Maandamano makubwa ya Amani kupinga DP World kufanyika Julai 22

Maandamano makubwa ya Amani kupinga DP World kufanyika Julai 22

Wakuu,

Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.

Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.


View attachment 2683050
Tarehe hiyo tajwa vijana watakuwa kila kona wakifanya usafi na mitutu yao
 
Sawa lete na watoto wako na wewe kama unao na punguza uvuvi wa kufikiri wewe toto jinga, akili yako ni ile utotoni kama dada aogi nami siogi, kama dada hapigi mswaki nami sipigi mswaki.
basi andamaneni utakachokipata usilaumu tupo tayar kwa lolote kulinda amani ya nchi . iwe mvua iwe jua.
 
Wakuu,

Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.

Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.


View attachment 2683050
Don't try at home
 
Wakuu,

Maandamano hayo ni kwa ajili ya watu wote wanaopinga mkatabda wa bandari kati ya Tanzania na DP World. Maandalizi ya maandamano hayo yanaendelea ikiwa ni pamoja na kuwasisitiza watu kuwa maandamano hayo ni ya amani na kuwafundisha jinsi ya kushiriki maandamano hayo ikiwa ni pamoja na kupunguza athari za mabomu ya machozi.

Mipango ya maandamano hayo inafanywa na Chaneli ya Club House inayoitwa Sauti ya Watanzania.


View attachment 2683050
Nyie kweli mazuzu mnajitekenya mnacheka wenyewe.
 
basi andamaneni utakachokipata usilaumu tupo tayar kwa lolote kulinda amani ya nchi . iwe mvua iwe jua.
Kaa kwa kutulia basi wewe maumivu yanatoka wapi, anayeandamana huyo ni mtu mzima hauwezi kumpangia kazi ya kufanya.Ooh mara fulani aje na watoto wake, watoto kuwapeleka kwenye shughuli za watu wazima huo ni ukatili na sidhani wanaopinga mikataba mibovu kuna mtu mwenye ukatiri wa hivyo.
 
Acha njaa,fanyakazi.Ukiona mtu analalamika sana ,ujue ni mvivu.
Acha ujinga kuongea upumbavu unazan wanaolalamika wote wana njaa Leo hii Hadi mkuu Wa mkoa wa Moro kaongea point nzuri Sana kuonesha hakubaliani na ujinga wa huo mkataba
 
Bandari day 22 July;Dar es Salaam Mpo Tayari..!

Mikataba yote 39 iliyosainiwa Dubai itawekwa wazi, tutawajua walioliuza Taifa na nini cha kufanya.

IMG-20230716-WA0841.jpg
IMG-20230716-WA0842.jpg
 

Attachments

  • IMG-20230716-WA0840.jpg
    IMG-20230716-WA0840.jpg
    320.9 KB · Views: 1
  • IMG-20230716-WA0844.jpg
    IMG-20230716-WA0844.jpg
    224.7 KB · Views: 1
  • IMG-20230716-WA0843.jpg
    IMG-20230716-WA0843.jpg
    247.4 KB · Views: 2
Bandari day 22 July;Dar es Salaam Mpo Tayari..!

Mikataba yote 39 iliyosainiwa Dubai itawekwa wazi,tutawajua walioliuza Taifa na nini cha kufanya.
Hizo nguvu na pesa mgeziwekrza kupata katiba mpya na kupata mfumo wa elimu muzuri na bora tungewaelewa, ila hapo mke kwenye masilahi binafsi mkate wenu una ondolewa
 
hicho kibali cha kuingia mtaani kuandamana anakupeni nani

Ama mnajizima data.
 
Back
Top Bottom