Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Ofcourse anatema facts na ndio maana kama ukimsikia vizuri anasema men SHOULD BE PROVIDERS ili waweze kutawala na kuimarisha ndoa. To fully be masculine you need to be a provider.

My point hapa ni double standards.

Unakuta mtu kwenye uzi huu anasema wanawake wawavumilie wanaume kama hawana hela then kwenye uzi unaofuata anasema lazima uoe mwanamke bikra.

Wanaume wanataka pure feminine and traditional women meanwhile hawawezi kuprovide hence they cant be fully Masculine Men.

Umasculine sio kwenda gym. Kuprovide is a large part of that.

Mnachukua clip moja ya Andrew Tate mnajifariji nayo alafu mnaignore the rest ya anachosema.

Pia nani amwekwambia wanaume kigezo chao ni bikra tu? Unafuatilia nyuzi za humu mkuu?
Mi naamini hakuna mwanaume timamu atakuja jadiri habari za bikra mitandaoni ikiwa hizo bikra zinatolewa na hao hao me.
 
Safi, lakini maisha siyo bikra pekee, unaweza mpata mtu hana bikra ila ni wife material sana, usijilimit kuoa eti hadi bikra aah, nyie wenyewe siyo nanii pia..
Wife material ni yule alieweza kuitunza bikra yake hadi wakati wa kumkabidhi mumewe wa ndoa, kinyume chake huyo ni 'community wife' na sio wife material..
 
Wanawake wanavutiwa na wanaume wenye uzoefu (body count kubwa). Wanaume tunavutiwa na wanawake wasiokuwa na uzoefu (body count ndogo).

Kadiri mwanamke unavyotumika, unashuka thamani. Kadiri mwanaume unavyotumika, unaongezeka thamani. Hiyo ndio tofauti yetu kwenye kutumika.

Wanawake wana muda mdogo sana wa kuwa kwenye peak. Mwanamke anakuwa kwenye peak akiwa na miaka 18-25. Wengi wanakuwa hawajatumika au wametumika kidogo.

Mwanaume anakuwa kwenye peak akifikia miaka 30 - 50.

Women age like milk.
Men age like a fine wine.
 
Muulize huyo mkeo uliyemuoa akiwa sio bikra; Mwanaume wake wa 10 kuwa naye kwenye mahusiano kabla yako kama atamkumbuka, nina uhakika hawezi kumkumbuka.

Ila muulize jina la aliyemtoa bikra atakutajia hata majina yote 3 na the whole process mpaka akabikiriwa ipo kichwani mwake kama tukio la jana tu.

Sikuzote jina lake limejichora katika akili yake mpaka anaingia kaburini, kwa sababu mwanamke huwa hamsahau mwanaume aliyembikiri. Mwamba kaacha chata.

  • Kumbuka inawezekana wanaume hata watano au zaidi wakazaa naye ila ni mwanaume mmoja tu ndiye aliyemtoa bikira. Sijui wewe loser kama umeielewa hiyo sentensi?​
  • Anaweza kulala na wanaume zaidi ya watatu na asimjue aliyemtia mimba lakini kamwe hatamsahau aliyembikiri.​
  • Wewe loser uliyeoa mwanamke asiye bikra, una uhakika huyo mtoto/watoto ni wako?

  • Last man una uhakika hiyo mimba ni yako?

  • Je, unatambua kuwa kuna wanaume wengi ambao ni ex zake wanajua weaknesses za mkeo na wakiamua kutia kambi hachomoi?

Wewe uliyeoa mwanamke asiye bikira you are a last man you are a loser as well

Learn or perish
Bikra !!!!!!!! Kachonge/kaumbe wa kwako au kaoe robot.
 
Wanawake wanavutiwa na wanaume wenye uzoefu (body count kubwa). Wanaume tunavutiwa na wanawake wasiokuwa na uzoefu (body count ndogo).

Kadiri mwanamke unavyotumika, unashuka thamani. Kadiri mwanaume unavyotumika, unaongezeka thamani. Hiyo ndio tofauti yetu kwenye kutumika.

Wanawake wana muda mdogo sana wa kuwa kwenye peak. Mwanamke anakuwa kwenye peak akiwa na miaka 18-25. Wengi wanakuwa hawajatumika au wametumika kidogo.

Mwanaume anakuwa kwenye peak akifikia miaka 30 - 50.

Women age like milk.
Men age like a fine wine.
Haina shida , wewe mwanaume endelea kutumika tu, na ukimwi utakupandisha pia thamani.
 
Muulize huyo mkeo uliyemuoa akiwa sio bikra; Mwanaume wake wa 10 kuwa naye kwenye mahusiano kabla yako kama atamkumbuka, nina uhakika hawezi kumkumbuka.

Ila muulize jina la aliyemtoa bikra atakutajia hata majina yote 3 na the whole process mpaka akabikiriwa ipo kichwani mwake kama tukio la jana tu.

Sikuzote jina lake limejichora katika akili yake mpaka anaingia kaburini, kwa sababu mwanamke huwa hamsahau mwanaume aliyembikiri. Mwamba kaacha chata.

  • Kumbuka inawezekana wanaume hata watano au zaidi wakazaa naye ila ni mwanaume mmoja tu ndiye aliyemtoa bikira. Sijui wewe loser kama umeielewa hiyo sentensi?​
  • Anaweza kulala na wanaume zaidi ya watatu na asimjue aliyemtia mimba lakini kamwe hatamsahau aliyembikiri.​
  • Wewe loser uliyeoa mwanamke asiye bikra, una uhakika huyo mtoto/watoto ni wako?

  • Last man una uhakika hiyo mimba ni yako?

  • Je, unatambua kuwa kuna wanaume wengi ambao ni ex zake wanajua weaknesses za mkeo na wakiamua kutia kambi hachomoi?

Wewe uliyeoa mwanamke asiye bikira you are a last man you are a loser as well

Learn or perish
Huu ujinga kama ujinga mwengine, kuna wengine tumetembea na mademu zaidi ya mmoja wengine tulipata bahati ya kuwabikiri wengine hata hatujui body count yake ngapi


Lakini mwisho wa siku, tabia njema, kujiheshimu na kuniheshimu, na madiko diko mengine ambayo ni extra yananifanya nipige kambi kwa ambae hata sikumbikiri ujue kwanini?

Sababu mapenzi ni zaidi ya Sex, kuna vingi nje ya hapo na ndio maana pamoja Sex kuwa na umuhimu lakini kukosekana kwa vigezo tajwa hapo juu kumesababisha wengi kuhitilafiana
 
Ni mipango tu ukiona mwanamke anakupenda oa mimi kama mwanamke ananipenda naoa chapu simuachi hata,sasa kama watu wataoa bikra tu wanawake ambao wameachwa waolewe na nani au wao sio binadamu! Mimi mwanamke yeyote akinipenda naoa kama atakuwa na tabia nzuri tu
 
Ni mipango tu ukiona mwanamke anakupenda oa mimi kama mwanamke ananipenda naoa chapu simuachi hata,sasa kama watu wataoa bikra tu wanawake ambao wameachwa waolewe na nani au wao sio binadamu! Mimi mwanamke yeyote akinipenda naoa kama atakuwa na tabia nzuri tu
Kama alishapoteza bikira huyo hakupendi ndio maana prize aliyokuwa nayo alimpa mwanaume mwingine.

Na kwa kuwa amepoteza bikira huyo tayari hana tabia nzuri. Unajua idadi ya wanaume aliotoka nao tangu abikiriwe?
 
Huenda upo sahihi. Uzuri hua sijidanganyi kukaa na dem ambae siyo bikra. Na hua simtoi ni ulinzi bora sana.

. Nakaa kw aman kabisa siwi na hofu ya kusalitiwa.
 
Back
Top Bottom