Tarehe hiyo tajwa vijana watakuwa kila kona wakifanya usafi na mitutu yaoWakuu,
Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.
Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.
View attachment 2683050
basi andamaneni utakachokipata usilaumu tupo tayar kwa lolote kulinda amani ya nchi . iwe mvua iwe jua.Sawa lete na watoto wako na wewe kama unao na punguza uvuvi wa kufikiri wewe toto jinga, akili yako ni ile utotoni kama dada aogi nami siogi, kama dada hapigi mswaki nami sipigi mswaki.
Don't try at homeWakuu,
Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.
Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.
View attachment 2683050
mama ana muda na haya mapoyoyo uamuzi umeshapita imebaki utekelezaji. Hawa walioko humu wanajifurahisha tuJmani mtamuua na pressure mama wa watu
Nyie kweli mazuzu mnajitekenya mnacheka wenyewe.Wakuu,
Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.
Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.
View attachment 2683050
Mpemba huyu atatumaliza aisee
Kaa kwa kutulia basi wewe maumivu yanatoka wapi, anayeandamana huyo ni mtu mzima hauwezi kumpangia kazi ya kufanya.Ooh mara fulani aje na watoto wake, watoto kuwapeleka kwenye shughuli za watu wazima huo ni ukatili na sidhani wanaopinga mikataba mibovu kuna mtu mwenye ukatiri wa hivyo.basi andamaneni utakachokipata usilaumu tupo tayar kwa lolote kulinda amani ya nchi . iwe mvua iwe jua.
Acha ujinga kuongea upumbavu unazan wanaolalamika wote wana njaa Leo hii Hadi mkuu Wa mkoa wa Moro kaongea point nzuri Sana kuonesha hakubaliani na ujinga wa huo mkatabaAcha njaa,fanyakazi.Ukiona mtu analalamika sana ,ujue ni mvivu.
Hapo njaa inahusika na nini?Huu ndio ukweli.Wanasumbuliwa na njaa,hawataki kufanyakazi.
Hizo nguvu na pesa mgeziwekrza kupata katiba mpya na kupata mfumo wa elimu muzuri na bora tungewaelewa, ila hapo mke kwenye masilahi binafsi mkate wenu una ondolewaBandari day 22 July;Dar es Salaam Mpo Tayari..!
Mikataba yote 39 iliyosainiwa Dubai itawekwa wazi,tutawajua walioliuza Taifa na nini cha kufanya.