Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana ulichokiongea ni sahihi. Japo lugha uliyotumia du!
Mimi ni mwanamke, lakini sidhani kama ni jambo jema kwa mwanaume aliyeoa lady asiye na bikira kumwita "mjinga". Si kosa lake. Na tambua pia kuna wanaume hawapendi hizo bikira. Pia, kinachounganisha watu ni upendo na si bikira.
Jingine, utajua vipi kama huyu binti Ana bikira au hana? Maana hatutembei na nembo siye.
Hayo yote ni majaliwa
bora ni mwanamke mwenye bikira na mnaendana kitabia na kuna CHEMISTRY KUBWA KATI YENU.Kipi bora mwanamke mwenye bikra lakini hamendani kitabia na mwanamke asiye na bikira ila kitabia mnaendana sana yaani kuna chemistry kubwa kati yenu
Kuolewa jambo la kawaiiiida sana kwan kuolewa kunaongeza siku za kuishi sasa??? Ni vile tu mind yako inavyoamini na uko kuolewa
Unataka kuniharibia naona...Yaweza kuwa naye akawa nayo eee?? Au unatunza ye ya kwake ashatumia toka primary
Auchukue hiyo bikra aiweke ndani kama mke yaaani kuwaza kote anafikiri ndoa ni bikra haaaahaaa kwa stail hii tutegemee kuvunjika kwa ndoa kila siku (NDOA NI ZAID YA MAUMBILE IKIWEMO BIKRA)Mtu mwenye hela zake kama majizo, HB na anaheshimika katika jamii anajiandaa kumuoa lulu ambae Tz nzima inamjua kwa namna alivokuwa siku za nyuma. Mwanaume hajamjudge, amemkubali alivyo, zaidi sana anambadilisha awe mke mwema kwake.
Tabu ipo kwa makapuku, mia mbili mfukoni hawana, uHB hawana, usafi "F", hawafahamiki popote, maisha yao kuunga unga tu, ila kutwa kuongea nonsense juu ya wanawake as if they are all that! Mtu hana chochote zaidi ya pu*** na simu ya tekno lakini anataka mwanamke mzuri, bikra, anakazi, etc Ulofa tu Povu ruksa.........
Karibu. Uliza.Ningekuuliza kitu lkn basi tu
Karibu. Uliza.
1Una watt wangapi?
Lakini... Idadi ya Watoto imekuja vipi hapa?Una watt wangapi?
Nlikuwa tu nawaza mkuu ivi kumbe yamejiandikaUnataka kuniharibia naona...
Lakini... Idadi ya Watoto imekuja vipi hapa?
Nilishajibu. Mmoja[emoji6][emoji6]
Ww ulitakiwa unijibu kwnz bibie...nina maana yangu moyoni kutaka kujua hilo
Yaan yeye anafikiri ndoa ni kufukunyuana tuu akuna lingine,Auchukue hiyo bikra aiweke ndani kama mke yaaani kuwaza kote anafikiri ndoa ni bikra haaaahaaa kwa stail hii tutegemee kuvunjika kwa ndoa kila siku (NDOA NI ZAID YA MAUMBILE IKIWEMO BIKRA)
Nilishajibu. Mmoja
Ndizo akili za wanaume wabaya, makapuku, wasio na mvuto inshort wasio na mbele wala nyumaYaan yeye anafikiri ndoa ni kufukunyuana tuu akuna lingine,