Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Hutaki kuharibiwa..? Tekeleza wajibu wako!Acheni kutuharibia Tanzania yetu nyie CDM. Kama mnataka andamabeni peke yenu. Waacheni waTanzania waendeshe shughuli zao za kiuchumi. Nyie ni sisimizi tu wala hamuwezi kubadili kitu kwenye mambo ya nchi hii. Kama hamna shughuli semeni tuwaonyeshe fursa
Ni ujinga mkubwa kuwaacha masisiem mkigawana nchi huku wengine tukiambulia matusi yenu
Shwain