Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Moderators tunaomba mada za huyu shoga mleta mada mpigeni ban

Ana gender violence hasa kwa wanawake

Dume zima hili shoga kutwa kuwakomalia wanawake

Hivi hamna ndugu au wazazi wa kulirekebisha au kulionya hili shoga leta mada?
Acha matusi kijana,mbona unaleta hasira bila ya sababu za msingi? Sasa unamtukana mleta mada kwani kakosea wapi?

Hizo hazira zako mpelekee aliekutoa bikra na umwambie akuoe maana sisi tumeshaamua hatuoi kwa maharishi kama huna bikra.

Pole kwa kupoteza bikra ukiwa binti mdogo, sasa kazi unayo lbda uolewe bure
 
Acha matusi kijana,mbona unaleta hasira bila ya sababu za msingi? Sasa unamtukana mleta mada kwani kakosea wapi?

Hizo hazira zako mpelekee aliekutoa bikra na umwambie akuoe maana sisi tumeshaamua hatuoi kwa maharishi kama huna bikra.

Pole kwa kupoteza bikra ukiwa binti mdogo, sasa kazi unayo lbda uolewe bure
Ha ha ha ha
 
Naunga mkono hoja. Juzi Kati tupo Uganda jamaa anamchumbia demu single mother ana miaka 37 , wazazi wakaanza na milioni kumi na tano ya Uganda ambayo ni kama 12 hivi ya kibongo then wakashuka HADI milioni tano ya kibongo eti ndio mwisho wao. Tukatoka nje kujadiliana na mshenga Bwana harusi akaulizwa kama ana mchumba mwingine of which he said he has then tukarejea zetu mjini darusalama jamaa akaoa binti wa ki islamu swaafi baada ya wiki mbili watu wa uganda wakaanza kumsumbua mshenga mmefikia wapi mshenga akawaambia Mwambie bibi harusi mtarajiwa aongee na mwenzake demu anapiga simu kwa jamaa , jamaa anamwambia me nimeshaoa tena ndoa ya kiislamu kama unaweza uje uwe mke wa pili
Huyu wa Dar mahari ilikuwa ngapi?
 
Naunga mkono hoja. Juzi Kati tupo Uganda jamaa anamchumbia demu single mother ana miaka 37 , wazazi wakaanza na milioni kumi na tano ya Uganda ambayo ni kama 12 hivi ya kibongo then wakashuka HADI milioni tano ya kibongo eti ndio mwisho wao. Tukatoka nje kujadiliana na mshenga Bwana harusi akaulizwa kama ana mchumba mwingine of which he said he has then tukarejea zetu mjini darusalama jamaa akaoa binti wa ki islamu swaafi baada ya wiki mbili watu wa uganda wakaanza kumsumbua mshenga mmefikia wapi mshenga akawaambia Mwambie bibi harusi mtarajiwa aongee na mwenzake demu anapiga simu kwa jamaa , jamaa anamwambia me nimeshaoa tena ndoa ya kiislamu kama unaweza uje uwe mke wa pili
Noma sana!

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Bikra ni alama ya uaminifu na baraka kwa kizazi chako

Habarini Wakuu.

Naweza kuwa tofauti na wengi, Naweza nisiungwe mkono na wengi hasa wale waliooa na walioolewa. Lakini ninachojaribu kueleza hapa ni suala lenye manufaa kwa familia, jamii, taifa na dunia kwa ujumla. ni suala litakalo iweka dunia salama hasa katika kipengele cha mahusiano ndani ya ndoa.

Haijalishi tulikosea wapi na kujikwaa wapi. Makosa tuliyoyafanya tuhakikishe hayajitokezi kwa wana na binti zetu. Ili familia zetu ziweze kuwa bora na zenye baraka kwa Mungu.

Bikra ni alama aliyopewa mwanamke kuthibitisha kuwa hajaguswa na mwanaume. Kwa nini Mwanamke apewe alama hii? Nitakupa mfano, Ukienda kununua kitu dukani kuna alama fulani huwekwa katika kitu husika ikiashiria kitu hicho ni kipya. Ndivyo ilivyo kwa mwanamke, bikra ni uthibitisho namba moja kuonyesha mwanamke husika ni kigoli, mwanawali na ambaye hajaguswa. Mwanaume hajapewa alama hii kwani yeye hayupo kwaajili ya mwanamke bali mwanamke kwaajili ya mwanaume. Hivyo ni kusema mwanaume ndiye mwenye wajibu wakumtafuta mwanamke kama bidhaa yenye thamani kushinda zote duniani.

Ili ndoa zetu zidumu lazima jambo hili lizingatiwe. Watu wengi wanachukulia ni jambo jepesi lakini athari zake zinaonekana. Usishangae kusikia watu kudhihakiana kwa majina elfu. Mara kibamia, sijui Bwawa haya yote ni matokeo ya kuoa wanawake wasio bikra.

Tuje kwenye maandiko;
Kumbukumbu la torati 22:
13 Mtu akitwaa mke, akamwingilia na kumchukia,
14 kisha akamshitaki mambo ya aibu kumzushia jina baya, akasema, Nimemtwaa mwanamke huyu, nami nilipomkaribia sikuona kwake alama za ubikira;
15 ndipo babaye yule kijana na mamaye watakapotwaa alama za yule kijana za ubikira, wawatolee wazee wa mji langoni;
16 na baba yake yule kijana awaambie wazee, Mwanamume huyu nilimpa binti yangu awe mkewe, naye amchukia;
17 angalieni, amemwekea mambo ya aibu, asema, Sikuona kwa binti yako alama za ubikira, nazo hizi ndizo alama za binti yangu za ubikira. Na wayakunjue yale mavazi mbele ya wazee wa mji.
18 Basi wazee wa mji ule na wamtwae yule mtu mume na kumrudi,
19 wamtoze shekeli mia za fedha, wampe babaye yule kijana, kwa kuwa amemzulia jina baya mwanamwali wa Israeli; naye awe mkewe; hana ruhusa ya kumwacha siku zake zote.
20 Lakini likiwa ni kweli neno hili, la kutoonekana kwake yule kijana alama za ubikira;
21 na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Aya hizo zinaonyesha jinsi gani Bikra ilivyomuhimu kwa watu makini. Mwanamke asiye na alama za ubikira humdhalilisha Baba yake kwani inatafsirika alifanya ukahaba katika nyumba ya baba yake. Au huenda Baba yake ndiye aliyembikiri.
Pia hufanya familia husika kuonekana ni familia ya kikahaba na uzinifu jambo ambalo ni aibu kwa familia na ukoo kwa ujumla.

Aya hizo pia zinaonyesha kuwa mwanaume anayohaki ya kudai bikira kwa mke wake endapo hajaikuta. Jambo ambalo kwa ulimwengu wa sasa wanawake wengi wasingeolewa na kuishia kuwa makahaba wa mjini.

mambo ya walawi 21
13 Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.
14 Asitwae mjane, wala mwanamke aliyeachwa na mumewe, wala mwanamke mwenye unajisi, wala kahaba; lakini atamwoa mwanamwali katika watu wake mwenyewe.
15 Naye asiwatie unajisi kizazi chake katika watu wake; kwa kuwa mimi ndimi Bwana nimtakasaye.

Aya hizo zinamhusu mtu yeyote makini, mwenye kumcha Mungu, anayetaka utakatifu na anayetaka ukoo na kizazi chake kiwe kitakatifu.

Ili familia isiwe najisi basi lazima mwanaume aoe mwanamke Bikra, Asioe mjane au mwanamke aliyeachwa na mtu mwingine au kuokota wanawake kwenye mabaa. Lengo ni kutokitia kizazi chake unajisi.

Kutokana na shetani kutamalaki, watu siku hizi huokota okota tuu wanawake popote. Wengine huokotana Baa na kwenye kumbi za starehe. Wengine huenda kabisa kwenye madanguro na kujichukulia wake ilimradi tuu. Watu wa namna hii hukutwa na madhila makubwa ndani ya ndoa. Kama si kuzaa watoto mashoga,basi ni wasagaji. Kama si wasagaji hupata watoto malaya na makahaba. Ni rahisi watoto kuzalia nyumbani kwani Baba na mama ni wale wale tuu.

Hapo hapo utasikia mwanaume anakibamia au hana nguvu za kiume. Au mke wangu ana K kubwa au sio mtamu. Ulijuaje mkeo sio mtamu kama hukuwahi onja vya nje.

Mwenye jukumu la kulinda bikra ya mtoto ni nani?
Jibu ni moja, Ni mzazi.
Wazazi ndio watu pekee wenye jukumu la kuilinda bikra ya mtoto wao. Changamoto inatokea pale endapo Mama hakuweza kulinda bikra yake sembuse ya mtoto. Baba naye aliuziwa mbuzi kwenye gunia hawezi kuwa na muda huo.

Lutu alikuwa ni mzazi wa kiume lakini aliweza kujua kuwa mabinti zake ni bikra. Utajiuliza alijuaje. Ni rahisi kwa Baba mwenye kujali familia yake kujua kinachoendelea kwa watoto wake. Lakini wababa wazembe na wanaoaibisha ubaba wao huuliza maswali yakijinga kama Mimi ni Baba nitawezaje kulinda bikra ya binti yangu. Jibu ni kuwa huwezi ikiwa mwenyewe ulichukua mtu asiye na bikra.

Kwa upande wa wachungaji, maaskofu na mapastor. Hii kwao ni moja ya sheria kubwa na muhimu. Mchungaji hawezi kukamilika ikiwa amechukua vitu vya mtumba. Ndio maana baadhi ya Wachungaji wa siku hizi wapo wapo tuu. Hawana tofauti na watu wa mitaani.
mambo ya walawi 21
13 Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.
14 Asitwae mjane, wala mwanamke aliyeachwa na mumewe, wala mwanamke mwenye unajisi, wala kahaba; lakini atamwoa mwanamwali katika watu wake mwenyewe.
15 Naye asiwatie unajisi kizazi chake katika watu wake; kwa kuwa mimi ndimi Bwana nimtakasaye.

Nawasilisha.

Nakaribisha hoja na mapovu yenye hoja pia. Hoja zijikite kwenye maandiko ya kwenye biblia.

==============

Kwa nini maaskofu/ wachungaji hawaoi bikra; Je, wameasi kanuni zao?



===============

Somo Muhimu la Kuhusu Bikra



===========

Mwanamke Bikra ndiye Mke bora




=========

Bikra ni kapu la ndoa



===============

Madhara makuu ya kuoa mwanamke asiye na bikra




================

Kuoa mwanamke bikra sio kinga ya mkeo kutokukusaliti
Kuna jambo ambalo hukuliangazia, ni lile la makahaba kuzilinda bikra zao kwa ajili ya kuwauzia waoaji, wakati huo wakitoa "tigo" kama njugu!

Siku anaolewa, taratibu na vipimo vyote vinajibu postive, vigelegele vinapigwa kwa shangwe kuuubwa.."harusi imejibu" kumbe ni hadaa tu za kahaba kwa ajili ya kuolewa, lakini kila kitu ashafanya na anakijua!

Kipimo cha mwanamke "wa utulie" ni zaidi ya bikra tukubaliane hivyo.
 
Mimi ni miongoni mwa watu nilikua napinga kuwa bikra hazipo sku hizi..**** makala yako nilikwambia bikra hazipo ila nimegundua bikra zipo nyingi tu.

nimepata mwanamke bikra ninataka kuoa kabisa kwasasa
Naunga mkono kuwa ZIPO
 
Kiuhalisia yule mwanaume wa kwanza ndie mume halisi na uliyempenda wa kwanza. Asilimia kubwa tunaoa wake za watu. Kumbe tunatolea mahari wake za watu!!
Ndio maana hamna mantikinya kuingia kaenye ndoa. Tubebane tuu kama malaya maana sifa za kuwa wana ndoa hatuna ila tuna sifa za kuwa malaya
 
Mimi ni miongoni mwa watu nilikua napinga kuwa bikra hazipo sku hizi..**** makala yako nilikwambia bikra hazipo ila nimegundua bikra zipo nyingi tu.

nimepata mwanamke bikra ninataka kuoa kabisa kwasasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] zipo mkuu nyingi TU, oa fasta, ACHA uzembe
 
Ni matumizi mabaya ya pesa na akili kwa mwanaume kumuoa kwa harusi mwanamke asiye bikra.

Anaetakiwa kuvaa shera nyeupe,ni mwanamke aliye msafi,bikra

Mwanamke asiye bikra,anatakiwa aolewe bila harusi na ikiwezekana bila mahari.

Dada zetu ni lazima watambue kuwa 'heshima' ni gharama.

huu ndio ukweli hata kama hautimiziki kirahisi au haufurahishi.."

Sema kwa kuwa harusi za siku hizi nyingi ni maigizo,sio mbaya tuendelee kumsikiliza chege ft diamond..waache waoane
 
Back
Top Bottom