Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hilo ndio kosa lenu, kwani kwa uwelewa wako BIKRA NI NINI?? tuanzie hapo kwanza.

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.

Bila shaka umefika chuo Mkuu.
Mimi nimetumia reference ya Biblia na Hata Quran kwa kutambua bikra kwa wanawake. Naomba unipe Reference inayothibitisha kuwa wanaume nao wana bikra.
 
Bila shaka umefika chuo Mkuu.
Mimi nimetumia reference ya Biblia na Hata Quran kwa kutambua bikra kwa wanawake. Naomba unipe Reference inayothibitisha kuwa wanaume nao wana bikra.
Nimekuuliza BIKRA ni nini?? ili tuanzie hapo na sio maelezo mareeeefu.

Vitabu vya dini vimesema mwanaume azini lakini mwanamke asizini???

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Mwanamke bikra akikojoa chini anachimba au kasi ya mkoja utaisikia tu inavyoita ila ambaye siyo bikra... Ngoja niishie hapa.
Bro, uke una tundu mbili, ya mkojo na uzazi havina uhusiano kabisa, story za vijiweni sijui kuchimba sijui kufukia.... lol

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Nimekuuliza BIKRA ni nini?? ili tuanzie hapo na sio maelezo mareeeefu.

Vitabu vya dini vimesema mwanaume azini lakini mwanamke asizini???

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.


Wapi nimesema kuwa mwanaume azini Mkuu? Soma vizuri mada.
 
Nimekuuliza BIKRA ni nini?? ili tuanzie hapo na sio maelezo mareeeefu.

Vitabu vya dini vimesema mwanaume azini lakini mwanamke asizini???

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.


Tukija kwenye swali lako, Bikra ni alama aliyopewa mwanamke kuonyesha kuwa hajawahi kujamiana na mwanaume.

Kumbukumbu la torati 22
13 Mtu akitwaa mke, akamwingilia na kumchukia,

14 kisha akamshitaki mambo ya aibu kumzushia jina baya, akasema, Nimemtwaa mwanamke huyu, nami nilipomkaribia sikuona kwake alama za ubikira;

15 ndipo babaye yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni;

16 na baba yake yule kijana awaambie wazee, Mwanamume huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye amchukia;

17 angalieni, amemwekea mambo ya aibu, asema, Sikuona kwa binti yako alama za ubikira, nazo hizi ndizo alama za binti yangu za ubikira. Na wayakunjue yale mavazi mbele ya wazee wa mji.

Hayo maneno niliyo ya bold umeyaona. Mwanaume hana hizo alama
 
Tukija kwenye swali lako, Bikra ni alama aliyopewa mwanamke kuonyesha kuwa hajawahi kujamiana na mwanaume.
Kumbukumbu la torati 22
13 Mtu akitwaa mke, akamwingilia na kumchukia,
14 kisha akamshitaki mambo ya aibu kumzushia jina baya, akasema, Nimemtwaa mwanamke huyu, nami nilipomkaribia sikuona kwake alama za ubikira;
15 ndipo babaye yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni;
16 na baba yake yule kijana awaambie wazee, Mwanamume huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye amchukia;
17 angalieni, amemwekea mambo ya aibu, asema, Sikuona kwa binti yako alama za ubikira, nazo hizi ndizo alama za binti yangu za ubikira. Na wayakunjue yale mavazi mbele ya wazee wa mji.

Hayo maneno niliyo ya bold umeyaona. Mwanaume hana hizo alama
Sawa vifungu vya biblia vimeonesha alama za mwanamke lakini tukija kwenye neno lenyewe ni kua BIKRA ni Me/Ke ambae hajawahi kujamiiana,

Tukirudi kwenye mada yako ni kua umewashambulia wanawake wasiokua na bikra badala ya kuongelea pande zote mbili, sababu mwanaume kama kashiriki tendo na yeye ni used a.k.a srepa (lol[emoji1])
alipaswa afunge zipu mpaka pale atakapo mpata bikra mwenzie waoane.

Au unasemaje hapo braza kaka.

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Sawa vifungu vya biblia vimeonesha alama za mwanamke lakini tukija kwenye neno lenyewe ni kua BIKRA ni Me/Ke ambae hajawahi kujamiiana,

Tukirudi kwenye mada yako ni kua umewashambulia wanawake wasiokua na bikra badala ya kuongelea pande zote mbili, sababu mwanaume kama kashiriki tendo na yeye ni used a.k.a srepa (lol[emoji1])
alipaswa afunge zipu mpaka pale atakapo mpata bikra mwenzie waoane.

Au unasemaje hapo braza kaka.

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.


Mkuu nimekuambia weka reference ya hujaweka. Chuoni hujafundishwa kuweka reference
 
Sawa vifungu vya biblia vimeonesha alama za mwanamke lakini tukija kwenye neno lenyewe ni kua BIKRA ni Me/Ke ambae hajawahi kujamiiana,

Tukirudi kwenye mada yako ni kua umewashambulia wanawake wasiokua na bikra badala ya kuongelea pande zote mbili, sababu mwanaume kama kashiriki tendo na yeye ni used a.k.a srepa (lol[emoji1])
alipaswa afunge zipu mpaka pale atakapo mpata bikra mwenzie waoane.

Au unasemaje hapo braza kaka.

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.

Mwanaume pia anapaswa ajiheshimu na kushika amri za Mungu. Lakini kwa upande wa matumizi huwezi linganisha mwanaume na mwanamke kutokana na kuwa mmoja anatumiwa na mwingine wakati mwingine ni mtumiaji tuu.
 
Mleta mada umekosea sana kusema kuoa mwanamke asiye bikra ni chanzo cha migogoro katika familia. Maana bikra ni hali ya kibaiolojia na haina mahusiano na mapenzi ya dhati kwa mtoa bikra. Dunia ina mengi ya kufikirisha kichwa kuliko bikra ambayo ni maumbile tu ya kibailojia.

Ustawi wa ndoa na mahusiano misingi yake mikubwa ni mapenzi ya dhati ambayo chanzo chake sio bikra ila ni hisia za ndani kabisa za mtu zitokazo moyoni na zinazochochewa na fikra katika ubongo wa binadamu. Mapenzi yanazaa mengineyo kama uvumilivu, kuchukuliana madhaifu, kusamehana na kuwa na imani na mwenzi wako.

Bikra haina athari yoyote katika kudumisha mapenzi ambayo mazingira yake yametawaliwa na mengi unayoyajua na usio yajua mleta mada.
Bikra imeweka pale kwasababu zake,lile ni agano sababu damu inamwagika pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaaaah, kwenye ukweli uongo hujitenga aseee.

Katika pita pita yangu nikaangukia kwenye huu uzi hasa hii komenti yako, nikaicha.

Alivokuja mbio mpenda simu yangu na kuukuta huu ujumbe wako naona anarudisha simu taaraaaatiiiiiibuuuuu.


Nikajua JF haijawahi kukosea

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mnhh umetoka kuwa objective mpaka kunishambulia as a person sijui huo umcha Mungu wako ni upi??bikira ina baraka gani??unaweza kusema baraka hii imetokana na mke wangu kuwa bikira??? kwa nini watu wanazitoa kiholela kama ni that important???tatizo lenu walokole mnaonaga mko right hata kwenye mambo ya kipuuzi…..so long as hauko specific ni baraka gani mtu anazipata kupitia bikira then mjadala wako hauna maana.....
Rebbeeca Dada angu mtabishana ila huwezi kumuelewa kwasababu wewe sio mwanaume, thamani ya bikra anayeiona ni mwanaume,kwa mfano mtu anaoa halafu mwanamke anayemuoa anajua kabisa huyu mwanamke alishawahi kuwa na mtu flani kimapenzi,kuna feeling wewe huwezi kuifeel kwasababu sio mwanaume, ila walio oa wanawake bikra mahusiano yao yanakuwa mazuri hasa kwa mwanaume
 
Back
Top Bottom