Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Ahsante kwa gazeti,ila naona umezunguka but umerudi pale pale "mwanaume ataitwa bk ikiwa tu mtu atatumia maana ya ziada" so hicho ndicho nilitumia, na point yangu uliielewa vizuri tu kuhusu kujitunza ,ila basi ubinadamu kutafuta makosa madogo ili akuze mambo, ila freshi

but kama umeamua kumuelekeza mtu juu ya issue yoyote Tumia busara basi hiyo kutukana(mpumbavu nk)+ kejeli sidhani kama ni vizuri kwa msomi wa bikira kama wewe,but huenda inakuongezea credits who knows. Pamoja na kuwa msomi wa bikira na maana zake pia kuna vitu unaweza kuwa huvujui na watu tunaendelea kujifunza daily yani,huwezi jua kila kitu.

Hivi niandikaje ili inioneshe kwamba mi siyo msomi?,maana inawezekana napewa title ambayo sina na kupelekea kuelekezwa vitu kwa kutukanwa na masimango dah.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nani alikutoa bikra

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama unasema kuna maana "dokezi", huenda ndyo niliyotumia(did I told you ni maana ya msingi?)and ofcourse sihitaji iwe ya msingi for what? , lengo nilimaanisha wake kwa waume wajitunze wether wana alama or not,tusinyooshewe vidole wadada pekee sababu kuna alama nk. Hope you get my point Joka la blue, uwe na siku njemaa.

Sent using Jamii Forums mobile ahapp

Hahahaaaa! Ati Joka la Bluu.

Bahati yako ninaacha ujinga mwaka huu.
 
Kweli kabisa.

Kwa wahaya mwanamke bikra ilitakiwa itolewe siku ya ndoa na mashangazi walipaswa kuhakikisha hilo.

Na wasiokutwa bikra hata mahali urudishwa na ukoo kudharaulika na mwanamke kufukuzwa uhayani


Wanawake waliokutwa sio bikra,au waliopata mimba walikimbilia mwanza na wengi Dar kabisa na walipata maagent na kuwaingiza kwenye umalaya rasmi na wengine kuanzisha madangulo kabisa mfano mwananyamala Kwa wahaya na huko buguruni sijui tandika.kimsingi waliishia kuanzisha biashara ya kujiuza na wamelichafua kabila la wahaya mpaka Leo.

Ila uhayani ni vigumu Sana kukuta Malaya na ukatoliki umekamata haswa na maana majina ya kihaya huishia na us maana ni ya kilatin



Sent using Jamii Forums mobile app
wahaya mnamatatizo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikira itatoka wapi?
1 Mtoto sasa anavaa pimpers
2. Chekechea anacheza ready
3. Shule aruke kichurachura.
4. Kuruka kamba
5. Jkt aruke vikwazo
6. Acheze karate misamba mingi
7. Agombee daladala apite dirishan
Binti yangu sasa hv anajifunza karate yuko kata ya 4 hapo kuna bikira kweli bikira iko moyoni

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe nae hauna bikira tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu utakuta mtoa mada ni mallaya mbwa na kwao ndio yeye tuu wa kiume hao wengine wote ni wanawake zaidi ya 5 na wote wamezalishiwa hapo hapo nyumbani kwao
 
Back
Top Bottom