Pre GE2025 Maandamano ya CHADEMA kuanzia Mbezi Mwisho na Buguruni hadi Ofisi za UN

Pre GE2025 Maandamano ya CHADEMA kuanzia Mbezi Mwisho na Buguruni hadi Ofisi za UN

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waonyesheni hizo barua wananchi maana hao mliowapelekea watakana mara tatu kabla jogoo hqlijawika na watawapiga hivyo ushahidi mzuri ni kuwahusisha wananchi cha kuongeza familia za viongozi wote wawe mstari wa mbele!

..Familia za viongozi wa Ccm ndio zitumike kuzima maandamano ya Chadema.

..kwanini Ccm wanatumia askari wanaotaka familia masikini kulinda madaraka na ulaji wa familia za vigogo wa Ccm?
 
Tanzania ilishaharibiwa siku nyingi. Na sasa wameanza kuiuza kwa Waarabu.

Maandamano ni ya Amani maCCM mnaogopa nini? Kama hamtaki maandamano na mezani hamtaki, mnataka nini?
Je ulitaka waiuze kwa nani wewe? Kwa Waingereza au Wamarekani?
 
Acheni kutuharibia Tanzania yetu nyie CDM. Kama mnataka andamabeni peke yenu. Waacheni waTanzania waendeshe shughuli zao za kiuchumi. Nyie ni sisimizi tu wala hamuwezi kubadili kitu kwenye mambo ya nchi hii. Kama hamna shughuli semeni tuwaonyeshe fursa.
Kwani wamekuita?Wewe tulia hapo Lumumba uwe unamuandalia chai Nchimbi na kuionja kama imekolea tangawizi.
 
..Familia za viongozi wa Ccm ndio zitumike kuzima maandamano ya Chadema.

..kwanini Ccm wanatumia askari wanaotaka familia masikini kulinda madaraka na ulaji wa familia za vigogo wa Ccm?
Tuliona jinsi lissu alivyokimbilia ubalozini huku mkewe akitangulia belgium,lema aliruka senyenge watoto wakipitishwa nairobi kuelekeq kanada mbona hakuwatoa mwewe kinyama nyama hicho hatoki mtu watoe wake zao na watoto wao watu wako busy kutafuta dona!
 
Acheni kutuharibia Tanzania yetu nyie CDM. Kama mnataka andamabeni peke yenu. Waacheni waTanzania waendeshe shughuli zao za kiuchumi. Nyie ni sisimizi tu wala hamuwezi kubadili kitu kwenye mambo ya nchi hii. Kama hamna shughuli semeni tuwaonyeshe fursa.
Enzi za JPM ulikuwa mkali kama moto......Asali imerudi kwenu mmegeuka😆😆
 
Huu nao ni upuuzi.Siasa za baba au mama unataka na watoto wao washirikishwe kwa nguvu?Halafu,ninyi hamjaalikwa muandamane.Bakini nyumbani kwenu muwe mnachungulia madirishani kama nyumba zinaungua.
Mpinzani wa kweli ni slaa na lipumba tu wakisema wanatoka wanakwenda na wake zao tulishuhudia mushumbuzi akivuja damu,lipumba akivunjwa mkono mbele regina!
 

Maandamano ya Jumatano, Januari 2024, yataanza Saa 3:00 asubuhi. Yatahusisha njia mbili kuanzia Mbezi Mwisho (Stand) na Buguruni, na yataishia Ofisi za UN, barabara ya Sam Nujoma, Dar es Salaam.

Nakala za barua za taarifa ya Maandamano haya zimepelekwa kwa makamanda wote wa Polisi Wilaya, pamoja na Mkuu wa kanda ya Polisi Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika, kumalizia maandamano ofisi za UN ni kwa sababu UN inao wajibu na nafasi ya kuchukua hatua kwa kadri itakavyoona inafaa.

Kuhusu suala la mjadala, Mnyika amesema tayari walifanya mdahalo na CCM kwa mwaka mzima na haoni mantiki ya kuendelea kupoteza muda zaidi hivyo wakutane barabarani.

Mnyika amefafanua pia majibu ya maswali ya CHADEMA yanapaswa kutolewa na viongozi wakubwa kama, amewaasa wananchi kutokukubali kuhamishwa kwenye hoja.

Pia, ameelezea kuwa CHADEMA ni chama kinachoamini katika kubana matumizi na kuwa na Serikali ndogo, hoja aliyoitoa kuhusu idadi ya wabunge wawili (Me na Ke) kila jimbo imetoka kwenye Rasimu ya Warioba ambayo ukiisoma utagundua kuwa idadi ya wabunge itapungua kwa kuwa watatokea kwenye Halmashauri za Wilaya (wabunge 278 tu) badala ya Sera ya sasa ya Majimbo ambapo kuna wabunge zaidi ya 370.

CHADEMA imesema hakuna mtu au mamlaka yoyote, nje ya CHADEMA, inayoweza kusitisha maandamano yaliyopangwa kufanyika.

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE

FB_IMG_1677688856429.jpg
 
Yaani mtu kuandamana tu awe kilema? Mapimbi ya ccm bwana..kwani si maandamano yanaruhusiwa kisheria?.mbona wanapoandamana kuwapokea kina JOYCE WOWO hapo Lumumba hawawi vilema kama kuandamana ni kujitia ulemavu?
Kwanza wewe hutoki unakaa kwenye tv!
 
Tuliona jinsi lissu alivyokimbilia ubalozini huku mkewe akitangulia belgium,lema aliruka senyenge watoto wakipitishwa nairobi kuelekeq kanada mbona hakuwatoa mwewe kinyama nyama hicho hatoki mtu watoe wake zao na watoto wao watu wako busy kutafuta dona!

..Abduli ndiye anayepaswa kushughulikia wapinzani ili kulinda madaraka ya Mama yake.

..Na Watanganyika kuumiza Watanganyika wenzenu ili tutawaliwe na Mzanzibari ni utumwa.
 
Back
Top Bottom