Mkuu kwa umri wako ushawahi kutana na wasichana wangapi above 20 wenye Bikra zaoo tuanziee hapoo!! Maana naona mnaongea hadithi tu hapaa
Katika maelezo yako nimegundua vitu vi2.. either watu wako wa karibu huw wanakudominate sana or umejibu kukwepa mtego wa swali langu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila watever it is nimependa maelezo yako [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Saiv huo umri unaosema umri Wa kuolewa bibi zetu kuna bikraBongo yako sio empyt ila mmepishana mitazamo ndio maana hamuelewani.
Anajaribu kusema sisi tunaishi kwenye wakati ambao katika umri wa 20-30 bado msichana anapambana kusoma, kupata kazi, kuwekeza awe independent ndio aanze kuwaza kuanzisha familia katika msingi wakuolewa. Je msichana huyu katika umri wa 20-30 hana hisia za kufanya mapenzi? Atafanya na nani ikiwa hajaolewa? Je tumlazimishe kuolewa ndio afanye kama hataki je? So obvious atapoteza bikra yake ikiwa bado hajaolewa ktk process ya kawaida ya maisha, sijajustify chochote naeleza tu reality. Hii inatofautiana na zamani ambako ambapo bibi zetu na mama zetu waliolewa wakiwa na umri wa 13-17, 18, 19. Katika umri huo ingekuwa ajabu kukuta mwanamke huyo aliyeolewa sio bikra.
Kwa maana nyingine kusema mbona zamani bikra zilikuwepo kibao sio sahihi kwasababu hata umri wakuoa na kuolewa ulikuwa tofauti na sasa.
Me above 20 sijawahii mkuu...! Below labda wawili hiviii.... sasa huyo mwingne why ulimuachaa!?? ungeilaa usepe[emoji16][emoji16]Kwa kweli nimekutana na wawili ila mmoja ndiye niliyembikiri na ndiye mke wangu. Wakwanza aliponiambia yeye ni bikra sikuamini. Tulipanga siku ya kukwichi kwishi. Sikuamini ilikuwa ni bikra kweli. Nilimuacha na kumuambia tutafanya siku ingine kumbe sikumpenda na nilijua ni tamaa zangu
Daaah kweli kabisa aisee, jamaa amevumbua macho ya wengi waume kwa wake,Hata sisi tuliooa wasio na bikra japo tuna mafanikio lakini si chochote
Wangapi wanatoka nje baada ya kukuta bikra v/s wasiokuta bikraKama hiyo bikira muhimu sana mbona mkishaipata humo kwenye ndoa na bado unaenda kutafuta hao wasiokuwa na bikira uliwaacha huko mwanzo?
ndio hivyo so mtu usione hiyo bikra ndio kila kitu unaweza kumpata mwenye nayo na akashindwa kuitumia labda umkute ni mtu mwenye kujiongeza hata kama mshambaUfundii sasaa...!
Saiv huo umri unaosema umri Wa kuolewa bibi zetu kuna bikra
Kwa nini mbio[emoji126][emoji126]hapa si pakukaa inabidi upite kwa spidi ya 4G+
Mkuu yani ukimchunga kwa Vipigo na mkufungia nakwambia Ataliwaa tuuu... Kuna manzi alikuwa anambania mwana kinyamaa Ila manzi Ana shape hiloo msambwanda huoo... sasa mzee wake siku hiyo alimpiga kisaa alivaa sketi inambana yani alimpigaa hasaa... Hicho ndo kikawa chanzo yule manzi kubikiriwaa."mlee mtoto katika njia ipasayo nae hata iacha hata akiwa mzee " ki2 kibaya anachoweza kufanya mzazi ni kujisahau kwamba anahusika kwa asilimia kubwa kutengeneza tabia ya mtoto
inawezekana kuwa hajaoa bikra lakini kashawahi kudinya huyo bikra na akamwona kwamba hafai.. utunukiwe bikra kwenye ndoa wewe ni nani hasaaa??? labda na wewe uwe bikra ndio maana unauhitaji na bikra mwenzakoooKAKA UMEGUSA PENYEWE... HATA WANAUME WANAOZIPONDA BIKRA... NI KWAMBA WALIOWAOA SI BIKRA... SO HAJUI KAMA ANARUDIGI KWA JAMAA ALIYEMBIKIRIA WIFE WAKO KUPASHA KIPORO AU LA...
Kumbe ulisema afu huna uhakika mumySiwezi toa takwimu kwasababu mimi si mwanaume kusema nimewahi kutembea na watoto wa 13-19 nikute ni bikra au sio bikra.
Ngoja nijibu kwa hisia zitakuwepo nyingi ila uwingi huo hauwezi kuzidi kipindi kile cha bibi zetu katika umri huo.
Nirudishe swali kwako, we unaonaje?
Wanawake wasio na bikra na walioolewa bila bikra inawakera hii. Wanakuona mtoa mada kama ana akili za kipumbavu eti.[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukweli ni kwamba
Bikra ina heshima hata Mungu aliithamini akamtunza yesu
Mwanamke bikra huwa hajui habari ya vibamia
Mwanamke asiye bikra hachelewi kukulinganisha na watangulizi wako
Mwanamke bikra ni ishara kuwa alijitunza sana na wengi huwa na heshima sana Fanya tafiti unayepinga hili .
Wengi walioolewa pasipo bikra ndio wanaoongoza kwa kumshambulia mtoa mada
Ivi nyie wanawake huwa hamjiulizi kwa nini mwanaume tunaongoza kwa kuulizia hizo bikra zenu ..
Eti unauliza kama mwanaume ana bikra wapi uliona mwanaume ana hymen
Poleni sana ndo maisha Dada zangu
Mkuu nimewa-term kama wajinga kutokana na sababu kuwa; hivi kuna vitu viwili kimoja kipya cha pili ni kichakavu uanadhani mwenyea akili atachagua kipi na mjinga atachagua kipi.
Kumbe unakiri bikra ni tunu na haipatikani kirahisi,sasa wewe na wenzako mnazunguka nin?inawezekana kuwa hajaoa bikra lakini kashawahi kudinya huyo bikra na akamwona kwamba hafai.. utunukiwe bikra kwenye ndoa wewe ni nani hasaaa??? labda na wewe uwe bikra ndio maana unauhitaji na bikra mwenzakooo
Unajidanganya bwanaa weweee, kupata bikra sio kwamba umemalizaaa muumbe mwenyewe.Wangapi wanatoka nje baada ya kukuta bikra v/s wasiokuta bikra
Twende ki percentage?maana ki number hautakua fair