Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Mkuu mada yako iko sahihi kabisa, sema kinachosumbua watu humu ni uelewa wa kina katika kile ulichokusudia kukieleza.. binafsi nimekuelewa sana..
Bikra inatupa ishara nyingi katika njanja tofauti tofauti..
1~ Katika dini bikra ni ishara ya hofu ya Mungu, kwa maana kwamba kwa imani za kidini ni dhambi kufanya ngono kabla ya ndoa, so tunategemea mtu mwenye hofu ya Mungu kuwa bikra..

2~Kimaadili bikra ni ishara ya kijiheshim, kwa maana kwamba jamii inaamini mtu anayejiheshim hawezi fanya ngono na mtu baki asiye muheshim.

3~Kiafya bikra ni ishara ya kujipenda na ni ishara ya usafi, ngono inamaana pale tu itakapofanyika ndani ya ndoa lakini nje ya ndoa ngono ni uchafu wa fikra na mwili pia..

4~Kisaikologia bikra ni ishara ya uaminifu na kujitambua,, aliyetoa bikra kabla ya ndoa anatafsiliwa kama hana huaminifu na hajitambui thamani yake.

Hizi sifa anazopewa mtu mwenye bikra ndizo hutumika kama sifa za mke bora. Ukipata mke mzuri kimaumbile na ni bikra huyo lazima awe wife material, nafikiri hichi ndicho anachokimaanisha mtoa mada... Kama huna bikra na umeolewa basi ni neema tu na ni mapenzi ya Mungu...maana Mungu anawapenda wote mabikra na wasio mabikra ila anachukizwa na uzinzi...


Mkuu shukrani kwa kueleza kwa upana na kuwapa maziwa baadhi ya watu. Mimi niliwapa makande ilhali ni watoto wachanga
 
Siku hizi mchawi pesa wala sio BK tena kama enzi za mababa na mababu zetu

Ninauhakika hapa akija mwanamke mwenye pesa mwenye kama 35 hata awe na watto akisema anatafuta kijana wakumuoa utaona siku haiishi atapata watu wakutosha


Upo sahihi sana. Nani sasa ajitokeze mwenye hizo hela ikiwa wanawake wameumbwa kuhudumiwa?
 
Si ndio maana mtu anaoa asiyebikra wakati bikra wapo. Ni sawa uende harusini ukute sahani mbili. Moja chakula chake hakiguswa wala kuliwa na ya pili imefokolewa fokolewa yaani makombo alafu uchukue iliyonyofolewa then uwaambie watu unaakili.
Inategemeana na chakula yaani ugali mlenda ulinganishe na pilau na umetoka kula ugali mlenda na nyumbani utaikuta jion alafu bado kwenye sherehe nile tena si bora niache vyote kama sitaki kula chakula kilichoguswa na mtu?
 
Unaweza pata bikra but tabia zote in general unazotaka wewe yeye hana but asiye bikra mnaelewana sana ndani so ndoa ni zaidi ya bikraa


Upo sahihi kwa kiasi kidogo. Unadhani moja ya sababu kubwa zinazopelekea ndoa nyingi kuvunjika ni zipi? Unajua chanzo cha uwepo wa vibamia Mkuu? Embu funguka
 
Hapa sasa umefika mkuu kama ni kiimani bila shaka uzinzi pia ni dhambi so mwanaume asiwe amewahi kukutana na mwanamke kabla ya kuoa sio kwa sababu mwanaume hana ishara ndo uzinzi umehalalishwa kwetu,et mwanaume anataka aoe bikira na huku umeshaziharibu kadhaa na kuziacha utakuwa mnafki sana kama hujawahi mkuu na unasubiria mpaka uoe ni haki yako kabisa na unahaki yakumuita ambaye hajaoa bikira kuwa ni mjinga hana akili ila kama ufanya ngono nje ya ndoa yaani kabla hujaoa na unataka uoe bikira basi ww sintakosea nkikuita mnafki


Lakini Mada inahusu Bikra Mkuu au hujasoma vizuri. Alafu kitu kingine athari za ngono zipo 100% kwa mwanamke. Bikra mwanamke. mimba mwanamke, kuzaa mwanamke. Hujiulizi tuu Mkuu
 
Inategemeana na chakula yaani ugali mlenda ulinganishe na pilau na umetoka kula ugali mlenda na nyumbani utaikuta jion alafu bado kwenye sherehe nile tena si bora niache vyote kama sitaki kula chakula kilichoguswa na mtu?


Hahahah!! Kwa nini usile makombo ya mtu mwingine tena usiyemjua?
 
Tatizo lako ni moja nikuona bikira ni pointi pekee yakuwa wife materials kitu ambacho sio kweli kabisa yaani ni moja ya point tu lakin kuna zingine nyingi na unataka wengine tuelewe hivyo na kashangaa zaidi kufika hatua yakutukana wenye mawazo tofauti yako
kwani ubikira si nikigezo tu kama vigezo vingine mtu anapoamua kutafuta wife material sasa shida i wapi?.....alafu unaposema nimetukana ni wapi?.....nakukumbusha zamani ilikuwa ni aibu mtoto wa kike kuolewa na asikutwe na bikira.....acha tu bikira ina thamani yake bhana....sema wengi tunakataa sababu hatujaoa hao watu wengi tumekuta wenza wetu tayari washafanywa...hata mlevi wa pombe huitetea pombe wangali madhara yake hufahamu kabisa
 
Hahahaha ngoja nisubir shugamami hapa


Humu karibu wote njaa kali huoni kuna mdau alipiga mayowe baada ya kukutana na binti mmoja mwenye Avatar yenye kusisimua lakini kukutana ilikuwa songombingo kivumbi na jasho.
 
Ikiwa Mungu aliona si Vyema mtu awe peke yake. Huyo ni Mungu aligundua kuna tatizo. Sasa wewe mtu unashindwaje kuliona tatizo? Mbona mambo mengine madogo tuu


Kama unakwenda huko hata ni complicated zaidi, kwani Yesu hakuoa wala kuzaa na alikuwa mwana wa Mungu na Mungu alimtuma kwa wa mfano wa kibinadamu ili tumuamini, sasa kwa nini hakuoa wala kuzaa?
 
Kumbe ulishafanya makosa kuharibu mtoto wa watu ndio maana Mungu naye kakupa garasha ijapokuwa amekusamehe. Siwezi lala na mwanamke bikra ilhali najua sitamuoa. Bora nibaki na hawa magumegume kwanza
Bado ni mzinzi so kupata bikira pia ni neema tu mkuu ila kwako ww utaweza maana we sifa pekee ya kuwa mke mwema ni moja tu ila tunaohitaji sifa zingine ni taabu kupata hiyo bikira maani anaweza kuwa nayo afu zingine hana bd kwangu hana nafasi
 
Habari Wakuu!

Mwanamke mwenye Bikra kuolewa ni lazima na ni haki yake lakini hawa wakina Amber Rutty kwa kweli kuolewa wacha waiite Bahati. Huwezi msikia mwanamke Bikra akiongea kauli ya kijinga kama hiyo. Kauli hiyo hutolewa na wanawake waliochojolewa na wale dizaini ya kina Wema.

Mwanamke Bikra anayohaki ya msingi ya kuchagua mwanaume amtakaye. Hakika inapendeza kusika mwanamke bikra akisema nataka mwanaume mwenye pesa, HB, na mcha Mungu. Hata sisi wanaume tutakuambia kwa kweli una haki ya kuchagua hivyo. Lakini nyie akina Amber Rutty ambao mgodi ulimalizwa madini yote kwa kweli mnashangazaga sana. Hata hivyo Mungu ni mwema kwani aliumba pia na wanaume wajinga na wenye kujidharau ndio maana mnaolewa. Lakini kwa wanaume wanaojielewa, wanaojua thamani ya mke hawawezi hata thubutu kuchukua binti asiye bikra.

Binafsi nipo tayari kutoa mahari yoyote kwa mke wang mtarajiwa endapo tuu atakuwa ni bikra. Bikra ni Nyota njema. Embu fikiria Yesu angezaliwa na mwanamke asiye na bikra nini kingekuja kwa wanaume wanaojua kufikiria na kujua thamani ya utume.

Mwanamke mwenye bikra hawezi kuwa na wasi wasi hata afikishe miaka 40. Lakini asiye na bikra miaka 25 tuu jasho linamtoka. Kuolewa ni bahati kwa wanawake wasio na Bikra lakini ni lazima kwa wanawake wenye bikra.

Sasa Hivi atoke mwanamke hapa mwenye umri wa miaka 35 aseme yeye ni bikra na anataka kuolewa, nakwambia hawezi chukua wiki moja wanaume watapanga foleni kujaribu bahati zao. Lakini atoke asiye na bikra miaka 24 awe mzuri kama malaika aseme anataka kuolewa uone kama hata chukua miaka kama miwili mpaka saba kupata wa kumuoa.

Sijui kwa nini watu hawaelewi mambo madogo kama haya.

Povu linaruhusiwa. Hasa kwa wanawake wenye mrengo wa Amber Rutty
Pole sana... Siku zote Mungu hukupa kile unachostahili..kama ww unarukaruka usitegrmee atakuletea mtu aliyetulia...kwa hiyo kama we hapo ulipo ulishatembea na wanawake ambao hawana idadi na bado hujawaoa wengine umewatoa bikra na haujawaoa..jiulize wataolewa na nan?maana nimeona umewaita wanaooa wanawake ambao sio bikra wajinga...na ww utaoa asiye bikra na utaungana na wajinga wenzako kama ulivowaita

Nataka nikwambie kitu kimoja tu kama hujawahi lala na mwanamke bas Mungu atakupa mke bikra ila kama umezoea kulala na Wanawake wengi God will give you what you deserve. Uwaachie wenzako waliotulia wawapate hao mabikra
Na unavoishi leo ina-determine maisha ya kizazi chako cha kesho kama umechezea mabint na mabint zako watachezewa hivo hivo
 
Mkuu shukrani kwa kueleza kwa upana na kuwapa maziwa baadhi ya watu. Mimi niliwapa makande ilhali ni watoto wachanga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na maziwa yakiwashinda itabidi tuwaungie mirija tumboni, maana kulielewa hili ni jambo la msingi sana...
 
Mtu mwenye hela zake kama majizo, HB na anaheshimika katika jamii anajiandaa kumuoa lulu ambae Tz nzima inamjua kwa namna alivokuwa siku za nyuma. Mwanaume hajamjudge, amemkubali alivyo, zaidi sana anambadilisha awe mke mwema kwake.

Tabu ipo kwa makapuku, mia mbili mfukoni hawana, uHB hawana, usafi "F", hawafahamiki popote, maisha yao kuunga unga tu, ila kutwa kuongea nonsense juu ya wanawake as if they are all that! Mtu hana chochote zaidi ya pu*** na simu ya tekno lakini anataka mwanamke mzuri, bikra, anakazi, etc Ulofa tu Povu ruksa.........
Hhaahahahahahahahah hii n kusubiri meli airport... Watapata tabu sana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na maziwa yakiwashinda itabidi tuwaungie mirija tumboni, maana kulielewa hili ni jambo la msingi sana...


Watu walishashindikana hata kwa muumbaji wao. Leo wewe uje na misemo na nahau watakulewa?
 
Back
Top Bottom