuku compare
Maskini umejibu kinyonge kweliutake bikra wakati huo na wewe bikra au umechakachuliwa tayari.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi sina hasira ila najaribu tu kuuchanganua ukweli, kama alivyochanganua mtoa mada na watu wakadhani anatukana.. Binadam ni kiumbe mwenye utashi ndio maana kapewa mamlaka ya kumiliki dunia.. utakua unadanganya kama hutoona kama kufanya uzinzi ni ubaya..
Na pia hapa hoja ndizo zinazobishana kama utaona hoja zangu zinaingia in ur personal life nakuhakikishia halikuw lengo langu[emoji23] [emoji23] [emoji23]