Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Kutafuta taste ni tabia za mwanamke malaya, Mimi ninasema jambo nililolifanyia utafiti, wewe unaongea kujifariji humu.

Mmmh hapana nakupinga ww ndio umeoa bikra kujifariji.unamda gani kwenye ndoa yako? Kama ni miwili au mmoja basi iyo ni mihemuko au nguvu za soda.tena usikute umepata wa iraq mmmh [emoji847],apo anakuchekea ukunyuma kawapanga alfu na kukupa visifa vya uongo [emoji1787][emoji1787] eeh Mungu wng.nacheka ila simazuri hayo [emoji23][emoji23][emoji23] wanawake huwajui ww.Shaur lako [emoji112][emoji112]
 
Mwanamke huyu huyu!

Naelewa ninachokizungumza. Mwanamke malaya ndio hawajulikani kutokana na tabia zao za kihuni, mara leo alale na mzee, kesho na Kijana, kesho kutwa na mbwa, kesho kutwa na chokoraa. Lakini mke mwema mwenye bikra yupo sytematic

Nna swali: No bikra=Malaya au mi ndo sijaelewa mkuu?
 
Alikuea mbali, nimekula kabla ya ndoa.

Nimemuoa, kugegedwa sijui lakini nimeshaeleza 10% ndio huwa sio waaminifu

Ila hawa makurumbembe 90% ni malaya. Shuhudia mitazamo yao humu

Mmmh! Tatizo hili.Unahisi ni wako peke yko.Nakupa mienzi mitatu tu.Utarudi apa ukilalama
 
Umeshasema zamani so na sasa 21 century, na umalaya hautaisha kwa vile hupendi utadumu tu, maana umalaya ni swala binafsi Kama familia yako haifanyi inatosha kabisa
Swala la ubikira kwa mwanamke ni suala ambalo haliwezi kuwa na jibu kamili.
Nakubaliana na mtoa mada kwenye eneo moja, mara nyingi kama msichana ameolewa akiwa na zaidi ya miaka 20 na alikua anaishi mazingira ya kawaida ambayo yangemuwezesha kufanya zinaa na hakufanya, uwezekano wa kua mke bora ni mkubwa sana, sababu kubwa hapa sio bikra pekee ni tabia njema alizo nazo. Ni vigumu sana huyu kutoka nje ya ndoa yake.

Wapo wasichana wengine wenye sifa za kuwa mke bora lakini hawana bikra, kwa sababu ilitolewa kipindi akiwa mdogo 14-18 na wengine wala walikua hawajui kama wanakitu kinaitwa bikra, na wazazi hawakuongea nae lolote kuhusiana na mwili wake,na wengi wao huwa wanafanya mapenzi hiyohiyo mara moja na harudii tena.

La msingi unapooa au kuolewa tazama zaidi tabia ndio kigezo cha kuishi maisha ya upendo na kuwa na familia njema, ukimpata mwenye bikra na tabia njema huyu ni bora zaidi.
 
Hata elimu zenu hazijawasaidia hata kung'amua mambo haya kwa kina, mmesoma kukariri, mwanamke kutoka nje ya mahusiano either ya uchumba au ndoa hio ni tabia yake ambayo ina mizizi pengine katika ukoo au kifamilia, hivyo ni lazima kuvunja hio curse, kuna mambo mengi kiroho hua yanafanyika watu hamjui ila sababu mpo mpo tu kama mizigo mnakaririshwa na wataalam wa mahusiano mnaona kua ni sawa tu mnaona kama procedure fulani ya maisha mnawaza tu hapa hapa hamfikirii beyond

wewe mwanamke umekojolewa na wanaume zaidi ya 20, hio ina mana una maroho ya kifamilia zaidi ya 20 unatakiwa ku deal nayo, humo kwenye maroho kuna wazinzi, malaya, gold diggers, unaolewa yale maroho unaenda nayo kwa mumeo, mumeo anayachukua maroho hayo, hivyo ngoma droo, na kama hana kinga yoyote kiroho na yeye anakua malaya, wewe naye unakua malaya, mnadhani mtaishi muda mrefu?

Haya maroho na wanaume wanayapataga au ni wanawake tu?
 
Jamani nasikitika kwa mada iliyotolewa niliona niipotezee lakini nimeona kwa kuwa linagusa jambo la kheri jambo la ndoa basi kwa umri wangu huu sasa hivi si vizuri kupita kimyakimya ilhali kuna watu wanaojiandaa kufunga ndoa na Kuna watu ambao wamo ndani ya ndoa. Neno lenyewe nalotaka kusema ni hili; ili ndoa iwe imara yaani ikae katika sehemu yake basi jambo kuu ni moja tu naomba nirudie jambo kuu ni moja tu. Kila mmoja asimamie kwenye mipaka yake basi. Mwanaume asimame kwenye mipaka yake(ampende mke,amuheshimu mke ambembeleze mke na ashiriki tendo la ndoa na mkewe) na mwanamke asimame kwenye mipaka yake (amtii mumewe,amjari mumewe na ashiriki tendo la ndoa na mumewe). Kila mmoja akisimama kwenye mipaka yake hiyo ndoa hata shetani ataiogopa. Hayo mambo sijui ya bikra na nini hayana mchango kwenye maisha ya ndoa ila tu kidogo kwenye kuonesha heshima ya mji anaotoka binti. Naishia hapa.





MAGUFULI4LIFE.
 
Na unajuaje kuwe wewe hapo ulipoweka ni sahihi kuliko sehemu nyingine? Na uovu kwanza ni socially constructed, wewe waweza jiona uko sahihi kwa mtizamo wako lakini ukiwa na watu wengine wakakuona hauko sahihi so it's a matter of pure opinions

Ninejua sababu nimeyaepuka madhara.
Mfano Wizi ni "Social Constructed" au ? Wizi ni mbaya au mzuri ?
 
U
Jamani nasikitika kwa mada iliyotolewa niliona niipotezee lakini nimeona kwa kuwa linagusa jambo la kheri jambo la ndoa basi kwa umri wangu huu sasa hivi si vizuri kupita kimyakimya ilhali kuna watu wanaojiandaa kufunga ndoa na Kuna watu ambao wamo ndani ya ndoa. Neno lenyewe nalotaka kusema ni hili; ili ndoa iwe imara yaani ikae katika sehemu yake basi jambo kuu ni moja tu naomba nirudie jambo kuu ni moja tu. Kila mmoja asimamie kwenye mipaka yake basi. Mwanaume asimame kwenye mipaka yake(ampende mke,amuheshimu mke ambembeleze mke na ashiriki tendo la ndoa na mkewe) na mwanamke asimame kwenye mipaka yake (amtii mumewe,amjari mumewe na ashiriki tendo la ndoa na mumewe). Kila mmoja akisimama kwenye mipaka yake hiyo ndoa hata shetani ataiogopa. Hayo mambo sijui ya bikra na nini hayana mchango kwenye maisha ya ndoa ila tu kidogo kwenye kuonesha heshima ya mji anaotoka binti. Naishia hapa.





MAGUFULI4LIFE.
umechemsha babuu
 
UKWELI NI HUU..



Mleta mada yupo sahihi kabsa japo lugha aliyoitumia sio lugha ya nzuri...



Bikra ina nafasi yake kubwa ktk ndoa...kuna faida nyingi na hasara kidogo kumuoa mwanamke bikra (kigori).



Kwa Imani ya dini yetu ya kiislamu Mwenyezi Mungu ametuahidi wanawake bikra (mahurul lain) kwa wale watakao fudhu ktk hukumu yake...why bikra? apo ndo utajua thamani ya bikra.



Lakini katka Imani yetu pia Mwenyez Mungu ametuambia....muumini atamuoa muumini mwenzake,mzinifu atamuoa mzinifu mwenzake,na mshirikina atamuoa mshirikina mwenzake....but apo Kwenye muumini aja taja bikra wala asiekuwa bikra,kuna hekima kubwa sana apo...



Mwenyezi Mungu alijua haya yote yatatokea ndomana ktk makemeo yake amesema....."wala tusiikaribie zinaa" yaani kuikaribia but leo hii wengi tunaipupia....na chanzo cha yote hayo ni wanawake hii inareflect tangu kule bustanini Hawa alivyoshawishiwa na nyoka kulila lile tunda nae akamshawishi adamu kulila ndo mambo yalipoanza kuharibika...

Leo shaytani anamshawishi mwanamke ili atushawishi sisi wanaume kufanya nao zinaa....na hii inajidhirisha pale wanawake wanapotembea uchi mabarabarani.

Nirudi kwa mleta mada,naomba ujue ktu mbali na bikra....mke mwema anatoka kwa Mwenyezi Mungu si kwa nguvu zako usijidanganye ata siku moja....

Mwanamke anaweza akawa amepoteza bikra kwa sababu nyingi Sana...mfano
1. Ujinga
2. Kufata tu mkumbo
3. Kubakwa
4.Mila
5. Mazingira yanayomzunguka ikiwemo familia.

Hii kwa wale waliopoteza bikra,na wale walio oa wanawake wasio bikra naomba msivunjishwe moyo na maneno ya mleta mada...huu ni mtazamo wake tu wala sio maandko ndo yamesema..

So msikate tamaa Kwenye rehma za Mwenyezi Mungu kwani ukikata tamaa uko ni kujidhurumu mwenyewe...ndo maana Mungu akatuekea mlango wa toba tutubu ata mara sabini na hakuna kosa lisilo tubika...tubu as much as u can na ubadilike pepo la umalaya likutoke.

Mtume wetu muhammad aliowake zaidi ya wanne lakini Kati ya hao bikra ni mmoja na Kati ya hao mke ambae alikuwa anatamkwa kinywani mwake ni huyo mke wake wa kwanza ambae alikuwa sio bikra na alikuwa amezidiwa miaka mingi na uyo mkewe...

Ndomana ktk dini ya kiislamu imeruhusu uke wenza kuepusha fikra kama hizi...Mimi binafsi nitaoa wake wanne panapo majaaliwa mmoja singo maza,bikra,asie bikra na mwengine atakae nivutia as long as awe muumini na afate swaga zangu...

Namalizia kwa kusema....DUNIA NI STAREHE NA STAREHE BORA NI KUMPATA MKE MWEMA....AWE BIKRA AU SIO BIKRA HUU WEMA UKIWEPO BASI YATOSHA.
 
Nashukuru sana kwa kudhihirisha mindset ya wasio na bikra. Wanaume mmeona wenyewe. Hivi ndivyo wanawake wasi na bikra kwa 90% hufikiri. Ogopa mwanamke malaya ndani ya ndoa. Mwanamke malaya matumizi yake ni kumla na kumpa pesa ya huduma. Lakini sio ndoa na akuzalie watoto. Lazima akuharibie kizazi
Ulipoongelea swala la vizazi nimeguswa sana.
 
Jurjani [emoji3059][emoji854][emoji5]
Naam. Nimeitikia huu wito adhim.

Ukweli wa mambo ni kuwa ni kosa kumuita mwanamke ambaye hana bikra kuwa ni "Malaya" au aliyeolewa bila bikra ni malaya. Sababu Bikra huondolewa kwa sababu kadha wa kadha. Malaya atabaki kuwa malaya na mfabo wake.

Pili, ni kosa kadhalika kwa mwanamke ambaye hana bikra na akaiona bikra ni kitu kidogo kisicho na maana yoyote na asiye jutia kumpa mumewe zawadi hiyo (Hapa walio wengi huwa wanatamani sana laiti hiyo bikra wangewazawadia waume zao).

Tatu, hakuna mtu anaependa kitu kilicho tumika, ndiyo maana mwanamke mwenye bikra atabaki kuwa wa thamani kwa muda wote. Nani asiye penda kufungua njia ? Hata wanawake nao hupenda vipya.

Nne, bikra huongeza mapenzi asikwambie mtu na uaminifu, kwa yule aliyeolewa akiwa nayo.

Tano, sote tunatakiwa tujue ya kuwa kuna maisha baada ya bikra na kutokuwa na bikra, wote wanaweza kuwa waovu sababu sisi wanadamu tumeumbwa na tamaa na moyo wa kubadilika badilika, leo naweza kulala nikiwa mwema kisha nikaamka nikiwa muovu.

Sita, omba upate mwanamke mwenye tabia njema, ila akiwa na bikra huwa bora zaidi, kisha akawa mzuri (Vijana wanasema pisi kali) , mwenye kuheshimika.

Bora ya maneno ni maneno machache yenye faida.

Ahsante sana Rowin kwa wito huu adhim.
 
Mbona hata wewe unajifariji ndugu kazi ya k nikutumika kwa Sana hzo bikra mbwembwe tu, mwanangu mwenyewe kuliko asi enjoy life eti anamtunzia wa kumuoa too me ni madness, I believe peoples beauty in their heart na sio hyo bikra
Kuna mwanaume anategemea kumuita mke mwanamke kama huyu na kuanzisha naye familia🙂🙂🙂 anakwambia kaz ya k ni kutumika kwa sana!!! Watoto wana nini ya kujifunza kwa mama kama huyu sasa???🤔🤔
 
Mbona hata wewe unajifariji ndugu kazi ya k nikutumika kwa Sana hzo bikra mbwembwe tu, mwanangu mwenyewe kuliko asi enjoy life eti anamtunzia wa kumuoa too me ni madness, I believe peoples beauty in their heart na sio hyo bikra
Kuwa mkweli bibie una mtoto ? Hata mwanamke awe malaya vipi au mwanaume awe malaya vipi, hapendi mwanawe achezewe. Usicheze na nasaba bibie.
 
Kuna mwanaume anategemea kumuita mke mwanamke kama huyu na kuanzisha naye familia🙂🙂🙂 anakwambia kaz ya k ni kutumika kwa sana!!! Watoto wana nini ya kujifunza kwa mama kama huyu sasa???🤔🤔
Huyu atakuwa hana mtoto, kama anae basi atakuwa anafurahisha genge.

Mzee hapa natafuta leseni ya kumiliki "Gurunedi" kwa ajili ya mabinti zangu.
 
Back
Top Bottom