Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Tukubali .tukatae mschana mwenye bikra ni safi kwa ndoa
Kama huna hakikisha mwanao wa kike anaolewa nayo

Hakuna mwanaume ambaye hapendi bikra kwa karne hii ya 21 yenye kuweka mambo uwazi
Upate bikra aiseeeeh ntampeeenda mnooo
Yaan atapata Upendo Wangu woteee (na mkisikia nimefilisika ujue ni huyo tu)

Frankly,I will love her to hell,haya ma used ni vile hakuna namna tu,yaan kila ukifikiria unamkaza afu anajiliza Liza Mara oooh I love you kumbe kuna vijeba (number haijulikani) ni uvumilivu tu
 
Bahati mbaya sikuuona huo mtego mkuu, mimi najadili mjadala huru unaoendana na hali ya maisha ya sasa. Sifungwi na mahaba wala hisia za namna nyingine zaidi ya zile za "usasa" ambazo mimi siwezi kuzikwepa You either.

Nimekuwa interested kufahamu watu wanaonizunguka wananidominate kivipi, nikiri kuwa sijaelewa kama hutojali nisaidie kunifafanulia.
Katika maisha kuna uzuri na ubaya..kwa mtu aliye lijali kugundua mtoto kafanya uzinzi ni ubaya.. tusitumie usasa kuhalalisha ubaya[emoji23] [emoji23] [emoji23]
kuhusu dominance! always amini kwamba mawazo yako yana umuhimu na unaweza yawasilisha kwa namna ambayo hadhira watakubaliana na wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Acha kuishi karne ya 21 kwa mawazo ya karne ya 7
Utalizwa kila siku na kuendelea kuwafungulia thread za shit wanawake as if unawakomoa
kumbe hujui kujiongeza


Kama bikra ingekuwa si muhimu wanawake wasingezaliwa nazo Mkuu kwa kigezo ni karne ya 21. Mwanamke ni mwanamke na mwanaume ni mwanaume hata iwe karne ya 50. Watu walikuwa bikra kipindi cha sodoma na Gomora wewe unazungumzia zama hizi. Huna utetezi mkuu.

Shukuru Mungu ni mwenye Rehema
 
Yaani unavyoiongelea kama mimi labda sikuwahi kuwa nayo!! nakiri nilikuwa nayo now imetolewa na sijutiii kuitoa coz hata ningeiacha isingekuwa na thamani ambayo nimeipa.. Huyo ambaye ningemtunuku kwenye ndoa angeniona mshamba na kwenda kutafuta ambaye hata hakonayo hiyo bikra na hapo ndipo ninapopingana na wewe kijana wa zamani aaahaaa.
Na kukuta manzi Ana miaka 23 afu bikra lazima ushamba anaoaa...!! Na jamaa atajua hapaa Nimepata mshambaa... Maana kwa umri Huo akienda chuo hawezi Ponaaa...HAPONII
 
Kushika sheria za Mungu ndio ukweli. Je Mungu anaichukuliaje Bikra hapo wenye akili husimama.

No comment kwasababu unanipeleka katika mjadala ambao yawezekana nikawa siamini katika unachokitaja, hivyo hoja hiyo ni batili.

Sio wote duniani wanamwamini Mungu na sio wote wanatumia bible kama reference book.
 
Ha haaa

Naona una comment kinyonge,mwanaume amuone bikra mshamba ,yaan mnadanganyana

Kifupi kuwa na bikra ni every man dream
Wala sicomment kinyonge.. BIkra nilikuwa nayo na aliyenitoa ninaye hadi leo utanipima ni kiasi gani nilivyombunifu ingawa kuchepuka kupoo..yeye ataenda na mimi nitaenda but still tupo pamoja tunalisongesha na tulishasahau kama tulitoana hata hiyo bikra unayohiitaji wewe leo

nakuonea huruma hujapata bikira hadi leo unaonekana na wewe bikra kiukweliii
 
Bongo yako sio empyt ila mmepishana mitazamo ndio maana hamuelewani.

Anajaribu kusema sisi tunaishi kwenye wakati ambao katika umri wa 20-30 bado msichana anapambana kusoma, kupata kazi, kuwekeza awe independent ndio aanze kuwaza kuanzisha familia katika msingi wakuolewa. Je msichana huyu katika umri wa 20-30 hana hisia za kufanya mapenzi? Atafanya na nani ikiwa hajaolewa? Je tumlazimishe kuolewa ndio afanye kama hataki je? So obvious atapoteza bikra yake ikiwa bado hajaolewa ktk process ya kawaida ya maisha, sijajustify chochote naeleza tu reality. Hii inatofautiana na zamani ambako ambapo bibi zetu na mama zetu waliolewa wakiwa na umri wa 13-17, 18, 19. Katika umri huo ingekuwa ajabu kukuta mwanamke huyo aliyeolewa sio bikra.

Kwa maana nyingine kusema mbona zamani bikra zilikuwepo kibao sio sahihi kwasababu hata umri wakuoa na kuolewa ulikuwa tofauti na sasa.
si kweli kusema zamani walikuwa wanaolewa mapema kusema ndio kigezo cha wao kukutwa bikira ndani ya ndoa.......kwani unataka kusema leo hii hakuna wanawake mabikira wenye umri kati ya 25 na 35 na elimu hii mbona ipo sema shida ya wengi siku hizi si wavumilivu na hawajui thamani ya kuolewa bikira
 
Kiongozi
Habari Ya Kazi
Naona Unazidi Kubomoa Ngome Za Wapinzani Ingekuwa Kwenye Siasa Jimbo Ungeshaalifanyia Sending Off Maana Wapinzani Hoi.



Hadhira Umeishika Pabaya Sana Haa
UnajuaMapenzi Mkuu
Yakizidi Hata Mama Yako Aliyekuzaa Unaweza Kumwambia Wewe Hujakua Yaani Ukimaanisha Hajui Utamu Wa Mapenzi Wakati
Yeye NdiyoKakuzaa 🤣🤣🤣 Wewe


Hoja Hujibiwa Kwa Hoja
Haya Siyo Mapenzi Ni Mahaba 😅😅💘💘💘


Ndio hivyo kiongozi, watu wamepofushwa na mapenzi kwa ushamba kiasi kwamba hawaioni thamani ya bikra tena. Hivi sasa wanatukana na kuiona zama za mababu zao zilikuwa za kishamba kumbe wamepofushwa na mahaba.

Ila hatutaacha kusema mara moja moja
 
Sasa sikufunzwa Mimi acha niwachezee kama nitabahatika sawa nisipobahatika basi nitaoa kama wengine tuu nimalize zamu yangu hapa duniani
Unaweza ukajikuta unachezewa badala ya kuwachezea .Kama hujawa mbobezi kwenye hizo nyanja bora uwe mpole utafute utakayeridhiana mpange maisha.

Unavyozidi kuwaharibu nawe pia unajitengenezea laana itakucost mbeleni.
 
Tukubali .tukatae mschana mwenye bikra ni safi kwa ndoa
Kama huna hakikisha mwanao wa kike anaolewa nayo

Hakuna mwanaume ambaye hapendi bikra kwa karne hii ya 21 yenye kuweka mambo uwazi
Upate bikra aiseeeeh ntampeeenda mnooo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Shida utampata wapiii...labda lasabaa
 
Mkuu yani ukimchunga kwa Vipigo na mkufungia nakwambia Ataliwaa tuuu... Kuna manzi alikuwa anambania mwana kinyamaa Ila manzi Ana shape hiloo msambwanda huoo... sasa mzee wake siku hiyo alimpiga kisaa alivaa sketi inambana yani alimpigaa hasaa... Hicho ndo kikawa chanzo yule manzi kubikiriwaa... Alienda kumpa mwana bilaa kuitwaaa lakini ilikuwa hasiraa tuu sababu mzee wake alikuwa anambanaa...! Mleee katika njiaa sahihi lakini Ogopa kupitiliza kipimoo...
kwani kuna uhusiano kati ya kulea na kipigo?? kila ki2 hutokea kwa sababu ata uzinzi na umalaya unasababu zake kubwa ikiwa malezi..
 
Me above 20 sijawahii mkuu...! Below labda wawili hiviii.... sasa huyo mwingne why ulimuachaa!?? ungeilaa usepe[emoji16][emoji16]


Huyu angenilaani huenda ingeshika lakini hawa wengine siogopi kufanya lolote
 
Mkuu umefunga Mjadalaa...Kizuri hakikosi kasorooo! Oa bikra lakini akili zake zakitoto kabisaa yani...Kuna kipindi nilikuwa nimepanga geto mwana alioa demu Ana miaka 20 yule manzi isingekuwa Mimi kuheshimu ni mke wa MTU na kumuonea jamaa huruma NINGEMLAAAA...geto langu na lake yalikuwa yanaangaliana mkuu! So oa bikra lakini kichwani Maisha hajui kabisaa Ila unapata alietumika tayari Ila amayajua Maishaa...Mtoto wa miaka 19 anajua kulaa kulala tu na kufanya kazi za ndani bhasi...!
Boss unanichekesha

Kutana na Chuma chakavu(used) na unakiita kinajua maisha kama mnavyidai tena ana kipato chake ,yaan kuhudumia kuko pale pale ,tena bora kitoto cha 19 unahudumia padogo tu hilo used litataka sio ulijengee Nyumba bali hata kiwanda
 
Yaan atapata Upendo Wangu woteee (na mkisikia nimefilisika ujue ni huyo tu)

Frankly,I will love her to hell,haya ma used ni vile hakuna namna tu,yaan kila ukifikiria unamkaza afu anajiliza Liza Mara oooh I love you kumbe kuna vijeba (number haijulikani) ni uvumilivu tu
Kitu kikiwa used daaah unakosa hata raha ni hyo bas tu
 
Kama bikra ingekuwa si muhimu wanawake wasingezaliwa nazo Mkuu kwa kigezo ni karne ya 21. Mwanamke ni mwanamke na mwanaume ni mwanaume hata iwe karne ya 50. Watu walikuwa bikra kipindi cha sodoma na Gomora wewe unazungumzia zama hizi. Huna utetezi mkuu. Shukuru Mungu ni mwenye Rehema
Kwa hii comment yako akirud tena unitag
 
kwani kuna uhusiano kati ya kulea na kipigo?? kila ki2 hutokea kwa sababu ata uzinzi na umalaya unasababu zake kubwa ikiwa malezi..
Aaha wengi wao hujikuta makauzu na kupiga watoto wa kikee hasa akihisi mwanae Ana kajamaa...! Au kaanxa kuliwaa!
 
si kweli kusema zamani walikuwa wanaolewa mapema kusema ndio kigezo cha wao kukutwa bikira ndani ya ndoa.......kwani unataka kusema leo hii hakuna wanawake mabikira wenye umri kati ya 25 na 35 na elimu hii mbona ipo sema shida ya wengi siku hizi si wavumilivu na hawajui thamani ya kuolewa bikira
Usimsemee mwanamke pekee kwamba sio mvumilivu, jiulize na wewe unauwezo wa kuvumilia hiyo mihemko kabla ya ndoa? maana mwanamme ndio mtoaji wa hiyo bikra unakazania mwanamke tuuu wakati nyie ndio mnaowarubuni hadi watoto wa shule za msingi halafu bado unataka bikra badili mindset yako.
 
Wala sicomment kinyonge.. BIkra nilikuwa nayo na aliyenitoa ninaye hadi leo utanipima ni kiasi gani nilivyombunifu ingawa kuchepuka kupoo..yeye ataenda na mimi nitaenda but still tupo pamoja tunalisongesha na tulishasahau kama tulitoana hata hiyo bikra unayohiitaji wewe leo.. nakuonea huruma hujapata bikira hadi leo unaonekana na wewe bikra kiukweliii
Kweli asee naitafuta kinomaa ukiiona sehemu nishtue
 
Ili uoe mwanamke inabidi awe pure

Mm naoa mwanamke nitakae furahia nae maisha though kuna vitu vingine vinaweza kuwa kama added advantage.


Ila hapa nmeona ili suala la bikira limekuwa mwiba sana na najua wengi mmeingia kwny ndoa bila bikra sasa mnamshangaa na kubishana na mtu mwenye mtazamo tofauti na nyinyi
 
Back
Top Bottom