Jumatano sio mbali.Hunijui sikujui na Bango langu nitaliandika IMHOTEP kwa nyuma njoo na Bunduki uniue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumatano sio mbali.Hunijui sikujui na Bango langu nitaliandika IMHOTEP kwa nyuma njoo na Bunduki uniue.
Unamtisha nani?Jumatano sio mbali.
Waonyesheni hizo barua wananchi maana hao mliowapelekea watakana mara tatu kabla jogoo hqlijawika na watawapiga hivyo ushahidi mzuri ni kuwahusisha wananchi cha kuongeza familia za viongozi wote wawe mstari wa mbele!
Za kitajiri huwa hawapeleki watoto wao kupata vilema visivyo vya lazima!Ndiyo akili za kimasikini hizi!
Je ulitaka waiuze kwa nani wewe? Kwa Waingereza au Wamarekani?Tanzania ilishaharibiwa siku nyingi. Na sasa wameanza kuiuza kwa Waarabu.
Maandamano ni ya Amani maCCM mnaogopa nini? Kama hamtaki maandamano na mezani hamtaki, mnataka nini?
Kwani wamekuita?Wewe tulia hapo Lumumba uwe unamuandalia chai Nchimbi na kuionja kama imekolea tangawizi.Acheni kutuharibia Tanzania yetu nyie CDM. Kama mnataka andamabeni peke yenu. Waacheni waTanzania waendeshe shughuli zao za kiuchumi. Nyie ni sisimizi tu wala hamuwezi kubadili kitu kwenye mambo ya nchi hii. Kama hamna shughuli semeni tuwaonyeshe fursa.
Njoo na wajinga wenzio wa CDM niwaajiri muache upimbi wa kushabikia siasa.Vipi mkuuu umekunywa chai lkn?
Tuliona jinsi lissu alivyokimbilia ubalozini huku mkewe akitangulia belgium,lema aliruka senyenge watoto wakipitishwa nairobi kuelekeq kanada mbona hakuwatoa mwewe kinyama nyama hicho hatoki mtu watoe wake zao na watoto wao watu wako busy kutafuta dona!..Familia za viongozi wa Ccm ndio zitumike kuzima maandamano ya Chadema.
..kwanini Ccm wanatumia askari wanaotaka familia masikini kulinda madaraka na ulaji wa familia za vigogo wa Ccm?
Wanaume wa kwenye JF ni sawa na mabinti tu. Mnajazana munkari hapa halafu siku ya maandamano mnabaki makwenu. NyambaaafBumunda kaa kimya wanaume wainyooshe nchi!
Huu nao ni upuuzi.Siasa za baba au mama unataka na watoto wao washirikishwe kwa nguvu?Halafu,ninyi hamjaalikwa muandamane.Bakini nyumbani kwenu muwe mnachungulia madirishani kama nyumba zinaungua.Za kitajiri huwa hawapeleki watoto wao kupata vilema visivyo vya lazima!
Yaani mtu kuandamana tu awe kilema? Mapimbi ya ccm bwana..kwani si maandamano yanaruhusiwa kisheria?.mbona wanapoandamana kuwapokea kina JOYCE WOWO hapo Lumumba hawawi vilema kama kuandamana ni kujitia ulemavu?Za kitajiri huwa hawapeleki watoto wao kupata vilema visivyo vya lazima!
Haya peleka makomwe yenu tarehe 24/1 kwenye maandamano halafu mtamjua Chalamila ni nani.Tanzania yako wewe na nani? Hata hao chadema ni watanzania wana haki kwa majibu wa Katiba
Enzi za JPM ulikuwa mkali kama moto......Asali imerudi kwenu mmegeuka😆😆Acheni kutuharibia Tanzania yetu nyie CDM. Kama mnataka andamabeni peke yenu. Waacheni waTanzania waendeshe shughuli zao za kiuchumi. Nyie ni sisimizi tu wala hamuwezi kubadili kitu kwenye mambo ya nchi hii. Kama hamna shughuli semeni tuwaonyeshe fursa.
Mpinzani wa kweli ni slaa na lipumba tu wakisema wanatoka wanakwenda na wake zao tulishuhudia mushumbuzi akivuja damu,lipumba akivunjwa mkono mbele regina!Huu nao ni upuuzi.Siasa za baba au mama unataka na watoto wao washirikishwe kwa nguvu?Halafu,ninyi hamjaalikwa muandamane.Bakini nyumbani kwenu muwe mnachungulia madirishani kama nyumba zinaungua.
Wasije kulaumu hukuwaambia!Haya peleka makomwe yenu tarehe 24/1 kwenye maandamano halafu mtamjua Chalamila ni nani.
Maandamano ya Jumatano, Januari 2024, yataanza Saa 3:00 asubuhi. Yatahusisha njia mbili kuanzia Mbezi Mwisho (Stand) na Buguruni, na yataishia Ofisi za UN, barabara ya Sam Nujoma, Dar es Salaam.
Nakala za barua za taarifa ya Maandamano haya zimepelekwa kwa makamanda wote wa Polisi Wilaya, pamoja na Mkuu wa kanda ya Polisi Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika, kumalizia maandamano ofisi za UN ni kwa sababu UN inao wajibu na nafasi ya kuchukua hatua kwa kadri itakavyoona inafaa.
Kuhusu suala la mjadala, Mnyika amesema tayari walifanya mdahalo na CCM kwa mwaka mzima na haoni mantiki ya kuendelea kupoteza muda zaidi hivyo wakutane barabarani.
Mnyika amefafanua pia majibu ya maswali ya CHADEMA yanapaswa kutolewa na viongozi wakubwa kama, amewaasa wananchi kutokukubali kuhamishwa kwenye hoja.
Pia, ameelezea kuwa CHADEMA ni chama kinachoamini katika kubana matumizi na kuwa na Serikali ndogo, hoja aliyoitoa kuhusu idadi ya wabunge wawili (Me na Ke) kila jimbo imetoka kwenye Rasimu ya Warioba ambayo ukiisoma utagundua kuwa idadi ya wabunge itapungua kwa kuwa watatokea kwenye Halmashauri za Wilaya (wabunge 278 tu) badala ya Sera ya sasa ya Majimbo ambapo kuna wabunge zaidi ya 370.
CHADEMA imesema hakuna mtu au mamlaka yoyote, nje ya CHADEMA, inayoweza kusitisha maandamano yaliyopangwa kufanyika.
Kwanza wewe hutoki unakaa kwenye tv!Yaani mtu kuandamana tu awe kilema? Mapimbi ya ccm bwana..kwani si maandamano yanaruhusiwa kisheria?.mbona wanapoandamana kuwapokea kina JOYCE WOWO hapo Lumumba hawawi vilema kama kuandamana ni kujitia ulemavu?
Tuliona jinsi lissu alivyokimbilia ubalozini huku mkewe akitangulia belgium,lema aliruka senyenge watoto wakipitishwa nairobi kuelekeq kanada mbona hakuwatoa mwewe kinyama nyama hicho hatoki mtu watoe wake zao na watoto wao watu wako busy kutafuta dona!