Kutafuta taste ni tabia za mwanamke malaya, Mimi ninasema jambo nililolifanyia utafiti, wewe unaongea kujifariji humu.
Mwanamke huyu huyu!
Naelewa ninachokizungumza. Mwanamke malaya ndio hawajulikani kutokana na tabia zao za kihuni, mara leo alale na mzee, kesho na Kijana, kesho kutwa na mbwa, kesho kutwa na chokoraa. Lakini mke mwema mwenye bikra yupo sytematic
Alikuea mbali, nimekula kabla ya ndoa.
Nimemuoa, kugegedwa sijui lakini nimeshaeleza 10% ndio huwa sio waaminifu
Ila hawa makurumbembe 90% ni malaya. Shuhudia mitazamo yao humu
Then men should be coerced into marrying the women they deflowered and never leave them, don't you think?Ndio hivyo, bikra matter's
Hizo judgements hazina maana. Muhimu watu waache umalaya
Tunaipotezaje?Bikra ni muhimu
Swala la ubikira kwa mwanamke ni suala ambalo haliwezi kuwa na jibu kamili.Umeshasema zamani so na sasa 21 century, na umalaya hautaisha kwa vile hupendi utadumu tu, maana umalaya ni swala binafsi Kama familia yako haifanyi inatosha kabisa
Hata elimu zenu hazijawasaidia hata kung'amua mambo haya kwa kina, mmesoma kukariri, mwanamke kutoka nje ya mahusiano either ya uchumba au ndoa hio ni tabia yake ambayo ina mizizi pengine katika ukoo au kifamilia, hivyo ni lazima kuvunja hio curse, kuna mambo mengi kiroho hua yanafanyika watu hamjui ila sababu mpo mpo tu kama mizigo mnakaririshwa na wataalam wa mahusiano mnaona kua ni sawa tu mnaona kama procedure fulani ya maisha mnawaza tu hapa hapa hamfikirii beyond
wewe mwanamke umekojolewa na wanaume zaidi ya 20, hio ina mana una maroho ya kifamilia zaidi ya 20 unatakiwa ku deal nayo, humo kwenye maroho kuna wazinzi, malaya, gold diggers, unaolewa yale maroho unaenda nayo kwa mumeo, mumeo anayachukua maroho hayo, hivyo ngoma droo, na kama hana kinga yoyote kiroho na yeye anakua malaya, wewe naye unakua malaya, mnadhani mtaishi muda mrefu?
Na unajuaje kuwe wewe hapo ulipoweka ni sahihi kuliko sehemu nyingine? Na uovu kwanza ni socially constructed, wewe waweza jiona uko sahihi kwa mtizamo wako lakini ukiwa na watu wengine wakakuona hauko sahihi so it's a matter of pure opinions
Kumbe unajifurahisha nikajua uko serious.Hapo kotekote tu ni sawa kulingana na ninavotaka kuamua
umechemsha babuuJamani nasikitika kwa mada iliyotolewa niliona niipotezee lakini nimeona kwa kuwa linagusa jambo la kheri jambo la ndoa basi kwa umri wangu huu sasa hivi si vizuri kupita kimyakimya ilhali kuna watu wanaojiandaa kufunga ndoa na Kuna watu ambao wamo ndani ya ndoa. Neno lenyewe nalotaka kusema ni hili; ili ndoa iwe imara yaani ikae katika sehemu yake basi jambo kuu ni moja tu naomba nirudie jambo kuu ni moja tu. Kila mmoja asimamie kwenye mipaka yake basi. Mwanaume asimame kwenye mipaka yake(ampende mke,amuheshimu mke ambembeleze mke na ashiriki tendo la ndoa na mkewe) na mwanamke asimame kwenye mipaka yake (amtii mumewe,amjari mumewe na ashiriki tendo la ndoa na mumewe). Kila mmoja akisimama kwenye mipaka yake hiyo ndoa hata shetani ataiogopa. Hayo mambo sijui ya bikra na nini hayana mchango kwenye maisha ya ndoa ila tu kidogo kwenye kuonesha heshima ya mji anaotoka binti. Naishia hapa.
MAGUFULI4LIFE.
Iwe kubwa au ndogo.K ni K
Ulipoongelea swala la vizazi nimeguswa sana.Nashukuru sana kwa kudhihirisha mindset ya wasio na bikra. Wanaume mmeona wenyewe. Hivi ndivyo wanawake wasi na bikra kwa 90% hufikiri. Ogopa mwanamke malaya ndani ya ndoa. Mwanamke malaya matumizi yake ni kumla na kumpa pesa ya huduma. Lakini sio ndoa na akuzalie watoto. Lazima akuharibie kizazi
Naam. Nimeitikia huu wito adhim.Jurjani [emoji3059][emoji854][emoji5]
Kuna mwanaume anategemea kumuita mke mwanamke kama huyu na kuanzisha naye familia🙂🙂🙂 anakwambia kaz ya k ni kutumika kwa sana!!! Watoto wana nini ya kujifunza kwa mama kama huyu sasa???🤔🤔Mbona hata wewe unajifariji ndugu kazi ya k nikutumika kwa Sana hzo bikra mbwembwe tu, mwanangu mwenyewe kuliko asi enjoy life eti anamtunzia wa kumuoa too me ni madness, I believe peoples beauty in their heart na sio hyo bikra
Kuwa mkweli bibie una mtoto ? Hata mwanamke awe malaya vipi au mwanaume awe malaya vipi, hapendi mwanawe achezewe. Usicheze na nasaba bibie.Mbona hata wewe unajifariji ndugu kazi ya k nikutumika kwa Sana hzo bikra mbwembwe tu, mwanangu mwenyewe kuliko asi enjoy life eti anamtunzia wa kumuoa too me ni madness, I believe peoples beauty in their heart na sio hyo bikra
Huyu atakuwa hana mtoto, kama anae basi atakuwa anafurahisha genge.Kuna mwanaume anategemea kumuita mke mwanamke kama huyu na kuanzisha naye familia🙂🙂🙂 anakwambia kaz ya k ni kutumika kwa sana!!! Watoto wana nini ya kujifunza kwa mama kama huyu sasa???🤔🤔